Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Hapo kabla ya hiyo mara ya mwisho ilikuwa lini? Hesabu zinasemaje?

Kama huelewi, lifanyie uchunguzi.
Unaweza kuangaika na kugharamia zaidi ya mil 5 afu uje ulipwe laki 8 unusu...
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Hayo huwa ni makadirio elewa neno MAKADIRIO so usipanic dogo
 
Alianza tarehe 17 desemba hadi tarehe 21 desemba ndiyo siku zake

Basi kama ni hivyo ina maana mimba kwa sasa ina wiki 9 na siku moja na tarehe ya matazamio ni 23/09/2025.

Yaani kitaalamu inakuwa kama ifuatavyo:

LNMP: 17/12/2024

EDD: 23/09/2025

GA: 9weeks+1day

Ambapo:
-LNMP: Ni tarehe ya mwisho ya siku zake (tunachukua tarehe damu ilipoanza kutoka) [17/12/2024]

-EDD: Ni tarehe ya matazamio ya kujifungua [23/09/2025]

-GA: Ni umri wa mimba [9weeks+1day]

Kila la kheri.
 
Sio 100% me wakati naanza clinic nilikuwa namimba ya miezi 3 ultra sound ikaonesha miezi 6 yani tare za kujifungua waka kadiria badala nijifungue miezi 9 wakarudisha miezi 6😀 nilibishana na manes hadi nikawauliza me ndo nimebeba mimba najua mwezi nilio beba bado mnabishia.. wakaniambie niende hospital nyingine nikafanye ultra sound tena nikaenda.. wao kidogo japo haikuwa sawa walisema mwezi wa 2 najifungua nikajifungua wa kwanza katikati.. kwaiyo hivo vitu hapana labda umuangalie mwanao km yupo hai tuu.

Hao walikosea sana aise
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?


Acha utoto, hujaelewa nini? Hunaelewa unapigiwa au hujui mpenzi wako ana wapenzi wengine hadi kapigwa mimba? Bado huelewi?
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Hakuna changamoto, jiandae kuhudumia mimba.
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Mpenzi wenu ana mimba 😂😂😂😂
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Kwa nini unatuambia mara ya mwisho?
 
umejuaje ni ushamba? wengine tuna shida tunahitaji watoto hatuwapati..

Joa nakuheshimu sana

Ushamba ni tusi ama ni kuvunjiana heshima?

Nwei,kama ungekuwa una shida kweli ungemfuata private...japo sikupangii cha kupost wala kuandika lakini ipi ni sababu ya kuweka picha ya hela?
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Hujaelewa nini ni kwamba ana mimba ya mpenzi wake, jiandae kuwa baba mlezi
 
Back
Top Bottom