Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #161
Mara unasema bunge limeharibu utaratibu, mara Rais amekataa...Bunge limeelekeza iandikwe upya ili kuwezesha Tume Huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.
..kwasababu Mama Abduli alilenga kuiba uchaguzi wa serikali za mitaa ndio maana maelekezo ya Bunge hayajatekelezwa.
Tuambie lini bunge limesema hivyo? Na azimio hilo lilipitishwa lini?