Stunnaman008
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 238
- 272
- Thread starter
- #101
Sasa kwani nikitoa evidence kama akili yako haipo unadhani nitatoa au sitotoaEvidence ya kitu ambacho hakipo? Fikiria vizuri kabla ya kujibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani nikitoa evidence kama akili yako haipo unadhani nitatoa au sitotoaEvidence ya kitu ambacho hakipo? Fikiria vizuri kabla ya kujibu.
Huu uzi wako umekuzidi mkuu wangu😄Sasa kwani nikitoa evidence kama akili yako haipo unadhani nitatoa au sitotoa
Usome vizuriHuu uzi wako umekuzidi mkuu wangu😄
Usiku mwema boss tufanye yupo😁Usome vizuri
Lete evidence kama huyu mungu hayupo
Mimi nimesema yupo nimetoa evidence
Umeleta evidence gani? Kuna selfie uliyo piga nae umeiweka hapa?Usome vizuri
Lete evidence kama huyu mungu hayupo
Mimi nimesema yupo nimetoa evidence
Mh ukikua utaachaUmeleta evidence gani? Kuna selfie uliyo piga nae umeiweka hapa?
Hahahaha jupita hakuna majiKosa lake Mungu lipo hapa yeye alizinguana na shetani akaamua kututupia sisi huku duniani kwa nini asingemtupia hatu kwenye sayari ya JUPITER
Hawa evidence kama mungu hayupo wanaonhea tuHahahaha jupita hakuna maji
I was born with it. Who created God?Nani alie umba akili yako?
Mkuu wewe ni mweupe kichwani ,unalijua hilo?Hawa evidence kama mungu hayupo wanaonhea tu
Walio zaliwa bila akili wao vipi au kila anaezaliwa anakuwa na akiliI was born with it. Who created God?
Soma uzi mstari wa mwishoMkuu wewe ni mweupe kichwani ,unalijua hilo?
Mkuu wewe ni mweupe kichwani ,unalijua hilo
Umeamka sasa mkuuMkuu wewe ni mweupe kichwani ,unalijua hilo?
Hakuna Mungu kwa sababu hayupoUmeamka sasa mkuu
Lete evidence
Wewe pinga hoja yangu kama umekosa evidence haya mambo niliokutajia yanajiendesha wenye au hapanaHakuna Mungu kwa sababu hayupo
Kweyo na wewe akili yako haipo na wewe hupoHakuna Mungu kwa sababu hayupo
Hiyo akili ndio Mungu?Kweyo na wewe akili yako haipo na wewe hupo