Anaakisi akili ya aliyemteua. Ana siasa za kizamani zisizoendana na wakati. Ni mtu usedMatamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Kabisa analeta ujinga wa zamani hapa.Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Yeye mwenyewe anavuka mipaka, kupelekea watu kukosa uvumilivu wa kumkosea heshima, huwezi kuropoka hovyo hovyo alafu watu wakupe heshimaThat's is unfair , tusivuke mipaka wanandugu ..
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Nimecheka hadi nimeachia ubwalandoKama analeta taharuki akamatwe arudishwe Gombe Game Reserve!.
Sio kwamba hayo maneno yana lugha ya picha au umeyachukua kama yalivilo kutoka kwenye Biblia?Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke miaka yake ni 70 na akiwa na Nguvu 80
Kuanzia miaka 81 huwezi kumlaumu Kwa chochote!
Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Matusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako
Una Sound kama fala vileMatusi haya na ya Lema dhidi ya mbowe yepi yanaudhi?
1. Mbowe mwizi
2. Mbowe mlarushwa
3. Mbowe anateka watu wa chadema
4. Mbowe muongo
Mpaka kitabu Lema kamuandikia mbowe. Kisa yeye na kundi lake liongoze chadema
Uko sahihi kabisaCCM ilitegemea tija gani kutoka kwa mtu mwenye miaka 80? Walioweka retirement age walizingatia mambo mengi.
Uongo?Una Sound kama fala vile
Au unahisi upo kuzimu unongopea wafu
Wasira mindset yake imejengwa kwenye siasa za propaganda and mabavu ya dola.Matamshi yake yataleta mpasuko wa watanganyika.
Kina kiti kibaya anakikenga.
1.Mara tutatawala milele
2. Mara tutawashughulikia
3. Mara wako honeymoon..matusi makubwa
4. Mara tulileta uhuru hivyo wana miliki ya nchi hii
Hata hao mnaowategemea kukulindeni watachoka. Chunga kauli zako