Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Shabiki wa simba anaipindea show ya yanga vivyo hivyo kwa shabiki wa yanga.Umesema mwenyewe kuwa haya mambo yanajadiliwa kishabiki.
Naamini ukitoa ushabiki, huwezi zungumza haya mambo uliyozungumza mkuu.
Katikati ya nini, ilikuwa dakika ya ngapi mkubwaKichekesho ni one minute of silence kwa Manji katikat ya mchezo wkt ki itifak ingetakiwa liwe katika matukio ya tamasha lenyew
Mtu wakawaida anakuwaje?Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara
Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
Alafu Aly komwe anaachiwa masufuria na mabakuli ya supu aoshe peke yake .Anakumbukwa Azizi Ki na Mobeto anasahaulika Manji [emoji1787][emoji1787]
Asiekuwa maarufuMtu wakawaida anakuwaje?
Marekebisho: Wewe mtani huendi na ishu za town au ulidoji somo la namba , kwasasa uto tuna watu watatu wenye akili , Mzee Manara, Rais Kikwete na naona umemsahau mzee Magoma!Wameingiza mashabiki bure ili waonekane wameizidi Simba.
Kweli yanga wenye akili ni wawili.
Nilisoma pcm bado nilikuwa na takwimu za zamani Ila uko sahihiMarekebisho: Wewe mtani huendi na ishu za town au ulidoji somo la namba , kwasasa uto tuna watu watatu wenye akili , Mzee Manara, Rais Kikwete na naona umemsahau mzee Magoma!
Umeandika ya kweli hakika, ila mimi hili la huyu bwana mdogo Kamwe ndilo limenisikitisha sana.Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Wewe ni Yanga? Inakuhusu? Acha wivu.
Usitegemee makubwa toka kwa Yanga, ile ni timu ya Kiswahili na ndiyo maana mambo yao ni ya Kiswahili swahili tu siku zote.
Harmonize & Manara waliingia wakiwa wamelewa ... Na uchawa wa Kitenge na Zembwela ukaharibu kila kitu .
Hata mimi kiukweli sijafurahishwa na mambo kadhaa kwenye tamasha la jana;
1. Kupangwa siku ya Jumapili, badala ya Jumamosi! Na hii ni kutokana na ukweli kwamba baadhi ya mashabiki wanatokea Mikoani, na usikute ni wafanyakazi! Sasa unarudi vipi Mkoani na kuwahi kazini?
2. Mchezo wa kuhitimisha tamasha kuanza saa tatu usiku! Wakati mwingine nashauri mchezo uanze kati ya saa 11 - 1 jioni, ili watu waondoke mapema kurudi majumbani kwao. Sidhani kama kulikuwa na sababu ya msingi ya kuanza saa tatu usiku.
3. Hajji Manara adhibitiwe. Huyu kiumbe akiendelee kuachwa afanye anavyotaka; bila shaka kuna siku watu watasusa kuhudhuria hilo tamasha. Haiwezekani mtu mmoja ajione ana haki ya kufanya chochote anachojisikia hata kama ni kitu cha kipuuzi! kwenye kundi la watu elfu 60+.
Gsm wanamuogopa manara wanajua wakimchinjia baharini ataitisha press na kuanza kuwaanika km alivyomfanyia mo dewji.
Inakuwa kama ile hadithi ' nani wa kumfunga paka kengele? Wanakosa ujasiri wa kumwambia hahitajiki yanga
Na tokea arudi hana alichoongeza zaidi ya drama tu!
upande wa protocol alikuwa hovyo
hivi Mangungu alitambulishwa ?
Mkuu familia yako inafahamu unapigania haya yasiyo na tija...
[emoji23][emoji23]