Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

What would you do if hutopata kazi?
 
Are you trying to say hao wote waliibuka tu kutoka kwenye makochi ya wazazi wao au shemeji then boom wanamiliki company au business kubwa?

Just like that.
 
What would you do if hutopata kazi?
Ntapambana kimyakimya bila kujisifia magazetini sababu ntakua sijatimiza malengo ya elimu yangu , siku nikitoboa sasa nimejiajiri kwenye fani yangu ndo natoka sasa kuwainspire vijana wa kada yangu na kuwaaajiri pia.
Nisipotoboa nikaishia kwenye bajaji nakaa kimya ili nisiwavunje moyo vijana wengine wakaona elimu haina maana.
 
yani kesho kutwa awe na bajaji kumi???acha ulongo field sio kwepesi kiasi hicho ni ngumu na itachukua muda
Mkuu are you even serious.
Unadhani mtu akiandika kesho kutwa basi ni kesho kutwa amemaanisha?

Umejuaje kama field ni kugumu kama hata wewe mwenyewe na hujawahi hata kujaribu?

Have you ever try to do anything like that?
 
Ni kujisifia ujinga ujinga tu, Hivi kwa kiwango cha elimu alichofikia alipaswa kuwa dereva wa bajaji? Au ni changamoto ya maisha ndio yamesababisha kujiingiza kwenye kazi ambayo haindani na fani yake? Elimu aliyosoma haijamsaidia chochote bali kumfilisi tu , so mnataka kutuambia si ni bora asingesoma na kuanza kuwa dereva wa bajaji?.
 
Ntapambana kimyakimya bila kujisifia magazetini sababu ntakua sijatimiza malengo ya elimu yangu , siku nikitoboa sasa nimejiajiri kwenye fani yangu ndo natoka sasa kuwainspire vijana wa kada yangu na kuwaaajiri pia.
That's good mkuu.

As i can see tatizo ni kuona aibu na mtazamo wa kijamii pia muda waliotumia shule na kutokujua lengo la elimu ndio vyanzo vikuu kwa vijana na watu wazima wengi wenye elimu kushindwa kutumia elimu zao kuanzia chini hiyo inapelekea kuwa na zero execution hivyo zero progress na kuendelea kubaki masikini au kusubiri kuajiriwa huku wakiendelea kuzeeka mategemzi kwa wazazi na mashemeji.

They want big things kwa kushtukiza kitu ambacho impossible in reality na kitaendelea kuwa possible in imagination.
Wanataka vitu vikubwa bila kujua chanzo vya hivyo vitu vikubwa mwisho wanaishia kubaya kwa kupenda shortcut.

That's why wanaponda humu bila kujitambua.

Kingine ni huyo dada kufanya hivyo ni dalili tosha kwamba hajari opinions na perspective za broken society like hawa humu.
Hana hali ya kuwa na aibu wala kuwa inferior na bila shaka atafika malengo yake kuanzia chini.

Huyo dada ni jasiri kuliko asilimia 98 ya graduates wote haijarishi wakiume au wakike.

All in all mfumo wa elimu ni vizuri ubadilishwe ili kuondoa mindset za aina kwa vizazi vijavyo.
 
Kweli mkuu, mtu amesoma shahada ya kwanza hola ya pili anakuwa dereva bajaji.
Hana cha kuwa mtu wa mfano.
Imagine wewe ni masikini then uwe na elimu kubwa na ushamaliza chuo considering una plans za kumiliki company.

Ungefanyaje?
 
Wewe kama kweli elimu uliyosoma imekuelimisha basi jibu hilo swali.

Imagine wewe ni mtoto wa masikini then umemaliza chuo.
But una ndoto za kumiliki company kubwa itakayo tatua changamoto za kijamii.

Hapo wewe utafanyaje as mtoto wa masikini ili utimize hizo plans?
 
What would happen if kila mtu angeajiriwa?
Unakurupuka. Mimi sina tatizo mtu kujiajiri.

Ila alivosema amekosa ajira na ana masters hapo ndo nikataka kucomment.

Angesema kua mayb mshahara mdogo ndo mana nimeamua kujiajiri sawa....ila kasema amekosa ajira tena ana hiyo masters....hapo tatizo lipo maana kazi zinatangazwa wenye uwezo wanapata bila kujuana na watu.

Sawa kazi ni chache ila if you are good...hukosi kazi unless uwe umejambiwa....

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kumtangaza magazetini isha mpa popularity, anaweza pata wateja wengi zaidi.Hata ikitokea kazi hutaweza kupambana nae, tayari ana confidence.Kufahamika kuna faida zaidi kuliko hasara.
 
Masters degree ili uje uendeshe tri- cycle? Ni uharibifu wa raslimali fedha na raslimali muda
 
Hivi umetafiti kuwa mfumo wa elimu yetu haufanani na nchi zingine? Kozi za sociology hazijatungwa ulaya kwel? Political science!! Unataka afundishwe nii ambacho PS haijamfundisha.
Hivi katika dunia ya utandawazi unalaumu mfumo wa elimu huku utandawazi unakupa chance ya kujifunza chochote kilicho kosekana kwetu? .
Naweza kukuunga mkoni kwa upande wa sayansi kwa sababu teknolojia inabadirika kila kukicha, vilevile zinatakiwa maabara za kisasa kuendana na teknokojia ila sio kozi za ART muilamu serikali hapan.
Tunifunze kutumia teknolojia kufidia gepu, halafu to a mbadala elimu iboreshwe nini sio lawama tu.
Lawama ni dalili ya kushindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…