Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Tuelezee basi acha ngonjera zakoHii ndio shida ya kusoma Biblia kama unasoma kitabu cha watoto wà mama ntilie...
NB: Sio kila mtu anauwezo wa kufasiri neno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuelezee basi acha ngonjera zakoHii ndio shida ya kusoma Biblia kama unasoma kitabu cha watoto wà mama ntilie...
NB: Sio kila mtu anauwezo wa kufasiri neno.
Anamaanisha akili za Mungu ni za juu sana kwa mwanadamu. Soma kuanzia juuMungu aliye mkamilifu, asiye fananishwa na kitu, Alfa na Omega; hapa anatamkwa namna hii?
Ama kuna namna ilimaanishwa na Mwandishi wa Wakorinto?
View attachment 2853435
Bac since unajitoa akili ..kwa nini huamini sheria za Mungu wa kiislamu...
Vyovyote vile hawezi kumuita Mungu mpumbavu hata kwa kujaribu..Tengeneza biblia yako ! Weka kifungu kama hicho badili kama ifuatavyo -
" kwa sababu upumbavu wa EXCEL una hekima zaidi kuliko mtu yoyote humu jamii forum na udhaifu wa EXCEL una nguvu zaidi wa ya yeyote humu jamii forum.
Mwandishi anawafikishia ujumbe watu ambao WANAMDHARAU EXCEL na je ? Ujumbe huu .
EXCEL binafsi atauchukuliaje? Mwandishi ni adui yake?
Wengine nao watajisikiaje?
Pumbavu ni mtu anayeshindwa kuelewa.Isaka newton etc hawa jamaa ni Majiniasi ila ujiniasi wao bado haufikii hata ule upumbavu wa Mungu.
vile unavyojiona wewe una hekima ya hali ya juu, haujafikia hata the lowest wisdom Mungu angeamua kuwa nayo. vile unavyojiona una nguvuuuuu, haujafikia hata the lowest level ya Mungu angeamua kujifanya dhaifu. vile unavyojiona una uelewa mkubwa sana, haujafikia hata the lowest levelo Mungu angejifanya mjinga. Elewa kwamba, Mungu wetu ni mkuu sana, uwezo wake hauna kipimo, hapimiki, though huwa anaamua kujishusha kwa maslahi yake.Mungu aliye mkamilifu, asiye fananishwa na kitu, Alfa na Omega; hapa anatamkwa namna hii?
Ama kuna namna ilimaanishwa na Mwandishi wa Wakorinto?
View attachment 2853435
Raia wa Venezuela akiniambia rais wenu ni MPUMBAVU halafu mm namjibuVyovyote vile hawezi kumuita Mungu mpumbavu hata kwa kujaribu..
Hebu jaribu siku moja kumwambia Baba yake " U ajua baba upumbavu wako ni sawa na Hekima yangu mimi"
Uone kama ajakuachia Laana...
Au kamwambia samia hivyo laivu sio mtandaoni wala wapi akiwa anahutubia halafu we Omba mic sema ..
"Rais samia Upumbavu wako ni sawa na Hekima yangu"
Kama hizo scenario ni Ngumu kufanyika kwa binadamu wwnzenu kwanini mumfanyie muumba wwnu??
Hakuzungumzia kuhusu Raia wa nchi nyingine umesoma Fungu lakiniRaia wa Venezuela akiniambia rais wenu ni MPUMBAVU halafu mm namjibu
" upumbavu wa rais wangu una hekima ,,,,,,,,,
ishu hapa ni kwamba iweje amuite Mungu mpumbavu?Mbona mstari upo wazi umejitosheleza kabisa.
SAWA na kusema speed ndogo ya chini ya ndege gari yenye speed kubwa haiwezi ifikia
😂😂😂Sawa bac since unasema sheria zao ni za Muhammad we sheria unazofata ambazo zipo kwa bible zimeandikwa na nani...ulishawahi kuona Mungu anaandika kitabu...why umeamini kitabu Cha wayahudi kuwa real na Cha waislamu kuwa not realMkuu toka mwanzo nilikuambia siwez kuongelea mambo ya dini sijui uhindu,Judaism,uislam na kadhalika. Nilichojaribu kujibu swali lako kwamba unamwabudu Mungu yupi nikajibu namwabudu Yehova. Nikajaribu kukupa extra kuhusu Hilo jina. Unapoongelea uislam hautambui jina la MUNGU kua Yehova. Na hizo sheria unazoongelea za kiislam mi naamini ni sheria ya Mohemed ambaye hakua akijua kusoma Wala kuandika. From nowhere alikuja kuteka watu kwa kile alichodai alikua akiongea na Mungu milimani et alikua akikariri hayo maneno so hzo sheria zao wanajua wenyewe ni zipi na nyingi ya hzo sheria zinatokana na tamaduni za waarabu ambazo wanazienzi. Nikalipa somo kidogo kwamba licha ya waislam kutolitambua jina Yehova au YAH,YHWH,au Yahweh kua ndo jina halisi la MUNGU lakini katika Majina 99 ambayo Yako kwenye Quran yameanza na Nina YAH-... na neno linalifuatia hapo ni jina la sifa. Nakuuliza swali moja kama wao hawatambui jina la MUNGU kua ni Yehova utasemaje chanzo Cha sheria zao ni huyo Yehova? Kuna baadhi ya vitabu vinavyojumuisha Quran vimeongelea kisawa kabisa mafundisho ya Yehova. Mfano injili,torati na zaburi. Napo pamoja na kuzungumzia hayo Bado mengi yamepindishwa. Na si ajabu wao kuongelea hayo mafundisho coz wao pia waliishi mashariki ya Kati. So walimjua vizuri Mungu wa kweli ambaye ni Yehova ila wakamua kukazana na Mohamed. Nafirkiri umenielewa. Twende kazi
Ushawahi kusoma agano la kale, unajua huyo Mungu wako unayemuabudu alikuwa anaamuru watu wote wasio wayahudi wauliwe na mabikra wawe watumwa wa ngonoApo hapo nakzia..mungu wa waislaim analuhusu kama usipokua muslam uuliwe.
Hiyo ni mifano tu ! Kikubwa eneo la ubaya lilipoHakuzungumzia kuhusu Raia wa nchi nyingine umesoma Fungu lakini
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Biblia ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Mkuu, hatuna la kukuambia zaidi ya kusema, soma Zaburi 14:1 halafu uje tena na post
Ilaaniwe kazi yeyote mikono yako itakayofanya, ilaaaniwe safari yeyote miguu yako itakakokupeleka, hadi siku utakapojua na kukiri yuko Mungu wa kweli Aliye juu zaidi, Aliyeumba mbingu na nchi, ambaye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu. Daniel 4:25; Mathahyo 5:45Nakwambia hivi 👇
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Atheist 12:4, Mpumbavu husema moyoni mwake Kuna Mungu.
Mungu huyo hayupo.Ilaaniwe kazi yeyote mikono yako itakayofanya, ilaaaniwe safari yeyote miguu yako itakakokupeleka, hadi siku utakapojua na kukiri yuko Mungu wa kweli Aliye juu zaidi, Aliyeumba mbingu na nchi, ambaye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu. Daniel 4:25; Mathahyo 5:45