Wasira anaanza kuwa kero, ataleta mtafaruko

Anaakisi akili ya aliyemteua. Ana siasa za kizamani zisizoendana na wakati. Ni mtu used
 
Kabisa analeta ujinga wa zamani hapa.
 
Wasira umri alionao kumbukumbu zake haziko sawa tena na hawezi kuwa na lolote la maana. Ni vituko kuteua mzee kama huyu.
 

Wasira amezeeka vibaya. Kuna watu kadiri wanavyozidi kuzeeka ndivyo wanavyozidi kuwa na gekima lakini huyu kadiri anavyozeeka, anazidi kuwa hopeless.
 
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 4
Matusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?
1. Mbowe mwizi
2. Mbowe mlarushwa
3. Mbowe anateka watu wa chadema
4. Mbowe muongo
Mpaka kitabu Lema kamuandikia mbowe. Kisa yeye na kundi lake liongoze chadema
 
Matusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?
1. Mbowe mwizi
2. Mbowe mlarushwa
3. Mbowe anateka watu wa chadema
4. Mbowe muongo
Mpaka kitabu Lema kamuandikia mbowe. Kisa yeye na kundi lake liongoze chadema
Una Sound kama fala vile

Au unahisi upo kuzimu unongopea wafu
 
Wasira mindset yake imejengwa kwenye siasa za propaganda and mabavu ya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…