Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara
Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
Manara ni balozi hata wa Bakheresa. Kuwa balozi siyo kujua mambo ya kampuni.

Wanaojua Siri za ofisi ni wakurugenzi, mameneja na watu wa Uhasibu.

Uzito wa Manara ni majuha tu ndio wanamchukulia serious
 
kajambie msimbazi
 
Aibu niliona mimi🥹
Hamisa hajachelewa kujirekebisha, mama yake sio mshauri mzuri
Yaniii sijui kwakweli ni aibu mnoo...unadhani unapendwa kumbe ni kujidhalilisha
 

Inabidi tucheke tu tufurahi. Hamna namna. [emoji23][emoji23]

Ila na uhakika ukweli unaujua. Wewe si wa kuyasema haya Mkuu.
 

Labda ni kweli unachosema lakini mkuu?

Lengo lao la kwenda uwanjani ni nini?

Waondoke kabla lengo halijatimia?

Tusimtete event manager, kama mambo yangepangiliwa vizuri haya mambo yote yasingekuwepo.
 
"Sitoki mpaka aje hapa" Zungu ndio anazidi kunipa hamasa ya kuona simba na yanga upuuzi
Binafsi naipenda sana simba ila sijafikia kuwa shabiki mpuuzi puuzi

Nakubaliana na wewe kuna upuuzi mwingi sana.

Hii kauli ya manara ilikuwa ni ya kishenzi sana.
 

Umesema mwenyewe kuwa haya mambo yanajadiliwa kishabiki.

Naamini ukitoa ushabiki, huwezi zungumza haya mambo uliyozungumza mkuu.
 
Mkuu hapo kwa Marioo umemsingizia.. katekeleza alichopaswa kufanya walau 87%. Jarmonize kazingua..

Nje na hapo, hivi kwani huwa ni lazima kuwe na mipicha ya rais uwanjani? Ni kama kampeni tu zinaendeshwa pia kupitia mpira

Mkuu hii nchi ya ajabu sana.

Wanatambua watanzania wengi akili zao zipo ndani ya Simba na Yanga. Hivyo wanatumia hii platform kushawishi watu kisiasa.

Japo hakuna ulazima wa kufanya hivyo.
 
Labda ni kweli unachosema lakini mkuu?

Lengo lao la kwenda uwanjani ni nini?

Waondoke kabla lengo halijatimia?

Tusimtete event manager, kama mambo yangepangiliwa vizuri haya mambo yote yasingekuwepo.
Mechi ilitangazwa itakuwa saa mbili usiku, sasa hapo kwa akili za kawaida mechi itaisha saa ngapi?
 

Pole Mkuu.

Usipende sana hivi vilabu hadi ukahisi kila jambo ni sahihi.

Pale wanapokosea, watu wazungumze, turekebishe na ni hapo ndipo tutakua.

Madhara yake utaona kwenye tamasha lijalo.
 

Una ushahidi na haya mambo uliyozungumza?

Jambo sijaitaja Simba, ila linapokuja suala la matamasha hawa jamaa wameicha mbali sana Yanga.

Simba ndio waasisi wa haya matamasha na wanaitendea haki sana hii nafasi yao.

Ila naamini msimu ujao mtakua bora pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…