Wataalam wa kuchambua Biblia, nini maana ya hiki kifungu?

Wataalam wa kuchambua Biblia, nini maana ya hiki kifungu?

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Biblia ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
View attachment 2853836
 
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Biblia ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Wewe ni masikini kuliko masikini woote duniani! Kwahiyo kama Mungu hayupo yuko nani? Shetani? Maana kuna nafasi (kiti) wakuijaza
 
Umeeleza vizuri ila hapo kwenye kumsingizia shetani umebugi...so Simba aliumbwa ale majani alikuwa ana matumbo manne ila baada ya mtu kula tunda akawa na meno makali na tumbo la kusaga nyama .. hamna sehemu yoyote duniani inayosema Simba alikuwa Hali nyama...acha uwongo na upotoshaji..na hao wadudu kuleta magonjwa ndo chakula Chao hicho so unabidi utuambie Mungu aliwaumba wale Nini kabla ya magonjwa unayomsingizia shetani
Watu kama wewe ndio mnanifanya niachane na ku-post vitu JF. Najiona kama napoteza muda kujibizana na watu ambao hawajui vitu, na hawajui kwamba hawajui, halafu wanajifanya wanajua. Na badala ya kujibu hoja ili kuendeleza mazungumzo, wanakuja na kashfa. Ni dalili za matataizo ya afya ya akili.

Hata hivyo, kwa mfano, umewahi kujiuliza kwa nini mwanadamu ana apendix katika tumbo? Ni kwa sababu hata mwanadamu hakuumbwa ale nyama. Suala la kula nyama likikuja baadae sana, baada ya Gharika ya Nuhu. Ni akili kufikiri hapo ndipo wanyama nao walianza kula nyama, maana la sivyo ndani ya Gharika ingekuwa ni vurugu tupu.

Lakini sasa, ona kwamba kwa kuwa suala la ulaji nyama halikuwa katika mpango wa Mungu, Mungu anaporejesha hali ya amani, zile hali zilizokuwapo katika Eden zinarejeshwa tena. Angalia andiko la Isaya 65:25; "Mbwa mwitu na mwanakondoo watalisha pamoja, Simba atakula majani kama ng’ombe dume, na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,” asema BWANA.

Sasa japo Biblia inasema Mungu aliumba wanyama wa porini na kufugwa, hakuna mahali inasema simba na fisi nk walikula nyama. Na japo Biblia haisemi wazi kwamba simba hakula nyama, inference za mwanadamu kuruhusiwa kula nyama baada ya Gharika, na Mungu kuongelea simba kula majani, ni wazi amani katika bustani ya Eden ilikuwapo pia kati ya wanyama kwa wanyama, na wanadamu kwa wanyama. Hawakuuana kwa ajili ya chakula.

Na suala la kusema wadudu kuleta magonjwa, Mungu aliwaumba wa nini? Swali nzuri, lakini Mungu hakuwaumba ili walete magonjwa. Usisahau wadudu kama nzi na funza (maggots) wana sehemu yao. Na sikatai kabisa kwamba simba walikula nyama katika bustani ya Eden, labda walikula mizogo bila ya kuwaua wanyama, kwa sababu katika bustani ya Eden wanyama walikuwa wakifa, na hatutarajii kwamba Adamu alifanya kazi ya kumzika kila mnyama aliekufa.
 
😂Unataka nikuelezee kama mkristo au kama mtu asiye na dini....maana biblia unaweza itafsiri utakavyo wewe
Si utoe tafsri yako unavyoona inafaa.... Itakayw mfaa na imfae ..... Unaanza ooooohhh eeeehhh .... Kikaenda kikarudi ......
 
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Biblia ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Mkuu, hatuna la kukuambia zaidi ya kusema, soma Zaburi 14:1 halafu uje tena na post
 
Watu kama wewe ndio mnanifanya niachane na ku-post vitu JF. Najiona kama napoteza muda kujibizana na watu ambao hawajui vitu, na hawajui kwamba hawajui, halafu wanajifanya wanajua. Na badala ya kujibu hoja ili kuendeleza mazungumzo, wanakuja na kashfa. Ni dalili za matataizo ya afya ya akili.

Hata hivyo, kwa mfano, umewahi kujiuliza kwa nini mwanadamu ana apendix katika tumbo? Ni kwa sababu hata mwanadamu hakuumbwa ale nyama. Suala la kula nyama likikuja baadae sana, baada ya Gharika ya Nuhu. Ni akili kufikiri hapo ndipo wanyama nao walianza kula nyama, maana la sivyo ndani ya Gharika ingekuwa ni vurugu tupu.

