Pre GE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulipowaambia CCM hapa mmepotea mlishupaza shingo. Acha yawakute na huyu mwenye siasa za 2001.
 
Kwa maoni yako huyo Wasira ana ushahidi wa hayo anayoyasema?
Mkulu cjiu, labda uwatafute CCM uwaulize kuhusu ushahidi
Au mnataka kulifanya jeshi la polisi lionekane halijui wajibu wake?
Mnataka? Mm na nani? Kama kuna mtu alifanya hivyo ni Mbowe peke yake. Lissu haezi fanya hayo .
Mimi siamini kama kuna vijana wanachukuliwa tu bila malipo kisa wakaandamane mkoa mwingine
mm naamini, Mbowe mbona alishasema anaifanyia kazi CHADEMA bila ya Malipo bana? Kwamba haiwezekani mkulu?. kama hao vijana walijitolea je? wakalipiwa malazi chakula na usafiri?
Hiyo kazi ya kuchukua vijana kwingine ni ya ccm tu kwa vyama vingine ni ngumu mno!
Wale CCM wanaandamana? moaka hivi karibuni chama kilichoandamana barabarani ni CHADEMA. Itoshe kuna picha humu humu JF zikionyesha CHADEMA wakiwapandisha watu kwenda kwenye hayo maandamano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…