Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Comment bora sana hii. Suala la Darfur lilihuzunisha sana. Mambo aina hii ndilo janga au msiba mkuu wa nchi za kiafrika.

Yaani serikali zinaunda na kufadhili vikosi vya mateso na mauaji ya raia zao na kujifanya hazihusiki na madhila yanayotokea. Eti hao ni “janjaweed”, “watu wasiojulikana”, n.k. Bila kujua hao watu ipo siku watawageukia wao wenyewe.

Jeshi la Sudan linavuna lilichopanda. Wao ndio walianzisha na kufadhili hao RSF aka Janjaweed. Nchi zingine zenye kutegemea kufanyia ugaidi raia wao kwa vile tu ni “wapinzani” zijiandae kwa matokeo. Wanaoishi kwa upanga hatimaye huangamia kwa upanga. It’s just a matter of time.
hawakuishia hapo Serikali ya Sudan ilifadhiri seleka waliopeleka vita mpk leo huko afrika ya kati pia za chini chini , Sudan ndio walikuwa wanafadhiri vita nchini Ethiopia kwa kuwapa silaha TPLF , hao wasudan na wachad ni wachochez wa udini na vita baran afrika
 
We ni mpumbavu kweli.

Warusi na Wayukreini wanaotwangana huko Ukraine nao ni waislamu?

Tena kibaya zaidi nchi kubwa za kikristo zikiongozwa na USA ndizo zunazorefusha vita kwa kumpa silaha Ukraine huku zikikataa kukaa mezani kwa ajiri ya suluhu.

CCM akili zenu mbovu sana.
ndio maana wanawacha mpingane akili kisoda , Ukraine imevamiwa , Sudan wanapigana watu wa nchi moja , huu undez wenu ndo unafanya bara hili halitokuja kuwa na aman sabab hamtak ukweo ujulikane
 
Urusi na Ukraine sio vita vya wenyewe kwa wenyewe(civil war), ni uvamizi wa taifa moja kwa taifa lingine.
Kumbe Urusi na Ukraine hawataki Suluhu kupitia DINI YAO MOJA ilihali mpaka baba mtakatifu ameingilia kati ila bado tu wanaendelea kuuana......

Unadhani dunia ya sasa watu wanapigania DINI na si FEDHA NA MADARAKA?!!!!

Kwenye baadhi ya nyumba za ibada tu za dini karibu zote mizozo,kutengana na kubaguana hakuishi kwa VIONGOZI sababu ya VISADAKA NA UKUU...sasa unashangaa kwa WANASIASA NA WANAJESHI HAO WAKUBWA wanaoshika HAZINA YA NCHI NA NJIA KUU ZA UCHUMI kisa tu wana majina ya kiislamu na ni waislamu?!!![emoji23]

Broad up your mind......

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Urusi na Ukraine sio vita vya wenyewe kwa wenyewe(civil war), ni uvamizi wa taifa moja kwa taifa lingine.
Wewe unasema...
Dunia ya magharibi inatuaminisha hivyo.....

Putin na makamarada wenzake wanaamini UKRAINE ni eneo la Urusi...TUSIKESHE SANA HAPA [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
ndio maana wanawacha mpingane akili kisoda , Ukraine imevamiwa , Sudan wanapigana watu wa nchi moja , huu undez wenu ndo unafanya bara hili halitokuja kuwa na aman sabab hamtak ukweo ujulikane
We nae ni wmiongoni mwa wapumbavu walewale.

Tofauti yako na huyo yehodaya wewe hauna haya wala aibu hata kidogo.

Mrusi(mkristo)kamvamia myukreini(mkristo) wote ni wakristo.

Tofauti hiko wapi tukiangalia kwa jicho la udini?

Jeshi la nchi ya Ukraine(wakristo) limeanza kupambana na waasi ambao ni wakristo wa majimbo ya Luhansk na donetsk katika mkoa wa Donbas wanaotaka kujitenga tangu mwaka 2014.

Hao wote ni wakristo na nchi ni moja hila kwa upumbavu wako umekaa kimya ujawatoa akili.

Wale waprotestant na wakatoliki waliotwangana Ireland ya kaskazini miaka ya 1963 nao ni waislamu?

Pumbavu.
 
