Wasudani weusi Waislam waliwasaidia waarabu kuwafuta wasudan wasio Waislam leo hii waarabu wanakanyaga wote

Wasudani weusi Waislam waliwasaidia waarabu kuwafuta wasudan wasio Waislam leo hii waarabu wanakanyaga wote

Makafiri wote hawana rinder hiyo ni amri kutoka kwa yesu kama unabisha mkague aliekuzaa uje unipe mrejesho humu
Kijana Fake I'd inakupea confidence za kijinga eeh?

Hivi huko Madrasa ndio huu ujinga mnaofundishwa au ni hulka na maelezi ya hovyo hovyo iliyopewa na wazazi wako?
 
"mpe mwafrika bunduki wataanza kuuana wenyewe kwa wenyewe,hawana jema"p.w Botha
waarabu wanaua weusi sudan mkuu , ni kama wale wasiotaka muunganiko , utengano ukitokea wale wenye muonekano wa muscat waanze kuchinja wale wenye muonekano wa burundi
 
Vita za Sudan ni kati ya RSF NA RAF.
Haihusiani na rangi au kabila.
Embu muachage kuropoka baada ya kushiba makande.
Mkuu kosugi,

upande wa northern hawakulizishwa na adis ababa agreement. Hivyo raisi Nimeiry mwaka 1983 akatangaza sudani ni taifa la kiislamu.
Katika Adis ababa agreement southern part ilipewa autonomus region ambapo % kubwa ni non-islamic.

Lakini pia raisi Gaafar nimeiry alijaribu kuchukua umiliki wa sehemu za mafuta kitu kilichosababisha vita. Southern sehemu kama Bentiu, upper nile, Adar oilfileds n.k ni sehemu potential.

Ishu ya udini pia inachangia mkuu japo kuna sababu nyingine, sababu northern ni Arabic na southern ni non-muslim majority.
 
When Islam was in it's infancy in Mecca, it was not a violent religion. The first convert to Islam was Mohammad's first wife, Khadija after he told her about the visit of the Angel Jibril (Gabriel) who came to Mohammed in the cave of Hira and commanded him to start reciting what were to be the first verses of the Quran. Soon after, a handful of other people including his freed ex-slave and daughters converted, and later on, some influential members of the Quraysh tribe to which Mohammed belonged. Mohammed stayed in Mecca for about 13 years but only managed to persuade a mere 150 Arabs to become Muslims. The policy of a peaceful religion was a failure. The Pagans in Mecca tolerated Mohammed at first, but relations soured when he spoke critically of their religion and Gods, and they eventually became fed up with Mohammed and exiled him and his followers from Mecca. This is known as the Hiraj.

It was during his time in Medina (at that time known as Yathrib) where Mohammad managed to amass more followers and unite the Jewish tribes, becoming more powerful. After a few successful raids on Meccan caravans, Mohammad developed a clever strategy of Jihad which would become his new model of success from then on. He realised that the only effective way of spreading Islam was through warfare. The spoils taken from battle would be shared among his followers. By the time of his death, Islam had spread to most of the Arabian Peninsula.

The Following is an extract from the Sira of Mohammed (credit to Bill Warner):

The idea of raiding Meccan caravans solved two problems for Mohammed. The first was the money would cure the Muslim poverty. Secondly, Mohammed would get his revenge for being driven out of Mecca. The idea of jihad was born at this time. I416-423 Mohammed sent his fighters out on seven armed raids to find a trade caravan headed to Mecca. On the eighth try the jihadists found the caravan. They killed one man and captured the rest. The booty and captives were taken back to Medina. There was a small problem. They had raided and killed someone in a sacred month of peace. This violated Arabic tribal custom. But the Koran said that killing the Kafirs in the sacred months was a moral act. For the Meccans to resist Islam was an offence against Allah, so the killing was justified.

Whatever your opinion is on Mohammad, he was a clever warlord and strategist. On that basis, he was a formidable adversary to anyone who crossed him. He convinced his followers that Allah was on their side and that they would ultimately triumph. Even if they lost the occasional battle, they would go to paradise if they died fighting for Allah. To illustrate this, I am going to quote directly from the Hadith:

Sahih al-Bukhari Book 2 Hadith 35

The Prophet said, "The person who participates in (Holy battles) in Allah's cause and nothing compels him to do so except belief in Allah and His Apostles, will be recompensed by Allah either with a reward, or booty (if he survives) or will be admitted to Paradise (if he is killed in the battle as a martyr).

This blind belief made Mohammed’s Islamic army fearless in battle and formidable opponents. I doubt that Mohammed wielded a sword himself, though he did possess several. He had plenty of people to fight for him so he had little need to pick up a sword and risk his life.

