Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mie naliona hili.Kwenye circle ya familia ya mengi wanachezewa mchezo watakuja kushtuka hawana chao
Yule mjane wa reginald mengi anatumiwa na watu kuhakikisha IPP inafilisika
Ipp haina watu makini,mzee mengi ameacha vijana wasio kuwa na plan ya kuendeleza kampuni
Kunq nia ovu ya kumfanya mjane ashinde kesi,akishashinda kesi atauza hisa zake ambazo ni nyingi ahame nchi kwa ufadhili wa vigogo
Na wanatarget media zaidi wazimiliki ili kuiua ipp abaki mzalishaji moja tu mkubwa
Nimenyetishwa kutoka chanzo makini
Si amewahamishia DUBAI? Kawatoa pale IST? km kina abdi hawawez gharama huko uarabun?Binafsi, mjane atumiwe au asitumiwe, THE FACT KWAMBA WALE WATOTO NI MENGI, kwanini hawawahudumii? Yaani kuna shida gani hapo watoto kupata huduma?
😂 😂 basi walipe kile walichokuwa wanakilipa wakati wakiwa ISTSi amewahamishia DUBAI? Kawatoa pale IST? km kina abdi hawawez gharama huko uarabun?
Sasa Regina n mwaamke, nguvu anayo AbdiKwa Regina vipi maana yule mama sio chizi fresh. Yupo smart
Klyn hataka sasa, anataka gharama ya huko uarabun, ndo mshike mshike ulipoanza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] basi walipe kile walichokuwa wanakilipa wakati wakiwa IST
Chairman wa IPP Ni nani sasa hivi?Sasa Regina n mwaamke, nguvu anayo Abdi
Abdiel.Chairman wa IPP Ni nani sasa hivi?
Regina ni mwanamke ndio lakini ni kichwa na ni sehemu pia ya hiyo mirathiSasa Regina n mwaamke, nguvu anayo Abdi
Nani amekudanganya?Ni ReginaAbdiel.
Hamka usingizini utajikojolea😹😹😹😹😹ulitaka wakaishi na kyln na Baba yao ndio uone kua wanamjali baba Yao ?
Upendo uko na pande mbili, usitegemee kuupata kama huutoi.. Na kama hupewi si lazima kuutoa.Hivi unyanyasaji wa Wajane tutaacha lini sisi Waafrica halafu watu hao hao wanahubiri Upendo na kukatazana Mabaya wakati wanadhulumu Wajane na Mayatima,
Vitabu vinavyopinga Ushoga havijaeleza na dhuluma za Wajane na Yatima au hayo sio ya muhimu kama Ushoga?
Sasa mkuu kwa umri ule wa Jack unataka asipate kumbatio jipya, halafu ni sheria gani inayomkataza mjane asiishi mahali popote Duniani zaidi ya Nchi yakeSidhani kama wasimamizi wa hiyo mirathi wanakataa kuwahudumia hao watoto; tatizo linakuja pale huyo mwanamke anavyotaka watoto wahudumiwe kama vile marehemu baba yao alipokuwa hai!!
Sasa kama huyo mama anaishi DUBAI na anataka watoto aishi nao huko na huduma ziwafuate huko DUBAI , inakuwa ngumu kidogo. Kama ni shule wale watoto wanaweza kusoma hapa hapa nchini na itakuwa rahisi kuwalipia karo za shule na mahitaji yao mengine. Lakini huyo mwanamke nadhani anataka apelekewe fedha za matunzo ya hao watoto huko Dubai ambako pengine anaishi na wanaume wengine!!
Hapo ndio penye utata wa jinsi ya kuwahudumia hao watoto. Mama anataka kula kwa mgongo wa watoto.
Sijaelewa, ni jukumu la wazazi? Sasa kama mzazi mwenye mchango mkuu kafariki, si mali zake zinatakiwa ziwatunze au? Anyway, K-Lynn kama mzazi, kashindwa kuhudumia wanae?
Hyo kesi atashinda sasa kibata yupo kazini atawasaidia.Kwenye circle ya familia ya mengi wanachezewa mchezo watakuja kushtuka hawana chao
Yule mjane wa reginald mengi anatumiwa na watu kuhakikisha IPP inafilisika
Ipp haina watu makini,mzee mengi ameacha vijana wasio kuwa na plan ya kuendeleza kampuni
Kunq nia ovu ya kumfanya mjane ashinde kesi,akishashinda kesi atauza hisa zake ambazo ni nyingi ahame nchi kwa ufadhili wa vigogo
Na wanatarget media zaidi wazimiliki ili kuiua ipp abaki mzalishaji moja tu mkubwa
Nimenyetishwa kutoka chanzo makini
Na ndio mimi nimeuliza kitu hicho hichoKwani jukumu la kulea watoto ni la mama peke yake?
Mali za baba yao zinafanya Nini?
Mnyonge mnyongeni haki Yake mpeni.
Kwa hili la kulea watoto namtetea jackline.
Hao wasimamizi wa miradhi wameshaanz kuwa wabinafsi mwisho watawadhulumu hao watoto