Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

ndiye aliye kuwa anampa furaha marehemu.
hivyo anayo haki utake usitake.
Ndugu wa Marehemu wanataka kupora na kudhulumu Haki ya Mjane kwa kutumia mfumo dume kandamizi.
Kama kuna furaha sijui lakini pia alinpa stress zilizommaliza uhai wake yule mzee angebaki single au angeoa mzee mwenzake huenda angekuwa hai bado,dangote mpaka leo hana mke anajua hawa majambazi ni hatari
 

Swali hujajibu bali umepiga chenga kulijibu. Lisome tena swali hapa chini

Kwamba ukoo wa nani umemzulumu mtoto wa mpakanjia?
 
huo ndio mshahara wa gold diggers.
 
Kila mtu anafahamu kwamba Huyo dada alimkuta mzee Mengi na mali zake.

Labda angedai kiasi kile kichopatikana wakati wa ndoa yao.

Ila hao wasimamizi wanapaswa kuangalia hao twins kwani ni sehemu ya familia yao.

Huyo mama sio lazima sana.
 
Huyohuyo Shishi std vii "B" nyumba yake kaiweka ubaoni iuzwe.
 
Kama ni kweli hao nao Wana roho mbaya na uroho pamoja na tamaa za hizo mali.
Mali zote hizo wanapeleka wapi hadi wagome kuhudumia hao watoto zaidi tu nao watakufa na kuziancha kama alivoziacha kwenye nazo.
Asilimia 95% ya Mali zinapatikana kishirikina kwa iyo mwisho wake zinakuwa ivyo

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Unataka wanawake washirikiane kumpa mwanamke mwenzao hata visivyo halali yake. Atapata haki yake mahakamani. Hakuna Janja janja.
 
Naona wengi tumeivamia hii mada kwa hisia na mambo binafsi kuliko uhalisia.

Kwanza ni haki kwa watoto wa marehemu Mengi kusomeshwa na mali za marehemu baba yao.

Pili ni haki kwa Jackline Mengi kudai hilo jambo kisheria litekelezwa ipasavyo.

Tatu hatujui upande wa pili (wasimamizi wa mirathi) wana maoni gani katika hili.
 
Hizo mali alichuma na mke mkubwa au na mke mdogo??
 
Wakulaumiwa ni Mengi mwenyewe kwa usomi na exposure aliyokuwa nayo inashangaza sana kwa nini hakuweka vizuri mirathi yake huku akijua ana wake wawili.alikumbuka kutunga kitabu akasahau mirathi.Tuna la kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…