Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Tulisema tu hiki chuo cha UDOM kitatutolea takataka ona Sasa. Eti mtu ana MASTAZ dereva bajaj. Jinga kabisa. UDOM ni janga jamani.
[emoji1][emoji23][emoji23]wasomi mmepagawa
 
Anayejiyonga kwa kukosa ajira na anaendesha bajaji yupi bora?
Hivi kwenye kuendesha bajaji mnajua anakutana na watu wangapi? Mnajua niuzoefu gani anaupata?
Siku akipanua mradi bajaji zikawa 10 kuna dereva atamdanganya mapato,vifaa vinavyoharibika Mara kwa Mara,kuiba spea.
Aisee huyo Dada yupo katika shule moja kubwa sana, shule ya vitendo, huyo Dada ametupita wengi humu hata uelewa wa how to get customers.Huyo Dada hata akitaka kuandika kitabu anacho cha kuzungumza, nyinyi mtaandika hisia "not reality"
Ktk ujasiliamali kuna mstari unasema " How to sell" .
Heshimuni watu wanaofanya, experience is very important in life not theory. Mmekazana kuchangia utopolo humu,elimu elimu ikaenda ikarudi wewe umebuni nini na elimu yako ili huyo Dada aje ajifunze kwako jinsi kutumia elimu?
 
Anayejiyonga kwa kukosa ajira na anaendesha bajaji yupi bora?
Hivi kwenye kuendesha bajaji mnajua anakutana na watu wangapi? Mnajua niuzoefu gani anaupata?rar
Siku akipanua mradi bajaji zikawa 10 kuna dereva atamdanganya mapato,vifaa vinavyoharibika Mara kwa Mara,kuiba spea.
Aisee huyo Dada yupo katika shule moja kubwa sana, shule ya vitendo, huyo Dada ametupita wengi humu hata uelewa wa how to get customers.Huyo Dada hata akitaka kuandika kitabu anacho cha kuzungumza, nyinyi mtaandika hisia "not reality"
Ktk ujasiliamali kuna mstari unasema " How to sell" .
Heshimuni watu wanaofanya, experience is very important in life not theory. Mmekazana kuchangia utopolo humu,elimu elimu ikaenda ikarudi wewe umebuni nini na elimu yako ili huyo Dada aje ajifunze kwako jinsi kutumia elimu?
Hongera kubwa Tangantika !Jipongeze kwa soda hapo ulipo kati ya hizo pichani.
1609146906761.png
 
Anayejiyonga kwa kukosa ajira na anaendesha bajaji yupi bora?
Hivi kwenye kuendesha bajaji mnajua anakutana na watu wangapi? Mnajua niuzoefu gani anaupata?
Siku akipanua mradi bajaji zikawa 10 kuna dereva atamdanganya mapato,vifaa vinavyoharibika Mara kwa Mara,kuiba spea.
Aisee huyo Dada yupo katika shule moja kubwa sana, shule ya vitendo, huyo Dada ametupita wengi humu hata uelewa wa how to get customers.Huyo Dada hata akitaka kuandika kitabu anacho cha kuzungumza, nyinyi mtaandika hisia "not reality"
Ktk ujasiliamali kuna mstari unasema " How to sell" .
Heshimuni watu wanaofanya, experience is very important in life not theory. Mmekazana kuchangia utopolo humu,elimu elimu ikaenda ikarudi wewe umebuni nini na elimu yako ili huyo Dada aje ajifunze kwako jinsi kutumia elimu?
Bajaji unajifun..how to sell haha siunakaa kwa foleni tu na kusubiri abiria
 
Bajaji inabeba watu wanne ambapo total ni sh 2000 , ili upate 30,000/= inabidi uende safari 15 kwa siku, assume unafanya kazi masaa 15 (sa12 asubuhi hadi sa3 usiku) manake kila ndani ya saa moja ujaze abiria utembee , na hapo ujue kijiweni haupo peke yako kuna foleni kama bajaji 10 hivi.
Toa hela ya mafuta
Mzee hiyo 30,000 utaondoka nayo mara chache sana ndai ya mwezi.
Ni biashara nzuri lakn sio mteremko kama unavyoielezea
 
Mambo mengine ni vichekesho kabisa hawa wasomi wa siku hizi wamekuwa na hoja dhaifu sana yaani mtu anarudi mtaani kufanya kazi aliyokuwa anaifanya mzazi au mlezi wake kwa taabu ili amsomeshe chuo halafu wanasema kajiongeza?

Kama ni hivyo kumbe hata anaeishia darasa la saba au form four halafu akaenda kutafuta maisha yake anajiongeza basi.

Huko sio kujiongeza ni mgangaji tu kama wangangaji wengine. minadhani ingekuwa amejiongeza kama angekuwa ametengeneza bajaji yake kwa ubunifu wake halafu ndio anaiendesha hapo sawa. Yaani kuwa dereva bajaji wa kawaida iwe inshu pengine hata bajaji sio yake anapeleka hesabu?! No! no! no! Ieleweke tu kwamba ameamua kuwa dereva wa bajaji kama kazi aliyoamua na si vinginevyo kuwaambia watu waige mfano wake eti kajiongeza. Kulikuwa na haja gani ya kusoma kote huko halafu uje kuendesha bajaji za watu angetengeneza yakwake tuone elimu ilivyo msaidia sio kwa hilo hapana bana.
 
