Wasomali wamjia juu binti yao kwa kumlilia Diamond

Wasomali wamjia juu binti yao kwa kumlilia Diamond

le Jamii iliyoko Africa ambayo inadai wenyewe siyo waafrika ni jamii tofauti na marufuku katika mila yao kuchanganyikana na wengine hata kama ni dini moja wamemjia binti yao juu na kumponda.

Wasomali kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa anzia Somalia Kwenye, ukanda wa Afrika mashariki, ulaya, Australia na Marekani wameonyesha kukasirishwa kwao waziwazi na binti yao huyo kukububujikwa na machozi baada ya kumuona diamond na kumkumbatia.
Mkuu ni wapi hapo Wasomali wanapodai kua sio Waafrika? Suala la wao kutokutaka kuchanganyika ni la kiutamaduni zaidi na wala sio sheria kama ambavyo wewe Mmakonde au Mkwere au Mpogoro uende ndani kabisa wanapoishi Wamasai ukatake kumposa binti yao. Kutakua na ile sociala protest ya jamii inayowazunguuka pale lakini sio sheria kwamba ukioa hapa ndio atatengwa au hautatambulika na watu wake

Ninachokiona kwenye uzi wako ni chuki dhidi ya Wasomali na mila zao, kwani wao ni miongozi mwa jamii chache zilizoendelea kushikilia mila zao kwa muda mrefu licha ya mabadiliko ya kiteknolojia yaliyopelekea mmomonyoko mkubwa wa kimaadili hasa kwa vijana dunia nzima

Wasomali wapo kila mahali na wanachanganyika vizuri tu na watu wengine ikiwemo wanawake wao kuolewa na watu wa tamaduni tofauti.Ndio maana kuna mtu amesema humu kwenye mchango wake kuwa wanawake wa Kisomali wanachukuliwa na Wakinga na wanaume wa makabila mengine. Ni kwamba hiyo ipo siku nyingi na wala sio jana au leo.

Hebu tuonyeshe hao Wasomali wanaopiga kelele dunia nzima kwa huyo msichana wa Kisomali kutaka kuolewa na Diamond. Pengine kama kuna kelele ni labda za kuhisi binti yao aliyelelewa kwenye maadili anapigana mabusu hadharani mbele ya kamera na mwanaume ambaye sio mumewe, na hilo linaweza likawakasirisha jamii yoyote yenye kujitambua. nadhani huyo binti angekua ni dada yako aua binti yako nawe pia usingeona fahari kwa alichokifanya sio kwa sababu ya ubaguzi au imani
 
Binti hajatulia huyo na kwa conservative society kama Somalia 🇸🇴 lazima wammaindi, wewe unafikiri kaka zake wanajisikiaje/ au boyfriend wake anajisikiaje?.
 
Binti hajatulia huyo na kwa conservative society kama Somalia [emoji1220] lazima wammaindi, wewe unafikiri kaka zake wanajisikiaje/ au boyfriend wake anajisikiaje?.
Kwani kaka zake mapenzi ya dada yao yanawahusu nini ?! Kwao si no nyama haramu au wanakulana ?!.
 
Hebu jaribu na waEthiopia, vipi huko?

Ni swala la muda tu, wote watajisalimisha kama wale wanaoitwa "mabeberu" na 'Wazalendo' wa Tanzania wanavyoendelea kujisalimisha kwa mtu mweusi asilia.
Tena itakapoanza, hawa ndio watakuwa wanatongoza. Umemwona yule kijana wa kiTanzania (tour guide) wa mlima Kilimanjaro alivyong'ang'aniwa na binti wa kiingereza. Kama hukumwona, ingia gazeti la The Standard, Kenya, utawaona.

Mimi tayari nina mpango wa kijana wangu kumtafuta binti ya naibu waziri wa kilimo, hapa Tanzania. Mfikishieni taarifa kuhusu kusudio hilo kama mpo karibu naye.

Next, wahindi, waarabu, wachina, wakorea,n.k., ni muda tu!

Ethiopia asijaribu, atazoa rundo!
 
nani huyu?
nigga flani mbishi majuu
IMG_20190923_191921.jpg
 
Dah manzi hapo na kulowa kashalowa.

Hormones ziko at its height.

Jamaa akigusa tu demu anakojoa.

Mapenzi yana mengi aisee. Ila wanaume tutafute hela.
Ww ndio umeongea sasa hv viumbe acha tu!
 
Wasomali,wahindi,wahabeshi,mbona wanatoa kama wengine tatizo mnaishi kwa kukariri maneno,jifunzeni kutongoza kila rangi utakula.
 
licha ya yote hayo wenyewe wanajiita perfect race. Wanakuambia siyo kwa ubaya bali kulinda Jamii yao isipotee
Mkuu upo Denmark kweli? Mbna Sura imekomaa sana au sio ww kwenye avatar
..
 
Back
Top Bottom