Lakini sasa, ona kwamba kwa kuwa suala la ulaji nyama halikuwa katika mpango wa Mungu, Mungu anaporejesha hali ya amani, zile hali zilizokuwapo katika Eden zinarejeshwa tena. Angalia andiko la Isaya 65:25; "Mbwa mwitu na mwanakondoo watalisha pamoja, Simba atakula majani kama ng’ombe dume, na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,” asema BWANA.

Sasa japo Biblia inasema Mungu aliumba wanyama wa porini na kufugwa, hakuna mahali inasema simba na fisi nk walikula nyama. Na japo Biblia haisemi wazi kwamba simba hakula nyama, inference za mwanadamu kuruhusiwa kula nyama baada ya Gharika, na Mungu kuongelea simba kula majani, ni wazi amani katika bustani ya Eden ilikuwapo pia kati ya wanyama kwa wanyama, na wanadamu kwa wanyama. Hawakuuana kwa ajili ya chakula.

Na suala la kusema wadudu kuleta magonjwa, Mungu aliwaumba wa nini? Swali nzuri, lakini Mungu hakuwaumba ili walete magonjwa. Usisahau wadudu kama nzi na funza (maggots) wana sehemu yao. Na sikatai kabisa kwamba simba walikula nyama katika bustani ya Eden, labda walikula mizogo bila ya kuwaua wanyama, kwa sababu katika bustani ya Eden wanyama walikuwa wakifa, na hatutarajii kwamba Adamu alifanya kazi ya kumzika kila mnyama aliekufa.
😂😂😂Ushaweka assumptions Mara labda Mara gharika Mara Isaiah skia...kula Christmas bro...ulale
 
Watu kama wewe ndio mnanifanya niachane na ku-post vitu JF. Najiona kama napoteza muda kujibizana na watu ambao hawajui vitu, na hawajui kwamba hawajui, halafu wanajifanya wanajua. Na badala ya kujibu hoja ili kuendeleza mazungumzo, wanakuja na kashfa. Ni dalili za matataizo ya afya ya akili.

Hata hivyo, kwa mfano, umewahi kujiuliza kwa nini mwanadamu ana apendix katika tumbo? Ni kwa sababu hata mwanadamu hakuumbwa ale nyama. Suala la kula nyama likikuja baadae sana, baada ya Gharika ya Nuhu. Ni akili kufikiri hapo ndipo wanyama nao walianza kula nyama, maana la sivyo ndani ya Gharika ingekuwa ni vurugu tupu.

Lakini sasa, ona kwamba kwa kuwa suala la ulaji nyama halikuwa katika mpango wa Mungu, Mungu anaporejesha hali ya amani, zile hali zilizokuwapo katika Eden zinarejeshwa tena. Angalia andiko la Isaya 65:25; "Mbwa mwitu na mwanakondoo watalisha pamoja, Simba atakula majani kama ng’ombe dume, na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,” asema BWANA.

Sasa japo Biblia inasema Mungu aliumba wanyama wa porini na kufugwa, hakuna mahali inasema simba na fisi nk walikula nyama. Na japo Biblia haisemi wazi kwamba simba hakula nyama, inference za mwanadamu kuruhusiwa kula nyama baada ya Gharika, na Mungu kuongelea simba kula majani, ni wazi amani katika bustani ya Eden ilikuwapo pia kati ya wanyama kwa wanyama, na wanadamu kwa wanyama. Hawakuuana kwa ajili ya chakula.

Na suala la kusema wadudu kuleta magonjwa, Mungu aliwaumba wa nini? Swali nzuri, lakini Mungu hakuwaumba ili walete magonjwa. Usisahau wadudu kama nzi na funza (maggots) wana sehemu yao. Na sikatai kabisa kwamba simba walikula nyama katika bustani ya Eden, labda walikula mizogo bila ya kuwaua wanyama, kwa sababu katika bustani ya Eden wanyama walikuwa wakifa, na hatutarajii kwamba Adamu alifanya kazi ya kumzika kila mnyama aliekufa.
Kwa hiyo kabla ya Gharika wote tulikuwa Rastafarians ....mwendo wa majani tu si ndio!??
 
si kila mstari kwenye bible unaweza kuuelewa wenyewe kama wenyewe anzia juu kidogo at least mstari wa 15 au 16 utapata kuelewa paulo alimaanisha nini

unless uwe na lingine ulilolikusudia
Yeah!...asome mlango mzima ndio itakuwa rahisi kuelewa.
 
