Pre GE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

Pre GE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpaka hapa uzi ulipofikia sijasikia hata mtu mmoja akisema, '

"Aliyoyasema sio kweli"

Hio inadhihirisha nn?
Kwamba anasema ukweli?

Badala ya CC wana CHADEMA kumtupia madongo huyu mbabu, tujiangalie cc kwanza. Maneno yake ni mazito na sio ya kupuuzwa tu.

Tujitathmini.
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba maagizo hayo ya kuchukua vijana Tarime lazima yalipata baraka kutoka Juu? Ni nani alikuwa akihalalisha na kuwezesha hayo? Ndipo hela zetu za Join the chain zilipokwenda huko?

Yametufikisha wapi?

.. tutafute mbinu zingine za kuwafikia wananchi na hususan vijana.

Kuandamana peke yake haitoshi.

Yani hata baada ya maandamano na kushika vichwa vya habari vya ndani na kimataifa, bado tulishindwa kuitikisa CCM kwenye chaguzi zilizopita.

Kwa nn.
jitafakari kabla ya kuropoka hapa na kusema
" Watanzania ni wajinga 'hawajitambui' 'wanatawaliwa' na maneno mengine mengi ambayo ni dhihaka na dharau tu kuchochea hasira na taharuki hayatatupeleka kokote kule. at 0.003? Never Never Again

Hivo basi, tujitathmini, tutafute mbinu zingine, tuwe wabunifu tuwafikie vijana na Wananchi wote. Tukome kuwatia vijana ulemavu.

Nachelea kusema naafiki na mbabu Mh. Wasira.

Peoples✌️
muwe munamukokea moto pembeni asisinzie babu yenu
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Mzee bado anasiasa za mwaka 47
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Ametudharau sana vijana wa Tarime. Kwahiyo sisi ndio hatuna ajira za kueleweka tunasubiria kukodishwa tukafanye fujo maeneo mengine?

Kama ccm inathamini juhudi za vijana, kwanini wakija wageni bodaboda wote wanapigwa marufuku mjini?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Mkuuu akili zako hazina akili
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Hii muzee ishachoka
 
Mpaka hapa uzi ulipofikia sijasikia hata mtu mmoja akisema, '

"Aliyoyasema sio kweli"

Hio inadhihirisha nn?
Kwamba anasema ukweli?

Badala ya CC wana CHADEMA kumtupia madongo huyu mbabu, tujiangalie cc kwanza. Maneno yake ni mazito na sio ya kupuuzwa tu.

Tujitathmini.
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba maagizo hayo ya kuchukua vijana Tarime lazima yalipata baraka kutoka Juu? Ni nani alikuwa akihalalisha na kuwezesha hayo? Ndipo hela zetu za Join the chain zilipokwenda huko?

Yametufikisha wapi?

.. tutafute mbinu zingine za kuwafikia wananchi na hususan vijana.

Kuandamana peke yake haitoshi.

Yani hata baada ya maandamano na kushika vichwa vya habari vya ndani na kimataifa, bado tulishindwa kuitikisa CCM kwenye chaguzi zilizopita.

Kwa nn.
jitafakari kabla ya kuropoka hapa na kusema
" Watanzania ni wajinga 'hawajitambui' 'wanatawaliwa' na maneno mengine mengi ambayo ni dhihaka na dharau tu kuchochea hasira na taharuki hayatatupeleka kokote kule. at 0.003? Never Never Again

Hivo basi, tujitathmini, tutafute mbinu zingine, tuwe wabunifu tuwafikie vijana na Wananchi wote. Tukome kuwatia vijana ulemavu.

Nachelea kusema naafiki na mbabu Mh. Wasira.

Peoples✌️
Ulivyo jichanganya! 😂😂😂😂
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Tatizo la nchi hii watu wanachagua chama badala ya kuangalia mtu mwenye uwezo wa kumsemea matatizo yake na kushirikiana pamoja kuyatatua siku tukitoka hapo tu tuache kuchagua marafiki wasio na uwezo tichague viongozi bora
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

Mipango ya kwenye majukwaa ya kiasiasa huwa haitekelezeki huishia hapo hapo

castigating in politics does not hold water in modern politics without fulfilments of people's needs
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali.

Soma: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini.

Wasira aliyasema hayo leo Februari 9, 2025, alipokuwa akizindua ofisi ya CCM Kata ya Nyakonga wilayani Tarime, Mkoa wa Mara.