Muslims who hold their prophet in high esteem as the perfect model of humanity will of course refute this version, and maintain that Mohammed and his followers never fought any wars that were not defensive; that he was peaceful and a good man and never killed anyone. This appears to be in contradiction to historical Islamic texts which suggest otherwise. The early biographers of Mohammed, the Hadith such as the Sahih Bukhari and even the Quran itself have plenty of examples where Mohammed had people murdered, whether they broke treaties, apostatized, or even just insulted the prophet in poetry and criticised Islam. Mohammed once allowed the beheading of over 600 Jews from the Banu Qurayza tribe to take place, calling it God’s will. If Islam really was a peaceful religion, it seems doubtful that it could have spread so far and so quickly, supplanting well established paganism and polytheism in Arabia, decimating the Christian population in the Holy Lands and galvanising Pope Urban II into calling for the first Crusade. In fact, Islam has never even been at peace with itself as the conflict between Sunni and Shia will illustrate.
Ume copy na paste maneno sijui yametoka wapi!?

Katika uislam Allah hakutufundisha kueneza dini kwa mapigano,bali katuhimiza KUITETEA DINI YAKE.
Ukisema kueneza dini kwa Upanga inamaana ni sawa na kulazimisha dini.
Na ARTICLE YOTE ULOLETA inapingana na Qur'an 2;256.

Screenshot_2024-05-24-17-11-22-91_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg



Jihad maana yake ni kufanya jitihada eidha kwa nguvu au pesa.
Na katika jihad kuna jihad ya mali na vita.
Na sheria za Jihad ya vita ni zifuatazo;
1)Hakuna kuua wanawake,watoto na wazee.
2)Hakuna kuharibu mji.
3)Hakuna kuharibu mali,mazao,miti.
4)Hakuna kupigana na asiyeshika silaha.
Asa unaposema dini imeenezwa kwa Upanga inamaana kila mtu alishikiwa panga na kuulizwa kama amekubali uislam au laaah,huo ni uongo.
Jiulize maswali haya mawili ana ulete majibu;
1)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliruhusu mkataba na wayahudi??
2)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliweka mikataba na WARUMI(ROMAN EMPIRE)?
3)Kama uislam ulienezwa kwa upanga kwanini kipindi waislam wanateswa Mecca Mungu aliwakataza wasipigane ila aliwaamuru wahame??

Endeleeni kuokota articles za uongo.
 
Mkuu kosugi,

upande wa northern hawakulizishwa na adis ababa agreement. Hivyo raisi Nimeiry mwaka 1983 akatangaza sudani ni taifa la kiislamu.
Katika Adis ababa agreement southern part ilipewa autonomus region ambapo % kubwa ni non-islamic.

Lakini pia raisi Gaafar nimeiry alijaribu kuchukua umiliki wa sehemu za mafuta kitu kilichosababisha vita. Southern sehemu kama Bentiu, upper nile, Adar oilfileds n.k ni sehemu potential.

Ishu ya udini pia inachangia mkuu japo kuna sababu nyingine, sababu northern ni Arabic na southern ni non-muslim majority.
Mkuu hukusoma mada vizuri.
Jamaa yako anakwambia SASA HIVI SUDAN KASKAZINI WEUPE WANAUA WEUSI.
Huu ni uongo,vita ya kaskazini sasa hivi ni ya madaraka kati ya RSF na RAF.
Kama ingekua wanauliwa watu weusi tu wale wakimbizi wasomi WAARABU walokuja Tanzania wasingekuja
 
Hizi nyuzi za kidini zingepigwa marufuku humu JF. Hakuna dini yoyote chini ya jua isiyo na kasoro. Historia ya Katoliki imejaa damu tupu. Na hadi leo wanahusishwa na mambo mengi ya kikatili. Anzia vita ya Biafra hadi mauaji ya 1994 huko Rwanda utaona RC ilivyo kwa upande mwingine.
 
Wewe unauwalakini, Nitajie mtu mmoja tu mwisilam mweusi mwenye ukwasi unaousema wewe

Mweusi mwenye ukwasi alikuwaga Mengi tu, wengenewe wote ni makabakachori
Ona huyu mbuzi.
Nenda Tanga utakutana na matajiri weusi wakitanga waislam kibao tu.
Nenda Zanzibar utakutana na Wazanzibari-WANYAMWEZI kibao tu wana ukwasi.
Mmiliki wa shule ya Daarul Arqam ni Mpare japo kafariki.
Unajua ile shule inaingiza mamilioni mangapi!?
Huo ni mfano tu.
Mkiitwa matahira mnakataa.
 
