Manara ni balozi hata wa Bakheresa. Kuwa balozi siyo kujua mambo ya kampuni.Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara
Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
Ile Ni event Kubwa,huwezi Leta mapenzi jukwaani Mara kuvuana nguo Kisha jezi kuvalishana.it’s unprofessional kabisaaManara anatumiwa muda mrefu kumzungusha hawara yake jukwaani huku muda unaenda wanaanza kukimbizana baadaye
Hata Chaijaba mwenyewe hakupendaIle Ni event Kubwa,huwezi Leta mapenzi jukwaani Mara kuvuana nguo Kisha jezi kuvalishana.it’s unprofessional kabisaa
kajambie msimbaziTayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Ujinga ni kuumia jambo ambalo halikuhusuMafanikio ni Manara kugoma kuondoka stejini mpk afunge kamba za viatu vya Pacome? Upuuzi wa karne
Basi nyamaza acha kulia mwasibu, pole eti mwasibuHiki ndio kiwango cha upumbavu tunachosema. Nadhani wewe ndio kinara wao humu
Yaniii sijui kwakweli ni aibu mnoo...unadhani unapendwa kumbe ni kujidhalilishaAibu niliona mimi🥹
Hamisa hajachelewa kujirekebisha, mama yake sio mshauri mzuri
Show imefunika vibaya mno, watu hawakumbuki kabisa kama jana tu ilikuwa Simba day! Kila kitu kilikuwa super mwake mwake babake!! Yanga inatisha kwenye show za kibabe, dunia nzima imeona na kushangaa jinsi Yanga inavyoshinda kila kitu hadi matamasha na mafataki!!
Vitu vilivyowauma sana makolo ambavyo hawana ni wananchi kuvaa uzi mpya uwanja mzima jana zilikuwa kauka nikuvae jezi za zamani mashabiki wa Simba hawana hela ya jezi, makombe matatu makali, mashabiki kujaza viwanja viwili ni maajabu, nongwa za Manara kutambulisha dada zake wa ikwiriri, mrembo Mobeto kuvalishwa jezi na Ki Aziz , kiongozi mkubwa sana kupewa kadi, gari kali la Kitenge, show bab kubwa ya Marioo na Harmonize na ile show kabambe ya half time, mpira kama Real Madrid msako mkali mwanzo mwisho timu ina muunganiko, goli la dhahabu la Mudathir, chenga hatari za Pacome na penati ya karne ya Ki Aziz kipa kaenda sokoni na mengineyo.
Makolo muwe mnaanza tamasha lenu kila siku sisi uto tunamalizia na kuwapoteza!!
Sasa hapa kosa la Yanga liko wapi?
Ile n kazi yao kwahy na nyie mashabiki mfanye kazi yenu, kama unaona kesho unaenda shule n kwann ukae mpaka usiku?
Ww unawalipa kupitia kiingilio je wao wanakulipa pale?
JPM alikuwa sahihi sana kusema simba na Yanga wanawapumbaza wananchi.
"Sitoki mpaka aje hapa" Zungu ndio anazidi kunipa hamasa ya kuona simba na yanga upuuzi
Binafsi naipenda sana simba ila sijafikia kuwa shabiki mpuuzi puuzi
Hizi show zinajadiliwa kishabiki sana aisee.
Ya mwananchi imefana sana, ilikua na burudani kedekede, wasanii wa kuzidi, shangwe kama lote.
Djs wa kimataifa..
Simba walichofeli mpaka vibe kushuka ni kuingia ubia na crown fm, djs wachanga wa crown fm ndo wakahost tamasha na wasanii wao kina Mwijaku.
Mkuu hapo kwa Marioo umemsingizia.. katekeleza alichopaswa kufanya walau 87%. Jarmonize kazingua..
Nje na hapo, hivi kwani huwa ni lazima kuwe na mipicha ya rais uwanjani? Ni kama kampeni tu zinaendeshwa pia kupitia mpira
Mechi ilitangazwa itakuwa saa mbili usiku, sasa hapo kwa akili za kawaida mechi itaisha saa ngapi?Labda ni kweli unachosema lakini mkuu?
Lengo lao la kwenda uwanjani ni nini?
Waondoke kabla lengo halijatimia?
Tusimtete event manager, kama mambo yangepangiliwa vizuri haya mambo yote yasingekuwepo.
Sasa , Kwanza suala la muda , mbona sisi Wanayanga hatulisemi ? Tumerizika kabisa, hizo kelele za nini ?
Na ndiyo maana nyie muna siku yenu na sisi yetu ,
Kwa hiyo munataka tufanane , mnachokifanya na sisi tufanye ?
KWA HIYO ALIYOFANYA MO JUZI NI SAHIHI ? KUTAMBULISHA UKOO WAKE ? Hili nalo lilikuwa kwenye ratiba yenu , mo atambulishe dada zake ,
ACHENI MAMBO YA AJABU
Yanga Tamasha lao lilikua zuri tena lenye utulivu licha ya watu kuwa wengi na kutumika viwanja viwili.
Tamasha la Simba Majukwaa yalikua na mapengo sasa ili kuondoa aibu ilibidi walazimishe watu waingie Bure, Matokeo yake watu waka vunja mageti wakati Wana pambania fungulia Mbwa.
Kinacho fuata ni fain ya uharibifu wa Mali za umma.
Yani Mobeto na Azizi walikosa sehemu ya kuvishana tisheti jamani mpk mbele ya makamu wa Rais? Mgongo wote nje
Mambo ya hovyo kabisaYani Mobeto na Azizi walikosa sehemu ya kuvishana tisheti jamani mpk mbele ya makamu wa Rais? Mgongo wote nje
Kuwahi kutokea...Mambo ya hovyo kabisa
Upuuzi mtupuSijui ni nani ameruhusu tamasha liendeshwe kihuni huni namna ile?