Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Vishaanza kuwapanda kichwani sio mchezo
Hili taahira mbona linaropoka kama linalaribia kukata roho?Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.
Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.
Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.
Ooh! KumbeMzee anapiga siasa ya 1995 hapo akistukizwa aulizwe ni tarehe ngapi utashangaa kasahau
🤣🤣 nomaChadema bana, yaani wakidhamiria fujo, wanajiswagia vijana wa watu dah hatari sana.
Huyu Mzee ana bifu na CHADEMA tuMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.
Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.
Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.
Basi vijana wa tarime ni wajinga sana kama wanakubali kutumika na chadema ,kati ya chadema na vijana wa tarime ni nani wa kumshangaa? Wasirra anawaaibisha vijana wa tarimeChadema bana, yaani wakidhamiria fujo, wanajiswagia vijana wa watu dah hatari sana.
Anajua ndio chama ambacho ccm inawaibia kura zao mara zote. Ukweli huu unamtesa muda wote.Huyu Mzee ana bifu na CHADEMA tu