Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na bado!Huyu mwanamke si alishakata rufaa juu ya usimamizi wa mirathi wa hao uliofanywa na Mahakama Kuu? Rufaa haijasikilizwa tena anapandishia kesi nyingine? Ameanza kupoteana mapema sana
[emoji23][emoji23]Hivi mengi aliwaza nini kuzaa uzeeni vile, tulikubaliana kuwa wanaume kuzaa mwisho miaka 5o
Kwann aliwahamisha shule hapa bongo?Hao ndugu wa Mengi wanazingua. Watoto wa jacky na Mengi ni ndugu zao pia.
Why utata uwe mkubwa hivi.
Hapo ndipo napoipendea dini ya kiislam. Mahakama isingepata shida kugawa mali ingesoma taratibu za kwenye msaafu tu.
HahaaaKumbe umekurupuka kuleta udaku na lawama tele huku haujui wanapoishi aiseee
Kiasi gani cha pesa alikuwa anataka kwa ajili ya matumizi ya watoto alikuwa anataka kwa mwezi ?isije ikawa mamilion ya hela
Ova
amejibu msimamizi ambae ni rafiki wa mpakanjiaSwali hujajibu bali umepiga chenga kulijibu. Lisome tena swali hapa chini
Kwamba ukoo wa nani umemzulumu mtoto wa mpakanjia?
Hii ndo nasikia leo, nijuavyo hakuna sheria ya mirathi ya kikristo, hivyo sheria haijaweka limit mwanaume mwisho awe na wake wangapi,,Case ipo wazi hela ya nini watoe? Mbona yeye kyln katoa sana rushwa ya papuchi kwa baadhi ya viongozi including Makonda wamsaidie kushinda na Mbona hawakuweza kupindua meza ?vitu viko wazi na Ndoa yake na Mengi ni Batili alifunga mke mkubwa akiwa hajapewa talaka na ndio maana hawakufunga ndoa Tanzania
amejibu msimamizi ambae ni rafiki wa mpakanjia
Hii ndo nasikia leo, nijuavyo hakuna sheria ya mirathi ya kikristo, hivyo sheria haijaweka limit mwanaume mwisho awe na wake wangapi,,
Ila we unatumia emotion zaidi kujadili hili,, sheria haisemi eti mtu asiolewe na mtu ambae kishachuma pesa,,, hata nchi zilizoendelea, ukifunga ndoa na mtu, hiyo ndoa ni halali hata mme au mke afe dakika moja baada ya kufunga ndoa mjane ana haki ya kurithi maliSi ndo hapo?
Hii ndo nasikia leo, nijuavyo hakuna sheria ya mirathi ya kikristo, hivyo sheria haijaweka limit mwanaume mwisho awe na wake wangapi,,
Hili swali aliulizwaga umewahi ona divorce ya mumeo na Mercy akajibu hapana[emoji23]Case ipo wazi hela ya nini watoe? Mbona yeye kyln katoa sana rushwa ya papuchi kwa baadhi ya viongozi including Makonda wamsaidie kushinda na Mbona hawakuweza kupindua meza ?vitu viko wazi na Ndoa yake na Mengi ni Batili alifunga mke mkubwa akiwa hajapewa talaka na ndio maana hawakufunga ndoa Tanzania
amejibu msimamizi ambae ni rafiki wa mpakanjia
Unachekeshaa[emoji23][emoji23][emoji23] aiseeee... hii sheria yako ya wapiHii ndo nasikia leo, nijuavyo hakuna sheria ya mirathi ya kikristo, hivyo sheria haijaweka limit mwanaume mwisho awe na wake wangapi,,
Kwa hiyo huo uzuri wa uislam kwenye mirathi unaangalia nani aliyekabidhiwa?
Janja janja mahakamani hakuna.Anakufurahisha anavyokimbilia mahakamani , anashinda case sasa? Ameenda mahakamani Mara ngapi na zote ameshindwa
Ubaya ni kwamba anapambana na familia ambayo inafahamika ilipotoka na jamii nzima, Leo nikajilengeshe kwa Dangote nizae after a while afariki then nidai Mali zote hakunaga kitu kama hiko
Kweli kabisa ,inabidi aache maisha ya kujirushaMzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena
Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping
Siyo wivu tu natoa ushauri mzuriUna wivu sana
Akishia kufungua kiduka chake fake Cha furniture kinauza ofisi chair moja sh.1.2 m...sijui hata alikuwa anawaza nini yaani!Ndio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,
Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
Mwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2β¦..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dadaNdio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,
Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
I think ,kabla hujani quote ungerudi nyuma uangalie niliyem-quote aliandika nn na mi nikajibu! Anyway!Ila we unatumia emotion zaidi kujadili hili,, sheria haisemi eti mtu asiolewe na mtu ambae kishachuma pesa,,, hata nchi zilizoendelea, ukifunga ndoa na mtu, hiyo ndoa ni halali hata mme au mke afe dakika moja baada ya kufunga ndoa mjane ana haki ya kurithi mali