Wasomali wamjia juu binti yao kwa kumlilia Diamond

Wasomali wamjia juu binti yao kwa kumlilia Diamond

Jamaa ameshaanza kupiga matukio naona next stop ni Mogadishu safari hii.
 
Jamaa ameshaanza kupiga matukio naona next stop ni Mogadishu safari hii.
Huko akienda watamchinja. Juzi mkenya kala shaba puntland kisa demu msoma kamzimia. Sasa Hargeisa mji mkuu wa Somaliland wanataka kuwadeport wanaume wa Kenya wanaofanya kazi huko kama walimu baadaya mabinti 8 wakisomali kubadili dini na kutoroshwa na kuolewa Kenya
 
Nataka kujua bana

Wanawake na wasichana hukeketwa wakiwa wadogo- mara nyingine hata watoto ama baadaye katika maisha yao wanapo baleghe...Kukatwa kwa kiasi fulani kisimi, pamoja na kuondoshwa kwa mdomo wa ndani wa uke au labia minora...niliwahi kusikia kwa mtu mmoja akisema,wanakatwa ili wasiwe na matamanio kwa wanaume mpaka wafikie kuolewa.
 
Kwani wasomali asili yao ni wapi mbona wako tofauti na wabantu/watu weusi
Wenyewe wanavyodai asili yao nikati ya mwarabu wa Yemen na mwafrika Nubian wale wa Sudan.

Wanadai mtume alipokimbia kunusuru maisha yake Ethiopia alipitia Somalia akakutana na mama mwafrika mweusi na mme wake mwarabu wa Yemen. Walimkarimia sana mtume. Mtume aliwabariki na kuwaombea wawe taifa kubwa.

Nimeshawahi kusoma pahali wasomali wanadai kijakazi Hagar alikuwa msomali. Waethiopia nao wanadai hivyo hivyo

Ila kihistoria inaweza kuwa kweli. Cushites(oromo, Gurage, Borana Somali, Tutsi na Fulani etc) pamoja na Semites (Tigray na Eritrean tribes Ethiopian ) hawa wote ni mchanganyiko wa waarabu wa Yemen na Nubians waafrika weusi hata kisayansi vina saba imethibitisha.
 
Wanawake na wasichana hukeketwa wakiwa wadogo- mara nyingine hata watoto ama baadaye katika maisha yao wanapo baleghe...Kukatwa kwa kiasi fulani kisimi, pamoja na kuondoshwa kwa mdomo wa ndani wa uke au labia minora...niliwahi kusikia kwa mtu mmoja akisema,wanakatwa ili wasiwe na matamanio kwa wanaume mpaka wafikie kuolewa.
Ila kysymy antena ni tamu hasa ukiichezea na ncha ya ulimi yani warm up kabla ya gemu maamaee.

Yani sir godi aitwe sirgodi its a state of art alitulia akaiumba halaf wasomali na wambulu wanaikata not fair really.

Fak
 
Back
Top Bottom