Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Watu wanachanganya imani zao, sheria za ndoa zinavyosema, na pia wanachanganya na wivu binafsi kwa wanufaika wa hizo mali za marehemu.

Ukiwauliza Sheria gani ya ndoa inamkataa k lyn kama sio mke halali wa mengi? Wanakuwa wakali bila majibu


HAkuna mtu mwenye wivu , majority ya Watanzania ni watu wenye kupenda kusimamia upande wa Haki

Na Mimi ni mmoja wao tunasimamia upande wa wenye haki , huo ujambazi akafanyie kwao Burundi

Anadhani kwa Kua jiwe amefariki Basi mahakamani hakuna haki na atapindua meza hakuna kitu kama hiko
 
Khaaa kweli hana akili!
Hasa huyo mwanaume mpya km kweli mwanaume si ampe maisha aliyokua alipewa na Mengi?anahangaika nn?
Hizo hela anazochezea Dubai atazikumbuka ni suala la muda tu
 
Hakuna lolote,hasa wivu wa nn Kwa jaq?
Watu wanaongea ukweli,ndio alikuwa mchepuko aliyelazimisha ndoa ili aonekane mke halali ,anachokutana nacho ndo matokeo ss!
Mi simpondi ila nasema hivi, hili somo Kwa wadangaji wote wanaodandia Mali za watu,make sure huyo danga anakufanyia kila kitu kabla hajafa ili usilete shida kwenye familia uliyoikuta!

Kwanza ningekuwa mi na hivi wanahudumia watt,ningewaachia mi naendelea na maisha yangu kuliko huu upumbavu anaofanya!

Basi tosheka na unachopewa, yaani ulipiwe ada , full accommodation, vocation bado tena huridhiki,anasahau kuwa kuna wtt wakubwa aache ujinga! Hakuna asiyejua Mali zote alizikuta hajachuma tusijitoe akili hapa!
Kwanza kawakuta wastaarabu nakwambia!
 
Halafu mtu anakuja Hapa kusema tunamuonea wivu jaq?? Like serious!
Aache ujinga,hao watt watalelewa vzr tu wachaga hawaachi damu yeye tu mawenge yake!
 
Khaaa kweli hana akili!
Hasa huyo mwanaume mpya km kweli mwanaume si ampe maisha aliyokua alipewa na Mengi?anahangaika nn?
Hizo hela anazochezea Dubai atazikumbuka ni suala la muda tu

Hana hizo hela za kumpa huyo mzungu Mpya kaajiliwa sio mfanyabiashara,Dubai wanaishi kwenye 2 bedroom apartment
Matajiri kama Dr.Mengi wanakaa kwenye big mansion with an ocean view
 
Mwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Aiseee hata Mimi nilishangaa kama wewe Aiseee
Yaani office chair 1.2 million halafu mchina hahahahahah si Bora niende keko fenicha nikazoe kenta nzima kitu og?
 
Mwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Aiseee hata Mimi nilishangaa kama wewe Aiseee
Yaani office chair 1.2 million halafu mchina hahahahahah si Bora niende keko fenicha nikazoe kenta nzima kitu og?
 
Mental capacity ya Marehemu mbona huiongelei, maana Marehemu aliweka mpaka Mali ambazo sio zake ktk huo wosia, huoni hapo Marehemu "alikuwa" anamchezesha shera
 
Ohoooo hapa pagumu.

Kwa hiyo mahakamani asubuhi kapigwa kitu kizito, yeye sio mjane ni hawara!!!!!
 
50 m

Akaishia kununua gucci versace na trip za paris


Dadeki


Kwenye miti zero wajenzi
 
Mkaldayo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…