Wasimamizi mirathi ya Mengi wabanwa Mahakamani kuhusu matunzo ya watoto wa mjane Jacqueline Ntuyabaliwe

Wasimamizi mirathi ya Mengi wabanwa Mahakamani kuhusu matunzo ya watoto wa mjane Jacqueline Ntuyabaliwe

Kwenye circle ya familia ya mengi wanachezewa mchezo watakuja kushtuka hawana chao

Yule mjane wa reginald mengi anatumiwa na watu kuhakikisha IPP inafilisika

Ipp haina watu makini,mzee mengi ameacha vijana wasio kuwa na plan ya kuendeleza kampuni

Kunq nia ovu ya kumfanya mjane ashinde kesi,akishashinda kesi atauza hisa zake ambazo ni nyingi ahame nchi kwa ufadhili wa vigogo

Na wanatarget media zaidi wazimiliki ili kuiua ipp abaki mzalishaji moja tu mkubwa

Nimenyetishwa kutoka chanzo makini
Ipp haina watu makini, ukimaanisha wafanyakazi au waajiriwa?
Muajiriwa ana ubavu wa kushindana na mwenye hisa kwenye kampuni?
 
Hata mtoto hawajawai kuzaa

Unafika hadi Miaka 50 baba na mama matajiri. Ila kaka hutaki kuoa na dada hataki kuolewa.

Huo utajiri wa baba na mama utaendelezwa na nani kama kizazi kipya hakiletwi duniani na watoto.

Mengi hajawai kuona mjukuu hata mmoja hadi anafariki.

Kuna sehemu Mengi alifeli kwenye malezi ya watoto wake wakubwa
Yule Mutie si wanasema alikuwa na mtoto?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
akili za kibongo kabisa hizi, yani unawakilisha wabongo wengi wanavowazaga with law IQ, Jifunzeni kwa wahindi na waarabu na wengine huko, mali huzifanya za familia ili kuzifanya zibaki katika familia na hili ndio hufanya watu wanaendelea hadi wanakua mabillionair sababu hata muanzilishi akifa wale wanabaki aanaendeleza, ila wabongo mzee anataka mali zake hata mtoto ake asijue , na anataka watoto nao wajitaftie upya za kwao, ndio unakuta baba anamiliki maduka au biashara au kampuni ila watoto wake wako busy kuapply jobs za kampuni ya familia zingine, wanaenda kuendeleza hizo huku kwao kunakufa, mzazi akifa tu na mali zinapotea haha

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app

Angalau umemjibu!!mimi uwa nayazarau majitu majinga,yanayojifanya yanajua kumbe hayajui chochote.
 
Unajua ada ya IST Mkuu kwa mtoto mmoja ? Na Abdiel alilipa .Nenda kaulize shuleni ndio uje tuongee kwa facts na kumlaumu Abdiel kyln aliwatoa kwenda Dubai kwa faida ya nani na gharama ya nani
Kwenye mijadala ya Jack na Mengi unakua kimbele front kweli, mlishare nini na huyo Jack hadi unamchukia namna hiyo?

I'm curious.
 
Kwenye mijadala ya Jack na Mengi unakua kimbele front kweli, mlishare nini na huyo Jack hadi unamchukia namna hiyo?

I'm curious.

Kumbe hata wewe umeliona hili.

Mada za mengi na jack huwa anatawala yeye tu tena upande wa kumponda jack na watoto wake
 
Kwenye mijadala ya Jack na Mengi unakua kimbele front kweli, mlishare nini na huyo Jack hadi unamchukia namna hiyo?

I'm curious.
Nimpende nimemzaa , sipendi matapeli na dhulmati Mimi kama imekuuma saga chupa unywe hapa ni mwendo wa facts
 
Kumbe hata wewe umeliona hili.

Mada za mengi na jack huwa anatawala yeye tu tena upande wa kumponda jack na watoto wake
Komaaaa tusipangiane maïsha nimpende nani nisimpende haikuusu tawala na wewe na facts basi kama inakuuma
 
Sasa mkuu kwa umri ule wa Jack unataka asipate kumbatio jipya, halafu ni sheria gani inayomkataza mjane asiishi mahali popote Duniani zaidi ya Nchi yake

Sawa Kama amepata mume, basi hana budi kuwarudisha watoto kwao kwa ndugu wa mumewe ambao sina shaka watatunzwa kama baba yao alipokuwa hai kwani wana uwezo tuo.
 
Kwenye mijadala ya Jack na Mengi unakua kimbele front kweli, mlishare nini na huyo Jack hadi unamchukia namna hiyo?

I'm curious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah mumeeh mmmh.
 
