Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Angalao kuwe na ka interval kidogo sio nimekupata leo kesho nkakuvue chupi dahMuda gani ukipita mkipewa tunda ndio demu anakua sio malaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalao kuwe na ka interval kidogo sio nimekupata leo kesho nkakuvue chupi dahMuda gani ukipita mkipewa tunda ndio demu anakua sio malaya?
hakuna vibe hapo kuwa makiniJust vibe
mlikuwa na malengo ya kuzaa au ndio hivyo umejikuta? na katika huo mwezi wa 12 mmekutana mara ngapi? na na kwanza ilikuwa tarehe ngapi?Demu
Utra sound baada ya juzi kuzimiaKwani mlienda kupima nini
Mara ya kwanza tarehe 28mlikuwa na malengo ya kuzaa au ndio hivyo umejikuta? na katika huo mwezi wa 12 mmekutana mara ngapi? na na kwanza ilikuwa tarehe ngapi?
Yani sisi ndio tukwambjie changamoto? Una umri gani na umeishia darasa la ngapi?Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Umeulizwa je ni mke wakoUtra sound baada ya juzi kuzimia
ndio mara ya kwanza na ya mwisho kwa mwezi huo wa 12?Mara ya kwanza tarehe 28
Kapime sehemu tatu hiyo inaitwa triangulationMara ya kwanza tarehe 28
HapanaUmeulizwa je ni mke wako
Triangulation of data siyoKapime sehemu tatu hiyo inaitwa triangulation
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Hapana ni tarehe 28 kwenda mbelendio mara ya kwanza na ya mwisho kwa mwezi huo wa 12?
Akili za mbayuwayu changanya na zakwakoHapana
Yes, triangulation of dataTriangulation of data siyo
Mbona unafoka?Mimba abebe mwingine kuchanganyikiwa achanganyikiwe mwingine.hili limekaeje.mlipokuwa mnazini ulitegemea nini.wewe hapa unasema mara ya mwiaho kuzini naye ni Dec,Ila hujasema mlianza unzinzi lini?
Sauti yangu ndivyo ilivyoMbona unafoka?
OkSauti yangu ndivyo ilivyo
Toka 28 desemba bado mkuuMbona zimefika hizo wiki tisa