Mataifa karibu yote duniani yenye raia zao Sudan wanashindana kuwakimbiza nchini humo. Imekuwa kama ni siasa kuwahi kuwaondoa raia hao kwa mbinu tofauti. Nchi inayochelewa kufanya hivyo kama kwamba inahofia kuingia matatani kwa wananchi wake huko nyumbani.

Katika kuondoka huko kila nchi imekuwa ikifanya mbwembwe zake ili ionekane ni hodari zaidi katika kukimbia eneo lenye vita. Upande wa Marekani awali walisema wana mpanga wa kuwahamisha raia wake haraka. Kumbe wakati wakisema hivyo helikopta za Chinook zilikuwa tayari zipo Khartoum kuchukua maafisa wa ubalozi tu na familia zao wanaofikia 100.Wale raia wengine pacha wafikao 16000 kila mmoja ametakiwa aangalie usalama wake.

Uiengereza, Ufaransa, Ujerumani, Italy, Spain na nchi nyingi zimeshafanya zoezi hilo. Kwa upande wa Urusi imesema raia wake wote wameshajikushanya ndani ya Ubalozi wa nchi hiyo Khartoum na wanaangalia muda muafaka ili kuwaondoa.Hali ni hiyo hata kwa vinchi vidogo kama Kenya na Misri nao eti wanafanya mipango kuondoa raia zao huo ambao huenda wala hawajui namna walivyoingia na wala idadi yao.

Majenerali wanaopigana nchini humo kila mmoja anajaribu kutoa picha kwamba ndiye aliyepanga mipango ya kusaidia kuondoka raia wa nchi moja baada ya nyengine. Kama wana madai ya kweli katika kuanzisha vita hivi basi badala ya kusaidia kuondoka raia hao wangewashikilia mateka mpaka usalama urudi nchini humo.Wangewaambia hawawezi kuwahakikishia usalalma wao.

Upande wa wananchi matukio hayo ya kukimbizwa kwa raia wa nje kumewakatisha tamaa sana.Alsadig Alfatih amesema kuwaona watu hao wakihamishwa na kuachwa wao wapigane kumemkatisha tamaa sana kwani alitaraji wao ndio wangesaidia kuleta amani.
6d24f0c0-e272-11ed-bffb-d0e242b79dbb.cf.webp
Wasudan wanalipia gharama za kuongozwa na majenerali wajinga.
 
Siyo kila watu ni wa kutekwa tu kirahisi...
Ulishawahi kusikia kilichotokea Entebbe huko nyuma pale Iddi Amin Dada alipokubali kuhifadhi mateka wa Israel waliokuwa mikononi mwa magaidi wa Kiarabu?!

Kumbe katika operesheni ile Israel ilisaidiwa na Misri na Kenya. Misri ilishuhudia mazoezi ya jeshi la Israel kwa ajili ya uokoaji kule Kampala na haikusema kitu juu ya kwamba nchi hiyo ilipigwa na Israel mwaka 1967, Na Kenya nayo ilijua ndege za Israel zitakuja kutia mafuta pale kabla kutua Uganda, Kwa kutiwa fikra mbaya tuchukiane waafrika hatupendani wala hatusaidiani, Hiyo sifa kubwa ya jeshi la Israel wala isingekuwepo kama Misri ingetoa masharti yake na Kenya ikaidai Israel isitishe uvamizi wao kule Palestina.
Lakini Jommo Kenyatta alikwishatiwa fitna akamchukia jirani yake Idi Amini Dada kwa faida ya mataifa yasiyokuwa na utu wala ukweli katika mahusiano yao na wenzao.
 
Wewe unasema...
Dunia ya magharibi inatuaminisha hivyo.....

Putin na makamarada wenzake wanaamini UKRAINE ni eneo la Urusi...TUSIKESHE SANA HAPA [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Putin wa wap huyo ? lin alisema Ukraine ni sehem ya Urusi , hz story mnatungaga huko vijiwen msiwe mnakuja nazo humu , Putin aliivamia Ukraine ili awasaidie majimbo ya mashariki kujitenga ila alipokuta utelezi akajisahau akateleza mpk kyiev ila hakuwai sema Ukraine ni sehem ya Urusi
 
We nae ni wmiongoni mwa wapumbavu walewale.

Tofauti yako na huyo yehodaya wewe hauna haya wala aibu hata kidogo.

Mrusi(mkristo)kamvamia myukreini(mkristo) wote ni wakristo.

Tofauti hiko wapi tukiangalia kwa jicho la udini?