Mengi alimuoa kwa sababu alitaka kuhalalisha ngono na kukwepa kudandia wanawake hovyo. Kimada siyo halali yako na wala huna mamlaka juu yake lakini mke ni wako!
Uhalalishe ngono kwa nani wakati hakuna anaewajua kwamba mnafanya hiyo ngono? Udandie wanawake wa hovyo kwanini wakati una kimada wako umemuweka ndani? Mamlaka hutokana na wajibu, ukiwajibika ipasavyo kwa kimada wako basi automatically unapata mamlaka, mfano ulipe kodi ya nyumba, tayari una mamlaka naye.
 
K Lyne si aliachiwa kiwanda cha kuuza samani nje ya nchi, kimeshakufa?

Kwenye maisha hasa ukiwa mke wa mfanyabiashara mkubwa au kiongozi mkubwa, kunakuwa na mawili, uidha ufanye biashara au ufanyiwe biashara.

Ukifanya biashara hata mumeo akifa itashamiri nankuendelea. Ila ukifanyiwa biashara lazima ife ASAP.

Kufanyiwa biashara ni kufanya biashara kwa kupitia mumeo, yaani yeye aitangaze biashara yako, akutafutie masoko, ikiyumba aiinue huku wewe umekaa mbele ya kioo hujui hata mzigo unafungwa wapi.

Jacqueline Ntuyabaliwe ameshindwa kuudhihirishia ulimwengu kuwa yeye ni mwanamke shupavu, mwanamke wa shoka. Badala ya kulia lia alitakiwa zile biashara alizoachiwa na mumewe akiwa hai aziendeleze hizo zimtoe na zimuheshimishe.

Wito wangu kwenu wadada, ukipata upenyo wa kuolewa na tajiri, pambana kwa nguvu zako zote kufanya biashara, uijue na uimudu, usitegemee kufanyiwa biashara na mumeo.
Hapa tatizo lipo kwenye mission wakati wanaoana au kuwa wapenzi mission yao ilikua ipi

Kosa kubwa k-lyne aliingia tu na mission akawa anafanya mengi pekeake k-lyne akibaki na mission yakuvizia mzee akifa ndohaya tuonavyo
 
Ilibidi wapewe mshahara kama wafanyakazi wengine ambao pia huwa wanapigania kuendeleza makampuni. Labda hilo hawakuliwazia mapema wao kama watoto. Ni risk kubwa kujifanya sehemu ya biashara ya familia ama mali za familia siku zote maana ndugu pia hugeukana kisa mali. Kama wangekuwa clear toka mwanzo wakawa pale kama wafanyakazi wakalipwa mshahara kama mfanyakazi yeyote na wakawa na business zao tofauti na familia haya yote yasingetokea. Kwani wafanyakazi ambap huwa wanafanya kazi katika makampuni na wakawa sehemu ya maendeleo ya hizo kampuni huwa wanadai urithi? Hapana!!!.
Hili ni somo kwa watu wengine pia. Mali ya familia kaa nayo mbali, msaidie mzazi ila usiwekeze katika mali ya familia ambapo mzazi mmoja akifariki basi unaanza mgogoro na mama/baba/ndugu.. Ndio mwisho watoto sometime wanaua wazazi wao kisa wanajiona wameinvest pia katika mali za familia. Na hata Mengi ilibidi awafundishe hilo mapema ili wajitegemee..Kamwe huwezi kusema huyu ni ndugu au mwanangu au mzazi wangu hawezi kunigeuka...pesa ni shetani ambaye inabidi umuwekee mazingira ya kutokushawishi huko mbeleni. Ni sawa na mtoto kujenga kwente kiwanja cha urithi au cha familia..Mgogoro ukiibuka anakuwa na uchungu wa pesa alizowekeza kuendeleza kile kiwanja..lakini asingejenga pale angekuwa na assets zake ambazo haziingiliani na familia na angeweza kuacha wanaogombea mali wagombee tu.
Mkuu embu weka akili yako sawa sawa sifa ya biashara ya familia ni kupokezana kijiti lazima awepo mmoja aliyetafuta mtaji ili wengine wauwendeleze mfano GSM, metl, motisum, azam, murzah na kuendelea tatizo lipo kwa ngozi nyeusi na dada zetu wasioweza kujiongeza kwa kuamini papa lake litamlea milele
 
Nimpende nimemzaa , sipendi matapeli na dhulmati Mimi kama imekuuma saga chupa unywe hapa ni mwendo wa facts
Seriously upo so desperate hadi unatia huruma,
Woman, you need help, Mengi ameshafariki na Jack ni mjane halali kabisa wa Mengi zaidi ana Watoto wawili na Marehemu hana budi kupigania Usawa wa Watoto wake,

Facts zako haziwezi kubadili hilo.
 
