Wasomi wa karne hii ni vilaza, wanabebwa na vyeti vya chabo kuliko taaluma halisia

Mkuu mim nimesoma IT lakin cha ajabu nilijua kuiwasha kompyuta kipindi nipo chuo hii ilitokana na familia niliyotoka mkuu kwaiyo usishangae sana.
 
Ki Ukweli kabisa, Ukweli kabisa, hii nchi tunahitaji Mjadala wa Hatma ya Elimu yetu kama alivyowahi kuusia Big Ben. Hali ni mbaya mno huku mtaani, tena mbaya zaidi na huu uandishi wao wa 'x badala ya s'. Wanachokijua sana ni kubana sarawili zao na kuvaa viatu vya kung'aa
 
Yuda... msaliti, kweli majina huumba
 
BADILISHA EDUCATION SYSTEM.

well huwezi kujua kitu ambacho hukijui.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Zabron amem 'mock' mtoa mada, OP ndiyo aliyeandika 'mouth', mtoa mada aka edit fasta, japo bado ipo kwenye quote
Na nilijua atafanya editing ndio maana nikafanya kuquote ili asijejikuta Newton. Anaponda wsdiojua kutumia computer wakati yeye kuandika hajui.
 
kama computer yenyewe ni Fiji mnategemea nini unaweza kudhani unawasha kumbe unaongeza sauti
 
Nilikuwa nasikiliza katibu kiongozi akisoma majina ya walioteuliwa uwaziri na manaibu wao. Nilichoka ule mvurugano wa majina aliyokuwa akisoma. Wengine kama Jafo, alitaja jina la kwanza Selemani na kuishia la mwisho. Ila wengine akaanza la mwisho mfano Pinda anaishia la mwanzo Mizengo. Na mvurugano uliendelea hivyo hivyo, ikitokea mtu unajua ndio nafuu, la sivyo ni mpaka uchambue hapa jina la kwanza ni lipi na la ukoo ni lipi?
Nilijiuliza huu utovu wa umakini wa kila jambo katika nchi hii una dawa kweli?
 
soma uzi vizuri wewe umebase kwenye field tu
 
Mkuu mim nimesoma IT lakin cha ajabu nilijua kuiwasha kompyuta kipindi nipo chuo hii ilitokana na familia niliyotoka mkuu kwaiyo usishangae sana.
iyo IT uliyo soma imekusaidia nini
 
Na nilijua atafanya editing ndio maana nikafanya kuquote ili asijejikuta Newton. Anaponda wsdiojua kutumia computer wakati yeye kuandika hajui.
kajifunze kuandika vizuri
 
well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…