Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
“Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara.Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke miaka yake ni 70 na akiwa na Nguvu 80
Kuanzia miaka 81 huwezi kumlaumu Kwa chochote!
”
— Zaburi 90:10 (Biblia Takatifu)
huyo mzee mauti Iko mlangoni kabisa!. Yeye shida anayo, waliompa hiyo nafasi ndiyo wenye shida zaidi.
hivi na wewe Mbatizaji ulukuwepo pale UKUMBINI?