Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Nitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
 
Kuna tofauti kati ya kuhonga na kuhudumia.
 
Nimegundua walioliwa na wenye tabia hii ndo wanamind kuanikwa mipovu kibaooo....kusema ukweli co lazima utekwe..
Kama inauma chomoa tutke draw

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli. Mademu ni waombaji. Lakini ni akili tu ya kawaida. Kweli dume zima uko mtandaoni unatfuta wanawake. Akili yako mtaji wako. Humjui kwa tabia wala nni. Unaomba penzi ni dalili wewe mnunuaji Sio mpendaji its just logical
 
Sasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga mtaa. Mbna pum**bu Zako zikibana unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Pale ujumbe unapomfikia mhusika mubashara kabisaaaaaaa!!!

Delta Force
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…