Mkuu, hatuna la kukuambia zaidi ya kusema, soma Zaburi 14:1 halafu uje tena na post
Nakwambia hivi 👇

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Atheist 12:4, Mpumbavu husema moyoni mwake Kuna Mungu.
 
😂😂😂 Kumbuka abel alikuwa mfugaji asa cjui alikuwa anafuga kwa ajili ya maziwa tu...😂😂achana nae huyu
Sijui wanatuonaje Hawa wanaojiita wenye upako ...eti hauwezi kutafsiri biblia mpaka Moyo mtakatifu sijui roho mtakatifu akushukie biblia ni kitabu tu kama vitabu vingine..... Ni kusoma tu Kwa tafakari basi..sasa mtu hapa anatupiga kabobo Simba alikuwa hali nyama mara binadamu tumeanza kula nyama baada ya Gharika .... Kabobo nyingi sana ....
 
Sijui wanatuonaje Hawa wanaojiita wenye upako ...eti hauwezi kutafsiri biblia mpaka Moyo mtakatifu sijui roho mtakatifu akushukie biblia ni kitabu tu kama vitabu vingine..... Ni kusoma tu Kwa tafakari basi..sasa mtu hapa anatupiga kabobo Simba alikuwa hali nyama mara binadamu tumeanza kula nyama baada ya Gharika .... Kabobo nyingi sana ....
Maandiko yote ya kidini Biblia na Quran ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi, Riwaya za Alfu Lela ulela, Mashimo ya mfalme Sulemani, Hawafu mwenye nguvu, Takadini, joka la Mdimu n.k
View attachment 2853833View attachment 2853832View attachment 2853834View attachment 2853835
 
Hongera sana mkuu. Ufafanuzi bora kabisa. Mfano Yehova aliweka sheria kua mume ni kichwa Cha familia. Lakini hekima ya ulimwengu inasisitiza USAWA. Hapo hapo wazee wanasema mafahali wawili hawakai zizi moja. Yani kutaka mume na mke wawe sawa tayari umeona hekima ya kimungu haifai but kwa hekima za wahenga wanaona hekima ya Mungu inafaa. Kitu chochote alichoumba Mungu au kusema iwe ni sheria au Kanuni iwe haifai kwa macho ya binadamu lakini kuhalisia inafaa 100%
 
Hongera sana mkuu. Ufafanuzi bora kabisa. Mfano Yehova aliweka sheria kua mume ni kichwa Cha familia. Lakini hekima ya ulimwengu inasisitiza USAWA. Hapo hapo wazee wanasema mafahali wawili hawakai zizi moja. Yani kutaka mume na mke wawe sawa tayari umeona hekima ya kimungu haifai buul kwa hekima za wahenga wanaona hekima ya Mungu inafaa. Kitu chochotell alichoumba Mungu au kusema iwe ni sheria au Kanuni iwe haifai kwa macho ya binadamu lakini kuhalisia inafaa 100%l to
Mungu yupi unayemuongelea wa Taoism!?? Buddhism!?? Hinduism!?? Shamanism!?? Islamic!?? Christianity!?? Shintoism!!? Voodoos!?? Sikhism!!?Judaism!?? confucianism!?? Au .... Kila mkija Mungu,Mungu wa Yakobo sijui Simba wa Yuda anakuhusu nini!?? ... Soma tu kabla kitabu kingine pata maarifa tulia ....
 
Sijui wanatuonaje Hawa wanaojiita wenye upako ...eti hauwezi kutafsiri biblia mpaka Moyo mtakatifu sijui roho mtakatifu akushukie biblia ni kitabu tu kama vitabu vingine..... Ni kusoma tu Kwa tafakari basi..sasa mtu hapa anatupiga kabobo Simba alikuwa hali nyama mara binadamu tumeanza kula nyama baada ya Gharika .... Kabobo nyingi sana ....
😂Biblia tunazijua nje ndani achana nae tu
 
Hii ndio shida ya kusoma Biblia kama unasoma kitabu cha watoto wà mama ntilie...

NB: Sio kila mtu anauwezo wa kufasiri neno.
Huyo Mungu wako mwenye nguvu na akili why aandike kitabu ambacho hakieleweki afu atuumbe na akili zisizoelewa maandiko yake afu baadae anatumind...😂akili za kitoto
 
Back
Top Bottom