Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

swahiba wangu mwabulambo ameyatimba safari hii.

naona 2023 inaisha vibaya kwa baadhi ya wadau wa sector ya media

leo nikiwa viunga vya azamtv tabata nilipishana na bibie sophia mgaza, uso wake ulikuwa umejaa unyonge sana mpaka nikamuonea huruma.

ifahamike tu kwa sasa azam media ipo chini ya uongozi wa kijana machachari patrick kahemele baada ya mzee tido mhando kujiandaa kustaafu mwishoni mwa mwaka huu.

kwa maana hiyo sidhani kama patrick ataacha hili lipite hivihivi bila kuwawajibisha wanaotuhumiwa. mda ni rafiki mzuri, tusubiri kuona kile kitakachojiri.
Patrick Kahemele sio mrundi huyu bwana?
 
Kwa hio wewe kutoa rushwa hauwasupport au nilikuelewa vibaya?
Ikibidi natoa sababu kuna binadamu kama wanyama;
Nilikua na mgonjwa aliyepewa sumu, private hospital wakatupa transfer twende hospital flani kubwa ya serikali, kufika pale wakasema mgonjwa utumbo umeshaanza kuoza itabidi apate OP awekewe kipande cha utumbo wa plastic gharama 700k tukatoa
Siku 3 wanazunguka hadi mgonjwa anaanza kutoa wosia anasema anakufa ilibidi tuwakalipie madr kwanini awamfanyii hiyo OP, mmoja akasema tunamfanyiaje mtu OP tukiwa na njaa
400k ilitutoka mgonjwa akapata matibabu akapona
Tusingetoa hiyo hongo je? Tungempoteza! kuna Mazingira mtu anakubana unajikuta huna budi kutoa!!
 
Back
Top Bottom