Jeshi la nchi ya Ukraine(wakristo) limeanza kupambana na waasi ambao ni wakristo wa majimbo ya Luhansk na donetsk katika mkoa wa Donbas wanaotaka kujitenga tangu mwaka 2014.

Hao wote ni wakristo na nchi ni moja hila kwa upumbavu wako umekaa kimya ujawatoa akili.

Wale waprotestant na wakatoliki waliotwangana Ireland ya kaskazini miaka ya 1963 nao ni waislamu?

Pumbavu.
upeo wako mdg , unataka fananisha war na civil war , Rudi std 7 ukasome upya , Urusi kaivamia Ukraine , ni nchi mbili tofaut hazifanani kila kitu siasa , uchumi hata kijamii pia , Sudan ni nchi moja , WAAFRIKA KWA HIZI AKILI , AMANI NA MAENDELEO MTAYASIKIA KWENYE BOMBA LA SINDANO
 
Kumbe katika operesheni ile Israel ilisaidiwa na Misri na Kenya. Misri ilishuhudia mazoezi ya jeshi la Israel kwa ajili ya uokoaji kule Kampala na haikusema kitu juu ya kwamba nchi hiyo ilipigwa na Israel mwaka 1967, Na Kenya nayo ilijua ndege za Israel zitakuja kutia mafuta pale kabla kutua Uganda, Kwa kutiwa fikra mbaya tuchukiane waafrika hatupendani wala hatusaidiani, Hiyo sifa kubwa ya jeshi la Israel wala isingekuwepo kama Misri ingetoa masharti yake na Kenya ikaidai Israel isitishe uvamizi wao kule Palestina.
Lakini Jommo Kenyatta alikwishatiwa fitna akamchukia jirani yake Idi Amini Dada kwa faida ya mataifa yasiyokuwa na utu wala ukweli katika mahusiano yao na wenzao.
ila waafrika upeo wetu mdg sana , Unahisi kisa Kenya na Misri kukataa kuwapa support Israel bas basi ndo operation isingefanyika , mtizamo wao unaonesha kabisa jinsi waafrika tulivyo na upeo mfupi hasa tukikutana na changamoto ndogo ndogo , kiufupi Israel angetafuta plan B , ni ngumu sana kuwaacha watu wake hass ndan yake walikuepo watu muhimu kwa serikali ya Israel
 
Serekali ya Taanzania kupitia wizara ya mambo ya nje yaamua kuwaondosha wanafunzi wote wa kitanzania wasomao nchini Sudan kutokana na hali ya vita vinavyoendele nchini humo, na kwa kua safari za ndege zimesita wanafunzi hao wataanza safari yao leo wakipitia boda za nchi hio kuelekea nchini Ethiopia kwa usafiri wa basi, wakiwasili Ethiopia kwa ushirikiano wa balozi wa Tanzania nchini humo watapanda ndege kurudi nyumbani, tuwaombee dua watoke salama na wafike nyumbani Tz salama
IMG-20230425-WA0028.jpg
 
Comment bora sana hii. Suala la Darfur lilihuzunisha sana. Mambo aina hii ndilo janga au msiba mkuu wa nchi za kiafrika.

Yaani serikali zinaunda na kufadhili vikosi vya mateso na mauaji ya raia zao na kujifanya hazihusiki na madhila yanayotokea. Eti hao ni “janjaweed”, “watu wasiojulikana”, n.k. Bila kujua hao watu ipo siku watawageukia wao wenyewe.

Jeshi la Sudan linavuna lilichopanda. Wao ndio walianzisha na kufadhili hao RSF aka Janjaweed. Nchi zingine zenye kutegemea kufanyia ugaidi raia wao kwa vile tu ni “wapinzani” zijiandae kwa matokeo. Wanaoishi kwa upanga hatimaye huangamia kwa upanga. It’s just a matter of time.
Kwamba unamaanisha hata hapa kwetu wasiojulikana ipo siku watafanya yao?tuombe tusifike huko
 
Putin wa wap huyo ? lin alisema Ukraine ni sehem ya Urusi , hz story mnatungaga huko vijiwen msiwe mnakuja nazo humu , Putin aliivamia Ukraine ili awasaidie majimbo ya mashariki kujitenga ila alipokuta utelezi akajisahau akateleza mpk kyiev ila hakuwai sema Ukraine ni sehem ya Urusi
Soma vizuri nilichoandika....

"Kuamini" si kusema....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom