Wasomali ni waafrika pia
wasomali sio waafrika samahani mkuu
wazungu wabaya vile wale ni zaidi ya wazungu.Sawa ni wazungu kaka
Duuuh coment imenoga kuliko post yenyewe😔😕😔Wayahudi siku hizi si wabaguziView attachment 1213905
Hatar sana! Nimecheka bila ya kutarajia wallahWasomali, tutsi na habesh hizi jamii zinaonaga wao ndo wanastahili kuishi humu duniani, maniner zao
Wanadharau sana kwa waafrika wenzaoHatar sana! Nimecheka bila ya kutarajia wallah
Mbona demu mbovu tu....Mzuqa
Ile Jamii iliyoko Africa ambayo inadai wenyewe siyo waafrika ni jamii tofauti na marufuku katika mila yao kuchanganyikana na wengine hata kama ni dini moja wamemjia binti yao juu na kumponda.
Wasomali kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa anzia Somalia Kwenye, ukanda wa Afrika mashariki, ulaya, Australia na Marekani wameonyesha kukasirishwa kwao waziwazi na binti yao huyo kukububujikwa na machozi baada ya kumuona diamond na kumkumbatia.
Wengine walienda mbali nakumponda atawezaje kumkumbatia Mwafrika na kulia.
Wengine waliponda huenda hata Mungu na mama yake hajawahi kuwalilia.
Ila uzuri ni kwamba watoto wengi wa kisomali waliozaliwa ulaya ama nje wamepevuka sana siku hizi wanajitambua.
Wasomali wa huku skendinevia wanatuita sisi waafrika wengine Njeree. Marufuku sisi wanaume waafrika kutongoza, kutembea ama kuoa binti zao. Wanaweza kukuletea fujo hata wakikuona unaongozana na mwanamke wa kisomali.
Majuzi tu hapa Denmark walifanya juu chini kuvuruga harusi ya kijana wa kihausa kutoka Ghana kumuoa binti yao wa kisomali licha ya wote kuwana imani moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu punguza hasiraWasomali, tutsi na habesh hizi jamii zinaonaga wao ndo wanastahili kuishi humu duniani, maniner zao
Uchawi uwe na ela, hata wewe ukiwa nazo utapendwa na utaliliwaDiamond sijui anatumia uchawi kila binti anampenda nyota yake ni kali sana
Kwani kaka zake mapenzi ya dada yao yanawahusu nini ?! Kwao si no nyama haramu au wanakulana ?!.
Huyo si binti wa kumchagulia afanye nini !! Huyo ni mtu mzima . Unapombana binti , huyu wa kiume anabanwa na nani ?!Wewe ukimuona mtu anamchezea Dada yako utafurahi?
Next stop for diamond is in Mogadishu! Kituo kinachofuata ni Mogadishu.
Kijana anawanyoosha.
Huyo si binti wa kumchagulia afanye nini !! Huyo ni mtu mzima . Unapombana binti , huyu wa kiume anabanwa na nani ?!
nenda kamlilie na wewe sasaDiamond sijui anatumia uchawi kila binti anampenda nyota yake ni kali sana