Wasomali wamjia juu binti yao kwa kumlilia Diamond

mwanamke hana dini wala kabila. mwanaume mistari kila kitu. wasomali ,wahindi, masai ni watu wenye mila zao. baharia nyosha mistari mambo ya mila imepitwa na wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana

Ila sio wasomali pekee hata watanzania wenzetu kutoka kule kwa Maalim usajiri mpya wa ACT wanatubagua kuoa mabinti zao wanatuita sisi WASWAHILI. SIJUI wao wazungu?
 
Mbona demu mbovu tu....
ww mtu mweusi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…