Wasira anaanza kuwa kero, ataleta mtafaruko

Wasira anaanza kuwa kero, ataleta mtafaruko

Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Kwani huyu WASIRA na kinana Nani mkubwa ki-umri? Mzee ananifanya nianze kuchukua hata nguo za kijani!🤮🤮
 
Badala ya kuhangaika kutatua kero za Watanzania, kuisimamia serikali na watendaji wake. Anopeteza muda kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu.
Anasema watanzania wananjaa hawataki katiba wanataka chakula. Sasa ajiulizi hiyo njaa ya watanzaia nani amesababisha
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
CCM wanafanya ukatili kwa wanyama kwa huyu kiumbe toka hifadhi ya Gombe kuiishi kwenye makazi binadamu
 
Bunda walimkataa kwa sababu ni mzee, hawezi kuwatumikia kwa kuwa amezeeka sana,, miaka kumi baadae CCM wanamleta akitumikie chama kitaifa,, maajabu haya
Tunaposema kuwa CCM ni chama chakavu muwe mnatuelewa,imagine takataka kama Stephen Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti Taifa wa CCM.
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Kwa wenzako wanayoyataka ndiyo hayo. Ndiye mtu wa kujibizana na Lissu.
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Wakati mwingine unaweza kufikiri watu wamekuheshimu, kumbe ni kinyume chake!
Yaani mzee wa miaka 80, bado awe na nguvu za kukimbizana na watoto na wajukuu zake?
Hapana, hii haikubaliki.
Ifikie hatua, mtu mwenyewe hujiheshimu na kujithamini kabla ya kuheshimiwa na kuthaminiwa na wengine
 
Mtu huwezi ukawa na akili timamu ukifikisha miaka 80 na zaidi.
Uhuru wa nchi hii umechangiwa na watu wengi wa wakati huo wakiwemo wananchi wa hali ya chini yaani kila mmoja alishiriki kwa sehemu yake kwahiyo si sahihi kikundi cha watu fulani kujiona wao ndiyo wana haki ya kuongoza nchi hii milele na milele.
Umenena vyema !
Wenye masikio na wasikie !

Wasukuma Wanasemaga the guilty are always afraid 😱 !
 
CCM ilitegemea tija gani kutoka kwa mtu mwenye miaka 80? Walioweka retirement age walizingatia mambo mengi.
Donarld Trump ana miaka 79 na bado hajastaafu , na anategemea kuondoka kuondoka ikulu ya white house mwaka 2029 akiwa na miaka 83.
Kuongoza chama kama CCM na kuongoza taifa kubwa kama USA ipi inahitaji mtu mwenye nguvu ya akili?!
Nyinyi tulieni sindano za Mzee Wasira ziwaingie na baaaaado hamjasema, na mtasema , yaani lazima mseme!
 
Mtu huwezi ukawa na akili timamu ukifikisha miaka 80 na zaidi.
Uhuru wa nchi hii umechangiwa na watu wengi wa wakati huo wakiwemo wananchi wa hali ya chini yaani kila mmoja alishiriki kwa sehemu yake kwahiyo si sahihi kikundi cha watu fulani kujiona wao ndiyo wana haki ya kuongoza nchi hii milele na milele.
Kuongoza chama kama CCM na kuongoza taifa kubwa kama MAREKANI ni kipi kinahitaji mtu mwenye nguvu kubwa ya akili ?!
Donarld Trump ana miaka 79 na ataondoka ikulu ya Whitehouse mwaka 2029 akiwa na miaka 83.
Nyinyi mnamuogopa sana mzee Wasira kutokana na uzoefu mkubwa aliokuwa nao kwenye siasa na nguvu alizonazo za kujenga hoja za kisiasa.
Mzee Wasira Tanzania anaijua na siasa anazijua.
Tulieni sindano ziwaingie na hapo baaaaado hamjasema,
Na mtasema,
Yaani lazima mseme!.
 
Hizo ndio akili za ccm sasa kama ulikua haujawajua vizuri, ukitazama mambo yao wanavyo fanya na jinsi wanavyo ongea utagundua kabisa utafiti kuhusu afya ya akili uliwahusu wao kwa asilimia pengine 98
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Babu ameletwa mahususi kuwa bwana mipasho ila sera hana😂
 
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Sisi Watanzania ni kama kuna mahali tulimkossa Mungu. Ukimsikiliza Makonda, na sasa Wasira ndo utagundua jambo. Na hii yote ni kama Mkakati fulani wa kuichanganya Tanganyika ili kule ngambo ingine kusihojiwe kwa kinachoelekezwa kule. Viongozi hawatembei tena vijijini kutatua kero na kuhamasisha maendeleo kama tulivyozoea. Wamebaki majukwaani kutupiana maneno, semina na makonamano kama ya nishati juzi ambayo hayana impact. Tuna gesi na kila kitu, hatushghulikii ipasavyo kuwezesha itumike bali tunakimbilia kuunganisha nguvu na mataifa hohehahe . Sijaelewa ni akili za wapi hizo. China imepata maendeleo kwa kushirikiana na nani? Hatujifunzi?
 
Donarld Trump ana miaka 79 na bado hajastaafu , na anategemea kuondoka kuondoka ikulu ya white house mwaka 2029 akiwa na miaka 83.
Kuongoza chama kama CCM na kuongoza taifa kubwa kama USA ipi inahitaji mtu mwenye nguvu ya akili?!
Nyinyi tulieni sindano za Mzee Wasira ziwaingie na baaaaado hamjasema, na mtasema , yaani lazima mseme!
With all due respect, lakini wewe binafsi unamuona Trump yuko sawa? Hasa ukifuatilia kwa makini kauli na maamuzi yake? Hata hivyo, kumlinganisha Trump na Wasira nadhani ume base kwenye umri tu bila kufikiri kuwa Trump ana back up ya system imara behind him. Sasa kwa babu yako Wasira na CCM hali kila mtu anajua. Lakini zaidi naona umèchangia kimahaba zaidi na CCM na sio rational reasoning.
 
Babu ameletwa mahususi kuwa bwana mipasho ila sera hana😂
Siasa siku zote ni mipasho na propaganda tangu miaka mingi kabla Yesu hajazaliwa!
Siasa ni propaganda, wakati mwingine uongo huvishwa nguo ya ukweli na ukweli huvishwa nguo ya uongo.
Na ndiyo maana msomi mzuri hawezi kuwa mwanasiasa mzuri!
Professor Lipumba chama cha CUF kinamfia baada ya watu waliokuwa wakimsaidia upande wa propaganda kumkimbia kwa sababu yeye Lipumba hajui propaganda kwa kuendekeza usomi wake!.
Hata tundu lisu asipopata watu wa kumsaidia upande wa propaganda chadema kitamfia mikononi.
 
Bunda walimkataa kwa sababu ni mzee, hawezi kuwatumikia kwa kuwa amezeeka sana,, miaka kumi baadae CCM wanamleta akitumikie chama kitaifa,, maajabu haya
Hapa ndo unaweza ukapata uelewa wa ccm ni chama cha namna gani.
 
Back
Top Bottom