Hili suala pengine limekuuma ila suluhisho sio kutetea kwamba halipo, ni kweli ni mambo yanayotia aibu hasa ukiwa unahusiana na watu hao aidha kwa kabila, undugu, eneo, n.k. ila suluhisho la kuondokana na hii aibu sio kukana bali waelimishwe.
Hawa ni wasukuma wanaoishi halmashauri ya mpimbwe, kibaoni, majimoto na vijiji vinginevyo,