kamwulize kadogosa mzee, unatuuliza sisi kwani ndio wakandarasi tulioijenga, upande wetu sisi tunafurahi tu kwamba kumbe tunaweza kusafiri hadi moro kwa 2:20 hours badala 3 t0 4 hours za mabasi, tena mabasi yenyewe ujue yanakimbia mno kwa muda huo. binafsi nafurahi, ninachopinga ni value for money, mabehewa hayo sio ya kisasa kabisa, na yawezekana yalitupwa huko walikochukua. hata south korea walikochukua hawatumii kama hayo. kwa lugha nyingine hili ni ngalangala linalokimbia, sio treni ya kisasa hata tukiwa nje ya nchi kwa wenye treni wakisema wenye treni za kisasa hatutakiwi kunyoosha mkono kabisa.