Wasira anaanza kuwa kero, ataleta mtafaruko

Wasira anaanza kuwa kero, ataleta mtafaruko

Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Anaakisi akili ya aliyemteua. Ana siasa za kizamani zisizoendana na wakati. Ni mtu used
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Kabisa analeta ujinga wa zamani hapa.
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako

Wasira amezeeka vibaya. Kuna watu kadiri wanavyozidi kuzeeka ndivyo wanavyozidi kuwa na gekima lakini huyu kadiri anavyozeeka, anazidi kuwa hopeless.
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 4
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Matusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?
1. Mbowe mwizi
2. Mbowe mlarushwa
3. Mbowe anateka watu wa chadema
4. Mbowe muongo
Mpaka kitabu Lema kamuandikia mbowe. Kisa yeye na kundi lake liongoze chadema
 
Matusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?
1. Mbowe mwizi
2. Mbowe mlarushwa
3. Mbowe anateka watu wa chadema
4. Mbowe muongo
Mpaka kitabu Lema kamuandikia mbowe. Kisa yeye na kundi lake liongoze chadema
Una Sound kama fala vile

Au unahisi upo kuzimu unongopea wafu
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii

Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Wasira mindset yake imejengwa kwenye siasa za propaganda and mabavu ya dola.
 
Back
Top Bottom