Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo huwa ni makadirio elewa neno MAKADIRIO so usipanic dogoLeo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Alianza tarehe 17 desemba hadi tarehe 21 desemba ndiyo siku zake
Sio 100% me wakati naanza clinic nilikuwa namimba ya miezi 3 ultra sound ikaonesha miezi 6 yani tare za kujifungua waka kadiria badala nijifungue miezi 9 wakarudisha miezi 6😀 nilibishana na manes hadi nikawauliza me ndo nimebeba mimba najua mwezi nilio beba bado mnabishia.. wakaniambie niende hospital nyingine nikafanye ultra sound tena nikaenda.. wao kidogo japo haikuwa sawa walisema mwezi wa 2 najifungua nikajifungua wa kwanza katikati.. kwaiyo hivo vitu hapana labda umuangalie mwanao km yupo hai tuu.
Nipe huyo mwanamke mkuu niko tayari kulea mimba..
nitakulipa fidia za usumbufu..View attachment 3241142
Kitanda hakizai haramuMtoto ni mtoto, ili mradi kasema ni wako!
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Hakuna changamoto, jiandae kuhudumia mimba.Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Mpenzi wenu ana mimba 😂😂😂😂Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Kwa nini unatuambia mara ya mwisho?Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
umejuaje ni ushamba? wengine tuna shida tunahitaji watoto hatuwapati..Kweli masikini akipata 😂😂
Huu ni ushamba
umejuaje ni ushamba? wengine tuna shida tunahitaji watoto hatuwapati..
Joa nakuheshimu sana
Hujaelewa nini ni kwamba ana mimba ya mpenzi wake, jiandae kuwa baba mleziLeo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Then mimba inaanza kuhesabiwa from 17th dec…. Atakua na wiki 9 na siku kadhaa as of leoSiku ya kwanza ya hedhi ilikuwa 17 desemba na alimaliza kati ya trh 20 hadi 21 desemba
Bro huyo lea ni yako mwanangu. Jiandae kuitwa Baba.Alianza tarehe 17 desemba hadi tarehe 21 desemba ndiyo siku zake