Ushauri kwa graduate ni kwamba tunajichelewesha wenyewe nakusubiri ajira za mshahara wa 500,000 iwe mvua iwe jua uwezi kosa 30-50 kama mpambanaji unapata zaidi per day kama bajaji yako . Kwa graduate uwezi chezea ela kama hao la saba mnaosema humu. 2018 nilikuja humu kuomba ushauri wa kupata mkopo wa bajaji nilipokea cm nyingi sana na bandiko langu limesaidia wengi kupata mkopo wa bajaji .Kama bahati nimefanya kazi na Mwasu kijiwe kimoja namfahamu ni mpambanaji na mwanamke kweli kweli niishie hapo.
Ubarikiwe kwa shuhuda wako hapa Mersen na kufahamu mpambanaji dada Mwasu dereva mwenzako wa bajaji msomi mwenye shahada mbili mlioko Dodoma.
 
Ushauri kwa graduate ni kwamba tunajichelewesha wenyewe nakusubiri ajira za mshahara wa 500,000 iwe mvua iwe jua uwezi kosa 30-50 kama mpambanaji unapata zaidi per day kama bajaji yako . Kwa graduate uwezi chezea ela kama hao la saba mnaosema humu. 2018 nilikuja humu kuomba ushauri wa kupata mkopo wa bajaji nilipokea cm nyingi sana na bandiko langu limesaidia wengi kupata mkopo wa bajaji .Kama bahati nimefanya kazi na Mwasu kijiwe kimoja namfahamu ni mpambanaji na mwanamke kweli kweli niishie hapo.
Kituo chenu kiko wapi Mersen hapo mjini ?
 
Hamna chakujifunza hapo ,huo ni upungufu wa akili huwezi kuwa na Masters halafu ukaendesha Bajaji ,
 
Bajaji inabeba watu wanne ambapo total ni sh 2000 , ili upate 30,000/= inabidi uende safari 15 kwa siku, assume unafanya kazi masaa 15 (sa12 asubuhi hadi sa3 usiku) manake kila ndani ya saa moja ujaze abiria utembee , na hapo ujue kijiweni haupo peke yako kuna foleni kama bajaji 10 hivi.
Toa hela ya mafuta
Mzee hiyo 30,000 utaondoka nayo mara chache sana ndai ya mwezi.
Ni biashara nzuri lakn sio mteremko kama unavyoielezea
Kuna la kujifunza kwenye hii comment yako mkuu inabidi kutafakari sana.
 
View attachment 1660402


Nancy Lema ni msomi wa Elimu ya Masters ya Project Management Chuo cha SAINT MARY’S UNIVERSITY OF MINNESOTA Nchini Marekani na ameishi Marekani kwa miaka 10, mwaka 2015 aliamua kurudi rasmi Tanzania na kwenda kwao Mwanza na kuanza kutafuta kazi kwenye Makampuni bila mafanikio ndipo akaja na wazo la kuuza chakula aina ya makande kwenye ofisi Mwanza.

“Nilijua nimemaliza Masters yangu nakuja Tanzania kutafuta Kazi haitakuwa ngumu lakini kila sehemu niki-apply naambiwa subiri kwanza ilinifanya nifikirie nini cha kufanya” Nancy Lema

” Wazazi wangu hawakukubliana na mimi nianze kupika wakati wamenisomesha walitegemea niwe Meneja Kampuni flani na elimu kubwa, Ila kwa sasa ndio Wateja wangu wakubwa” Nancy Lema


Dada huyu msomi naye gumzo kwa kutafuta pesa bila kujali elimu kwani anaelewa nini maana ya neno moshi kwa wachaga !
Ukifuatilia vizuri story ya huyu dada ni tofauti kabisa na ya huyu mwendasha bajaji, yeye ametengeneza system kabisa ambayo anawafanyakazi na haitaji tena yy kuwepo ili iendelee, na pia kuna nyingine ya dada muuza miguu ya kuku na yy katengeneza mfumo ambao hamuitaji yy kuwepo. Bottom line: ni matumizi mabaya ya elimu kuendesha bajaji kwa level ya master huo ndio ukweli mchungu ila watu lazima waambiwe hiyo ni level ya kuunda biashara zinazojitegemea
 
Ukifuatilia vizuri story ya huyu dada ni tofauti kabisa na ya huyu mwendasha bajaji, yeye ametengeneza system kabisa ambayo anawafanyakazi na haitaji tena yy kuwepo ili iendelee, na pia kuna nyingine ya dada muuza miguu ya kuku na yy katengeneza mfumo ambao hamuitaji yy kuwepo. Bottom line: ni matumizi mabaya ya elimu kuendesha bajaji kwa level ya master huo ndio ukweli mchungu ila watu lazima waambiwe hiyo ni level ya kuunda biashara zinazojitegemea
Asante kwa maoni yako Nicklaus
 
Bajaji inaufanyaji wake wa kazi kila eneo co kila kituo au mkoa wanakoroga za 500 sehemu nyingine ni kukodi kuanzia 3000 na hakuna za 500 binafsi sijawaifanya hyo kazi ya 500 unayosema shida ya cc waswahili ni kukatishana tamaa na kubisha hata tusivyovijua
Shukrani Mersen kwa maelezo
 
Hapo uenda ana nyumba yake.
Na vimradi vingine hatuwezi jua.
Ila kwa siku kuingiza elfu 50.
Ni hela nyingi sana.ni zaidi ya kuajiriwa.
Kama atakuwa na hivyo vitu ulivyotaja tayari basi si haha maisha yaenda murua kabisa
 
Back
Top Bottom