CHADEMA imekaa mdomoni kuliko sera za chama chake.
 
Mpaka hapa uzi ulipofikia sijasikia hata mtu mmoja akisema, '

"Aliyoyasema sio kweli"

Hio inadhihirisha nn?
Kwamba anasema ukweli?

Badala ya CC wana CHADEMA kumtupia madongo huyu mbabu, tujiangalie cc kwanza. Maneno yake ni mazito na sio ya kupuuzwa tu.

Tujitathmini.
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba maagizo hayo ya kuchukua vijana Tarime lazima yalipata baraka kutoka Juu? Ni nani alikuwa akihalalisha na kuwezesha hayo? Ndipo hela zetu za Join the chain zilipokwenda huko?

Yametufikisha wapi?

.. tutafute mbinu zingine za kuwafikia wananchi na hususan vijana.

Kuandamana peke yake haitoshi.

Yani hata baada ya maandamano na kushika vichwa vya habari vya ndani na kimataifa, bado tulishindwa kuitikisa CCM kwenye chaguzi zilizopita.

Kwa nn.
jitafakari kabla ya kuropoka hapa na kusema
" Watanzania ni wajinga 'hawajitambui' 'wanatawaliwa' na maneno mengine mengi ambayo ni dhihaka na dharau tu kuchochea hasira na taharuki hayatatupeleka kokote kule. at 0.003? Never Never Again

Hivo basi, tujitathmini, tutafute mbinu zingine, tuwe wabunifu tuwafikie vijana na Wananchi wote. Tukome kuwatia vijana ulemavu.

Nachelea kusema naafiki na mbabu Mh. Wasira.

Peoples✌️
Kwa maoni yako huyo Wasira ana ushahidi wa hayo anayoyasema?

Au mnataka kulifanya jeshi la polisi lionekane halijui wajibu wake?

Mimi siamini kama kuna vijana wanachukuliwa tu bila malipo kisa wakaandamane mkoa mwingine

Hiyo kazi ya kuchukua vijana kwingine ni ya ccm tu kwa vyama vingine ni ngumu mno!
 
Hivi Wasira anaposema ni marufuku vyama pinzani kutumia vijana kutoka Mkoa wa Mara, anajielewa yeye mwenyewe na Chama alichomo anakielewa? Hivi anatambua kiuhalisia kwamba CCM, tofauti na vyama vya upinzani (ukitoa CUF) siyo Cama cha Tanganyika. Huo ni muungano wa vyama viwili (ASP na TANU), vya nchi mbili (Zanzibar na Tanganyika), vilivyoungana 1977 ili kuongoza nchi mpya iliyopatikana baada ya Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Tanganyika kukubaliana kuunganisha nchi zao kuuwa nchi moja iliyoitwa Tanzania. Muungano huo (nchi hiyo mpya) ulivunjika pale Serikali ya Zanzibar ilipoamua kujitoa katika Serikali ya Muungano. Kwa maana ya kitendo hicho cha nchi ya Zanzibar kuondoa ardhi yake na Serikali yake kutoka katika Muungano, hiyo nchi mpya (Tanzania) ilitoweka katika ramani. Hii ina maana CCM nayo imebakia kuwa Muungano wa ASP na TANU ambao hauna kauli (mandate) rasmi katika Zanzibar na Tanganyika. Na hii ndiyo siri iliyo nyuma ya pazia kwa nini CCM inapinga kwa nguvu zote RASMU YA KATIBA MPYA, kwa sababu katiba hiyo itaunda Muungano ambao hautakuwa wa nchi moja, bali Muungano wa nchi mbili wanachama, kila moja ikiwa na Serikali yake na vyama vyake vya siasa. Ni dhahiri katika mfumo huo CCM, ambayo ilianzishwa kuongoza Muungano wa nchi moja, haitakuwa na kazi, bali kusambaratika. Na ndivyo ilivyo kiuhalisia katika hali ya Muungano huu unaolazimishwa kuwapo kwa nguvu za dola. Muungano halali haupo, ndiyo sababu anayeitwa Rais wa Muungano, anatawala Tanganyika peke yake, maana Zanzibar ina Serikali yake. Kwa ufafanuzi huo, mzee Wasira atambue kwamba vyama vya upinzani ndivyo vyama halali vya Tanganyika hivyo ndivyo vilivyo na haki ya kuwatumia wanachama wake wa sehemu yo yote ya Tanganyika.
 
Back
Top Bottom