Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Hongera kwakee
 
Mbona unatufokea mkuu,tumekukosea nini🤣🤣🤣
 
Kutukana hakubadili uhalisia, acha mihemko ya kijinga jibu hoja kwa hoja sio matusi.
Kila kitu kinahitaji target yako, uza uji uifikie hiyo target yako. Huna option ya cha kufanya ili utimize ndoto zako, ukisema ukae usubirie ajira utakaa sana na utatukana sana kuliko hata ulivyotukana hapa.

Tatizo la wengi ni kufanya kitu bila target, uza uji wako kwa malengo ya kutafuta mtaji wa kufanya yale ya ndoto yako.

Nb: hata dunia ipinduke haiwezekani ajira kwa wote.
 
🤣🤣🤣🤣Mkuu huyo mdau ametishaa
 
Wasomi tunaonewa wivu na kupigwa vita sana hapa Tz, mtusamehe ni akili zetu zimetuponza.




























NB:Ignore it!
Unategemea nini kwa taifa lilijaza upumbavu na kuendekeza mediocrity kama hili ? , Upuuz tu ndio umejaa humu .Halafu una skilled labour unashindwa kuitumia kujenga nchi , unawaza kutumia skilled and Proffessional labour kama wauza uji and other stupid , irrelevant issues ,
Kuna majitu yanafikiri kwa kutumia makalio ,halafu kimbulu kama huyo ndio anakuja kulalamika Tanzania haiendelei , ndio mbwa hawa hawa wanalalamika kila siku ubadhilifu mali za uma na Madudu mengine ambayo yana impact maisha yao direct
 
Mkuu umeongea pointi ila umetumia lugha kali sana
 
Akikupatia binamu nirushie na Mimi huku kazura mimba kigoma
Simsemi mtoa thread ni general comment.....watu wanaishiaga tu kusema hivi ukimfata akupe abc utapewa the impossibles hadi unawaza sa kwanini katufokea.

Kuna simu niliwahi kuandika hapa natamani kubadili pm jamaa kakoment aah njoo pm kuna kazi bla bla nkaenda pm mweeh ye mwenyewe mbangaizaji tu jamani 😁
 
Motivational speakers mmeanza.

Nyie ndio mnatumwa na serikali iliyofeli ya CCM kubariki hii mnayooita kujiajiri.

This is wastage of resources kwa ngazi ya familia mpaka taifa, yaani unawekeza millions of money kumtengeneza daktari, lawyer, engineer, mwalimu nk ...ili aje auze uji?!!!!


What a failed state?!!


Then unajivunia, kweli this is shithole country.
 
Siku hizi mchawi HR HR akikukubari kazi IPO kiganjani mwako, nazungumzia Private Sector sio Government's
HR mtu mdogo sana, yaani HR wako so overated.

CEO, MDs and the likes kwa maana ya managers, wakikukubali au kukukataa huyo HR atafanya nini zaidi ya kupokea order tu ya kuku hire au kuku fire.
 
Connection inaanza kwa HR akikwambia njoo ndio unaenda akikwambia usije endelea kusugua bench,
Sio mara zote, huyo HR wako anaweza kupigiwa simu moja tu jioni, kesho asubuhi unaenda ku report unakuta kashakuandalia mkataba wako huku anacheka cheka, same na simu moja ikipigwa asubuhi jioni unakutana na termination huku HR akiwa na uso mkavu.

Mchongo wa connection ni kutoka kwa top managers tu, huyo HR ni secretary aliyechangamka.
 
Nafkir hujamuelewa, hapo katoa mfano tuu, lakini kila mtu anaweza kuanza kidogo kidogo kulingana na taaluma yake, yani asisubiri mpaka apate ajira ,
 
Inawezekana ulitaka mambo makubwa kwa haraka , ungempa muda
 
Mchongo wa connection ni kutoka kwa top managers tu, huyo HR ni secretary aliyechangamka.
Manager hana issue km HR akikutema, nazungumzia kwa wasiomjua Manager ni Nani shtuka

Pitia ule uzi wa LinkedIn upate madini, Kuna mdau alikutana na Manager huko LinkedIn Manager akapenda figure na profile akachat nae akamwambia achat na kuongea na HR akampa namba ya HR, paap akapigwa interview fupi na HR moja kwa moja, baada ya hapo HR akamwambia atamcheck ndio ikawa atamcheck hakuna Manager aliemtafuta wala HR, bado fuvu limekaza au tulegeze nati ? HR akikutema Manager kibogoyo tu maana anaeajiri watu sio Manager ni HR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…