We jidanganye na porojo za mtaani mengi alishagawana na mkewe na watoto walikuwa upande wa mke Mzee alikuwa na mawazo jack ndo alimpa tumaini jipya

Tatizo matoto kuwa ovyo kufauat mama yao na hao walikuwa ni wakurugenzi katika kampuni za baba yao ila hawakuwa na ukaribu sana asingeandika husia wa vile

Mtamjua jackline ni Nan unadhani mapacha kazaa Kwa bahati mbaya na ni pesa zile ni mkakati mtajua TU kama hamjui
Jacquliene vipi umekuja kupambana huku
 
Uhalalishe ngono kwa nani wakati hakuna anaewajua kwamba mnafanya hiyo ngono? Udandie wanawake wa hovyo kwanini wakati una kimada wako umemuweka ndani? Mamlaka hutokana na wajibu, ukiwajibika ipasavyo kwa kimada wako basi automatically unapata mamlaka, mfano ulipe kodi ya nyumba, tayari una mamlaka naye.
Kimada ni kimada na mke ni mke!
Mke ana utambulisho wako lakini kimada ana utambulisho wa wazazi wake!
 
Seriously upo so desperate hadi unatia huruma,
Woman, you need help, Mengi ameshafariki na Jack ni mjane halali kabisa wa Mengi zaidi ana Watoto wawili na Marehemu hana budi kupigania Usawa wa Watoto wake,

Facts zako haziwezi kubadili hilo.


Sasa wewe mwenye facts za kubadili hili Nenda kampe Mali zote za Mr and Mrs Mercy Mengi 😿😿😿nyie mnaemdanganya atunishiane misuri na wenye share kubwa .’mnamfanya mjane mdangaji anajikuta mkubwa kama mbingu na hatoboi unaamishaje watoto kwenda Dubai kisa umepata bwana mzungu bila kushirikishandugu zao,hili hela hisilipwe direct shule na IPP ingie kwenye account ya kyln apige watoto awasomeshe maswekeni Dubai huko

Kama mnampenda mshaulini vizuri haache wizi akae na hiyo familia wamalize tofauti zao apewe fungu lake

Desperate Ninasomesha 2 boys IST na one girl Dar Braeburn , ninaishi Oysterbay kwenye mansion yangu sijapanga, nina apartment za kutosha kukuweka bure kabisa wewe na waume zako nina tender nyingi za serikali , na watu binafsi . Wewe ndio upo desperate unadhani akipata hela ya dhulma atakupa labda hela ya kununua vitz 😹😹😹😹😹
 

Wamekua wakiandika hivyo hata kwa Dr.Mengi mwenyewe wakati yupo hai .Abdiel ndio chairman

7F07D1B5-5199-4BD3-B8EB-1B23A6243389.jpeg
 
We unaongea tu kama wa kiume unatakiwa uelewe mzee ndo kampenda demu sio demu kamfuata mzee ushamba wa Mzee ndo akazama Sasa we na akili zako mbili unadhani mjane atadhulumiwa jack amezaa mpacha Kwa mtego kutumia pesa apate share ya watoto wawili

Angalia kesi inapoenda usiwe una ule usela mavi
Akili zangu mbili zinanikumbusha kuwa kwenye Shauri la Mirathi No. 39 la mwaka 2019 Jaji Mlyambina aliwateua Abdiel Mengi na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa Mirathi wa mali za Marehemu Dkt. Reg. Mengi na kutupilia mbali WOSIA wa mchongo wa MDANGAJI K-Lyn anayeshauriwa aachane na kupambania MALI zisizomhusu atafute SPONSOR mwingine wa kumlaghai.....

Usela mavi wanikumbusha kuwa "Share" na "Matunzo" ni vitu viwili tofauti.. Outcome ya kesi ni muda utaamua na wala hazitegemei hisia za huruma.
 
Akili zangu mbili zinanikumbusha kuwa kwenye Shauri la Mirathi No. 39 la mwaka 2019 Jaji Mlyambina aliwateua Abdiel Mengi na Benjamin Mengi kuwa wasimamizi wa Mirathi wa mali za Marehemu Dkt. Reg. Mengi na kutupilia mbali WOSIA wa mchongo wa MDANGAJI K-Lyn anayeshauriwa aachane na kupambania MALI zisizomhusu atafute SPONSOR mwingine wa kumlaghai.....

Usela mavi wanikumbusha kuwa "Share" na "Matunzo" ni vitu viwili tofauti.. Outcome ya kesi ni muda utaamua na wala hazitegemei hisia za huruma.
We endelea kukariri
 
Back
Top Bottom