milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Pinda,saa100 na JKWaliomteua nina mashaka na uwezo wao wa kuchanganua mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pinda,saa100 na JKWaliomteua nina mashaka na uwezo wao wa kuchanganua mambo
Sura yake na maendeleo wapi na wapi!!Uletewe maendeleo na wasira huyu kweli?
Naomba nicheke kwa hii codeBabu amechoka. Seli zimepungua sana kwenye solar panel pale ghorofani
Sio kwamba mwili pekee ndio huwa unachoka ukishakuwa Mzee !Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Walio mteua wao vipiWasira ni mwendawazimu
Yule mzee hajapewa semina kumbe hajui afanye nini? CCM wamsaidie wampe maelekezo kabla hajakuwa kituko kamili.Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Wewe unampinga LISU Bado unampinga wasira Babu retire waachie vijanaMatamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kitu kibaya anakilenga.
1. Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Senile imbecile imeshamtembelea
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
I have reasons to go against Lisu! You may not appreciate my reasons, but are there and sensible for a rationally thinking member of a society!Wewe unampinga LISU Bado unampinga wasira Babu retire waachie vijana
🤣 🤣 🤣Kimsingi Mwamba ana zaidi ya miaka 90!!
Siku Moja atasinzia akiwa anahutubia!! Hapo Sasa ni kumuomba Mungu asije akatamka viungo vya Siri!!
🤣 🤣 🤣Sura yake na maendeleo wapi na wapi!!
Bunda lilikuwa Jimbo lake,limezungukwa na ziwa Victoria,ila hakuna maji Bunda
Ila unamsifia Trump! Ila Miafrika ndivyo tulivyo!Babu amechoka. Seli zimepungua sana kwenye solar panel pale ghorofani