mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 992
Vyema angeeleza utofauti wake kibiashara na wale waliomaliza la 7 wakaanza kuendesha bajaji?.What's so different , hapo ndo usomi wake utaonekana ila kama anapark tu barabarani na kusubiri abiria like others do sidhani kama ni kitu cha kutangaza sana.
Nampongeza kwa uthubutu wake, kuweka pembeni vyeti na kusaka shekeri kwa nguvu zote.
Nampongeza kwa uthubutu wake, kuweka pembeni vyeti na kusaka shekeri kwa nguvu zote.