Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

Umesema mwenyewe kuwa haya mambo yanajadiliwa kishabiki.

Naamini ukitoa ushabiki, huwezi zungumza haya mambo uliyozungumza mkuu.
Shabiki wa simba anaipindea show ya yanga vivyo hivyo kwa shabiki wa yanga.
Ni waelewa wachache ambao wako nje ya box la ushabiki, wengi mmexamia humo.
 
Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara
Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
Mtu wakawaida anakuwaje?
 
Wenye timu yetu wala hata hatujakasirika. Mimi nilifurahi sana mechi kuisha saa 5 usiku kwa sababu nilijitwalia zangu katoto ka mwaka 2006 kama soma VETA na Mimi nikaonjamo..
 
Umeandika ya kweli hakika, ila mimi hili la huyu bwana mdogo Kamwe ndilo limenisikitisha sana.

Yanga na hasa ndugu Hersi (nimesitisha kukuita "injinia" au kuweka "Eng") jitahidini sana kuondoa huo uswahili swahili uliopo hapo.
 
Usitegemee makubwa toka kwa Yanga, ile ni timu ya Kiswahili na ndiyo maana mambo yao ni ya Kiswahili swahili tu siku zote.

Hii ni changamoto kubwa sana upande wao.

Labda kuna siku watamka. Nje ya hapo tutaenda kutia aibu huko mbeleni kama taifa, maana tayari wameanza kufuatiliwa na watu wa mataifa tofauti tofauti.
 
Harmonize & Manara waliingia wakiwa wamelewa ... Na uchawa wa Kitenge na Zembwela ukaharibu kila kitu .

Ni changamoto sana.

Kwenda kwenye tamasha kama hili umelewa sijui ni dharau, kiburi ila wanawaangusha sana Wananchi
 

Umenena vyema. Kudos Mkuu
 

Watamuogopa hadi lini?

Sipo kuharibu ugali wa Manara, ila wakati wa kudeal naye ni sasa kabla hajajiona ni kila kitu pale Yanga.

Huyu jamaa ukimpa freedom tu, anafanya anachotaka na ana ushezi mwingi sana.
 
upande wa protocol alikuwa hovyo

hivi Mangungu alitambulishwa ?

Yes Mangungu alitambulishwa.

kuhusu protocol jamaa alijitahidi sana kwa kufuata itifaki na bila kuacha mtu au taasisi muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…