Hizi nyuzi za kidini zingepigwa marufuku humu JF. Hakuna dini yoyote chini ya jua isiyo na kasoro. Historia ya Katoliki imejaa damu tupu. Na hadi leo wanahusishwa na mambo mengi ya kikatili. Anzia vita ya Biafra hadi mauaji ya 1994 huko Rwanda utaona RC ilivyo kwa upande mwingine.
Hawa WAGALATIA NDIO HUHUSISHA DINI ZA WATU MKUU.w
 
Nianze na utata wa Sudan kwanza.
Ushahidi wa vyombo vikubwa vyote vya habari na UN huu hapa kuhusu tatizo la Sudan.
Halafu nitarudi kuhusu JIHAD NIMALIZE UTATA.
Screenshot_2024-05-25-13-53-11-51_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-25-13-53-18-51_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-25-13-53-34-09_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ukishakua mfuasi wa mudi chini ya jina la mnyaazi unakua na matatizo ya akili ya kudumu hadi siku unakufa, alafu hao ndio wanajiita dini ya amani dini ya kweli dini ya haki shenzi kabisa
 
Ume copy na paste maneno sijui yametoka wapi!?

Katika uislam Allah hakutufundisha kueneza dini kwa mapigano,bali katuhimiza KUITETEA DINI YAKE.
Ukisema kueneza dini kwa Upanga inamaana ni sawa na kulazimisha dini.
Na ARTICLE YOTE ULOLETA inapingana na Qur'an 2;256.

View attachment 2998930


Jihad maana yake ni kufanya jitihada eidha kwa nguvu au pesa.
Na katika jihad kuna jihad ya mali na vita.
Na sheria za Jihad ya vita ni zifuatazo;
1)Hakuna kuua wanawake,watoto na wazee.
2)Hakuna kuharibu mji.
3)Hakuna kuharibu mali,mazao,miti.
4)Hakuna kupigana na asiyeshika silaha.
Asa unaposema dini imeenezwa kwa Upanga inamaana kila mtu alishikiwa panga na kuulizwa kama amekubali uislam au laaah,huo ni uongo.
Jiulize maswali haya mawili ana ulete majibu;
1)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliruhusu mkataba na wayahudi??
2)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliweka mikataba na WARUMI(ROMAN EMPIRE)?
3)Kama uislam ulienezwa kwa upanga kwanini kipindi waislam wanateswa Mecca Mungu aliwakataza wasipigane ila aliwaamuru wahame??

Endeleeni kuokota articles za uongo.
Yani wewe hata historia hujui. Nimecopy na ku paste yes lakini ni historia iliyothibithishwa. Tafuta wanahistoria wakupe shule uelimike
 
Yani wewe hata historia hujui. Nimecopy na ku paste yes lakini ni historia iliyothibithishwa. Tafuta wanahistoria wakupe shule uelimike
Naijua historia KULIKO HUO UTUMBO ULIOLETA HAPA.
Wewe umefanya C&P mie nimesoma naelewa mlolongo wa uislam ulipotokea mpaka ukafika ulipofika na kwanini walipigana.
Nimekuuliza maswali hakuna ulilojibu hata moja.
Jibu hayo maswali huko juu kwanza.
 
Ume copy na paste maneno sijui yametoka wapi!?

Katika uislam Allah hakutufundisha kueneza dini kwa mapigano,bali katuhimiza KUITETEA DINI YAKE.
Ukisema kueneza dini kwa Upanga inamaana ni sawa na kulazimisha dini.
Na ARTICLE YOTE ULOLETA inapingana na Qur'an 2;256.

View attachment 2998930


Jihad maana yake ni kufanya jitihada eidha kwa nguvu au pesa.
Na katika jihad kuna jihad ya mali na vita.
Na sheria za Jihad ya vita ni zifuatazo;
1)Hakuna kuua wanawake,watoto na wazee.
2)Hakuna kuharibu mji.
3)Hakuna kuharibu mali,mazao,miti.
4)Hakuna kupigana na asiyeshika silaha.
Asa unaposema dini imeenezwa kwa Upanga inamaana kila mtu alishikiwa panga na kuulizwa kama amekubali uislam au laaah,huo ni uongo.
Jiulize maswali haya mawili ana ulete majibu;
1)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliruhusu mkataba na wayahudi??
2)Kama uislam umeenezwa kwa upanga kwanini Muhammad aliweka mikataba na WARUMI(ROMAN EMPIRE)?
3)Kama uislam ulienezwa kwa upanga kwanini kipindi waislam wanateswa Mecca Mungu aliwakataza wasipigane ila aliwaamuru wahame??

Endeleeni kuokota articles za uongo.
Allah ana dini?
 
Kaka, Janjaweed ndio Hawa RSF
Sio RSF wote ni Janjaweed.
Wapo waliotoka na kuna waliobaki kutaka kuiendeleza Janjaweed.
Ndio RSF ikaundwa kupigana na janjaweed ya zamani.
Utata umekuja RAF ilipotoa waraka wa kuivunja RSF.
 
Botha alikuwa mbaguzi tu.
Sasa hivi wa Ukraine, warusi, wa yahudi, wafilist, nk, wote ni weupe pee.
Angalau wenzetu wana sababu ya kupigana.
Sisi huwa tunauana kwa upumbavu ambao kama tungekaa mezani dakika 10 tu ungeshatatulika.
 
Back
Top Bottom