Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Kwa hiyo Zanzibar imekuwa ya Karume na Mwinyi? Hembu tuwaze nje ya fikra zetu jamani.
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
Kabisa...maana raisi huwa hazai raisi ni anazaa mtoto kama wazazi wengine...

Hapo ndipo wanapochemka..hao jamaa kulazimisha vitu..
 
Ameivaa anafaa kuvaa viatu.Usipinge kama unaona unatosha na wewe kachukue fomu kabla pazia alijafungwa.
Democrasia....

Uhuru wa kuchagua sio kuchaguliwa..wa kuamua kama anafaa ni wananchi sio ...

Dalili za kutojiamini hizo...

Ni wale wale... kigamboni...hiyo...
 
Naunga Mkono Hoja Jamaa ni mtu mnyenyekevu sana kwanza hana tamaa za madaraka, hana mambo ya ovyo kma walivyo ccm wengi.
kazoea kwanza hayo maisha toka mdogo anaona ving'ora vinapisha tu kwenye geti la nyumba yao amekuwa mkubwa bado kwake pia ving'oraa vinapisha dam shit kuna watu duniani wanazaliwa na bahati sana.

hawezi kuwa na tamaa maana ndio maisha aliyokulia hayo tofauti na kina siye tuliokuwa tunatembea km 16 kwenda shule kwa siku, week kama 80 tunajua nini maana kuwa masikini, umasikini ni zaidi ya laana.

ingawa mm kwa maoni yangu zanzibar inamfaa apewe tu nchi anafaa kwelikweli utendaji wake pia unambeba
 
Primary school 1972 to 1976 Oysterbay Primary school halafu 1982 Azania Secondary School. Hii gap ya miaka 6 toka 1976 hadi 1982 alikuwa anafanya nini? Na shule ya msingi alisoma miaka minne tu!?

A level pia alisoma mwaka mmoja tu 1984 to 1985!? Badala ya miaka miwili?

Hakuna cha Makame Mbarawa wala nani. Huyu ndiye atayeiingiza Zanzibar kwenye karne ya 21.

Wasifu wake ni huu hapa:




GENERAL
SalutationHon.
Member picture
1042.jpg
First Name: Dr. Hussein
Middle Name:Ali
Last Name:Mwinyi
Member Type:Elected Member
Constituent:Kwahani
Political Party:Chama Cha Mapinduzi
Office Location:P.O. Box 9120, Dar es Salaam
Office Phone: +255 754 279 343/+255 754 995 555Office Fax:
Office E-mail: hmwinyi@parliament.go.tz
Member Status: Active
Date of Birth 23 December 1966
School Name/LocationCourse/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
EDUCATION
Manor House Junior School, Cairo, Egypt
CPEE​
1977​
1981​
Primary School​
Oysterbay Primary School
CPEE​
1972​
1976​
Primary School​
Azania Secondary School
CSEE​
1982​
1984​
Secondary School​
Tambaza High School
ACSEE​
1984​
1985​
Secondary School​
Marmara University Medical School, Istanbul Turkey
Doctor of Medicine​
1985​
1991​
Certificate​
Hammersmith Hospital, London, UK
Masters (Medicine)​
1991​
1997​
Masters Degree​
Hammersmith Hospital, London, UK
PhD​
1994​
1997​
PhD​
Company Name
Position
From
To
EMPLOYMENT HISTORY
Ministry of Defence and National ServiceMinister
2014-01-20​
2015​
Ministry Of HealthMinister
2012​
2014-01-20​
Vice-President's Office - Union AffairsMinister
2006​
2/8/2008​
Ministry of HealthDeputy Minister
2000​
2005​
Ministry of Defence and National ServiceMinister
2/13/2008​
To Date​
Hubert Kairuki Memorial UniversityLecturer
1998​
2000​
Hubert Kairuki Memorial UniversitySpecialist Doctor
1998​
1999​
Ministry of Health - Muhimbili HospitalRegistrar
1994​
1995​
Ministry of Health - Muhimbili HospitalDoctor
1993​
1993​
Marmara UniversityIntern
1991​
1992​
Ministry/Political Party/Location
Position​
From​
To​
POLITICAL EXPERIENCE
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National General Council
2005​
Todate​
The Parliament of TanzaniaMember - Kwahani Constituency
2005​
2015​
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - Kwahani /Mkuranga Political Committee
2000​
To Date​
The Parliament of TanzaniaMember - Mkuranga Constituency
2000​
2005​
 
Niwazi kuwa Rais wazanzibar ajaye ni Dr Husein aly hasani mwinyi.

Leo katika viunga vya ofisi za ccm Dodoma na Zanzibar leo wamechukua form.

Hii niwazi kuwa zanziber hakuna cha mbarawa wa samia hasan suruhu.

Wewe unasemaje.
Wampe Professor Mbarawa au yule mwingine asiye na jina.
 
MKIKOSEA MTAKUMBUKA HII SIKU
CONGS KUFUNGUA RUKSA WANANCHI AMA WANACHAMA HUSIKA KUANZA KUGOMBANIA CCM TKT KADHAA

NAPENDA NIWAMBIE WAAZI SIJIPONGEZI AMUAMINI ANGALIENI TABIRI ZANGU SIMBA NA YANGA

ANGALIENI SIKU CORONA INAINGIA NILIANDIKA NN NA MDAGANI MTASIKIA AIPO KABISA

LEO NAOMBA NIWEKEWAZI OCTOBER CCM. MKIKOSEA BASI HIKI KILIO MTANIKUMBUKA MAISHA

KWAMDAHUU ANAEFAAA ZNZ N HUSSEIN MWINYI TUMECHOKA SANA NNA MAJINA YA AJABU AJABU

HUSSEIN MWINYI AMEONYESHA UADILIFU HEKIMA. NA HESHIMA KUBWA KWA TAIFA KWA POSN ALIZOPEWA

SIDHANI SASA TUNAHITAJI KUFANYA TRIAL N ERROR PALE IKULU ZZNZ

NAWATAKIA KILA LA HERI KWA HILI
NAAMINI TUTAKUMBUSHANA SIKU IKIFIKA

STY BLSD
KWA MANUFAA YA WANZNZ WOTE

HUSSEIN MWINYI ATAKIBADILISHA KILE KISIWA NA KUWA KISIWA BORA KABISA KWENYE HII DUNIA

GODBLESS U ALL
Acha ku shout
 
Kwa nini watu wa CCM Kisonge wanapewa ubaguzi

Sikupenda kabisa tangazo la Facebook la Amina Salum Ali kusema kuwa huyu ni mtu wa Bara na ni Mndengereko

Inakhusu nini?
 
Back
Top Bottom