Mweusi Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 332
- 322
Kwani walivyofanya zoezi la kuandikisha watumishi wa umma wote wewe hukuandikishwa?
Kwan sheria ilitamka ni lazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani walivyofanya zoezi la kuandikisha watumishi wa umma wote wewe hukuandikishwa?
Haikuwa sheria bali ni waraka ulitoka ofisi ya rais menejimenti ya utumishi ummaKwan sheria ilitamka ni lazima?
Acha uongo...kuna utaratibu umeandaliwa kwa wasiokuwa nacho...sizan kama ww ni muhusika...pia deadline ni 15 July...Wakuu habari za kazi.
Kuna tetesi kua watumishi wa umma wasio peleka Vitambulisho vya Utaifa kwa Human Resources au ofisi husika kama ilivyoagizwa kwaajili ya uhakiki, hawatapata mshahara wa kuanzia mwezi huu July.
Hiyo nimeambiwa Leo na HR wa ofisi yangu. Mimi nikiwa mmoja wa watu wasiopeleka (kwasababu Sijapata bado), na deadline ya kupeleka IDs hizo ni Tarehe 16 July mwaka huu.
Nilikua nauliza kama kuna ukweli wowote katika tetesi/taarifa hizi.
Shukrani.
Jipe moyo tu,dadeki hakuna cha nyongeza wala upuuzi wowote,jiongeze!Jamaa anatia huruma... na vile mwezi huu salary imeongezwa.. patamu hapo!!
Huwa sipendi ligi..... subiri tarehe itaongea.Jipe moyo tu,dadeki hakuna cha nyongeza wala upuuzi wowote,jiongeze!
duuh ngoja nikisake mkuuShauri yako awamu hii usishangae kuambiwa syo mtz
Ova
wahi sabasaba hujachelewaSasa mkuu, kwanini msingetuongezea muda kidogo ata mwezi wa 9 hivi ndio iwe mwisho.
Usichee kibarua wakati unaona hali ilivyobana kupata kibarua kingine. Nenda wilayani kwako kuna ofisi za NIDA ukafanye taratibu zakupata kitambulisho. Watakupa namba ambayo utaenda nayo kwenye zoezi la uhakiki linaloendelea. Ingawa halimashauri zinatofautiana lkn wana utaratibu unaoweza kukusaidia kuhakikiwa.Wakuu habari za kazi.
Kuna tetesi kua watumishi wa umma wasio peleka Vitambulisho vya Utaifa kwa Human Resources au ofisi husika kama ilivyoagizwa kwaajili ya uhakiki, hawatapata mshahara wa kuanzia mwezi huu July.
Hiyo nimeambiwa Leo na HR wa ofisi yangu. Mimi nikiwa mmoja wa watu wasiopeleka (kwasababu Sijapata bado), na deadline ya kupeleka IDs hizo ni Tarehe 16 July mwaka huu.
Nilikua nauliza kama kuna ukweli wowote katika tetesi/taarifa hizi.
Shukrani.
Ukipata pakuanzia kukipata naomba nijurisheduuh ngoja nikisake mkuu