Wewe unae sema tumeumbwa badala ya kuzaliwa ndio unatakiwa kuwa mirembe.Kuwa makini usije ukawa admitted Mirembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unae sema tumeumbwa badala ya kuzaliwa ndio unatakiwa kuwa mirembe.Kuwa makini usije ukawa admitted Mirembe
Soma uzi vizuri usipo fahamu niambie mkuuSasa unataka tujibu kitu gani?
Akiwepo na wewe hujaamini itakuajeSi mpaka awepo
Sijakuelewa mkuuMimi naona tunahoji mambo makubwa Sana na sometime yapo nje ya uwezo wetu. Tuanzie Kwa kuhoji Hawa wakoloni weusi, yapo ndani ya uwezo wetu na majibu tutayapata
Ukinieleza jinsi mwanadamu wa kwanza alivyotokea nakueleza Mungu alipo na anachofanyaYuko wapi? Anajishughulisha na nini huko? Ulijuaje?
Hawezi kuwepo nina uhakika uoAkiwepo na wewe hujaamini itakuaje
Kwa sababu ina stori za kufikirika na za kitoto sanaKwann Quran ndo upuuzi kabisa?
Kuna lipoyoyo moja linaitwa kiranga ndio li kiranja lao wasiotaka kumsikia munguIkiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Namanisha hakuna jambo gumu kama Imani. Tupambane na kuhoji haya yanayoathiri maisha yetu moja Kwa moja. Mf tuhoji matumizi sahihi ya Kodi zetu, Sheria kandamizi. Haya yana impact kwetu lakini hayo ya Imani tuache watu wanavyoamini tuSijakuelewa mkuu
Hakuna kitu hapo.Soma uzi vizuri usipo fahamu niambie mkuu
Hata na akili yako haiwezi kuepo ninauhakika huo au unaijua ilipoHawezi kuwepo nina uhakika uo
Akili ni nini bro?Hata na akili yako haiwezi kuepo ninauhakika huo au unaijua ilipo
EvidenceMungu hayupo wala dalili ya kuwepo tu hakuna.
Hujui maana ya akili?Akili ni nini bro?
Mwambie aje athibitishe mwenyewe uwepo wake aache kujificha kama mwaliEvidence
Sijui wewe unaijua? Umewai kuinaHujui maana ya akili?
Angekuwepo hata uzi huu usingekuwepoEvidence