Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Niwe muwazi kabisa wiki 9 na siku 3 zilizopita nilikuwa hata simfahamu huyu bibie kwa maana sijawahi hata kumuona ,nimemfahamu tarehe 24 desemba tarehe 28 tukanyanduana
Mkuu ndio maana nimesema uende ukapewe maelekezo hospital, utakataa mtoto wako bure. Kwenye vipimo kuna umri wa kiumbe na umri wa mimba, hivyo ni vitu viwili tofauti (gestational age na age of the fetus) kawaida kuna tofauti ya wiki mbili (tazama screenshot). Tangu ukutane nae ni wiki saba na siku tatu, ndio maana umeambiwa wiki tisa na siku tatu. The kid is yours boss no escaping😆😆😆😆😆😆
 

Attachments

  • Screenshot_20250218-205354_1.jpg
    Screenshot_20250218-205354_1.jpg
    491.2 KB · Views: 2
Mimba inapinwa depending na siku ya kwanza ya hedhi ya mwisho ndo maana hospitali nyingi utakuta anatumia LMP kumaanisha last menstrual period… mimba ni miezi 9 lakini tunahesabiwa mpaka wiki 40 ili kueradicate zile wiki 2-4 za ovulation after periods (depending na mzunguko wa mtu)
 
hiyo mimba ni yako jamaa angu, kama akili za kuhesabu huna hata chatgpt huijui?
mimba.PNG
 
Mimba inatungwa siku Kati ya 11 -17 Toka siku ya kwanza ya hedhi Kwa mzunguko wa mwezi husika.

Mwanamke aloingia hedhi tarehe 1/12 ... Huyu mimba inaingia kuanzia tarehe 11/12 Hadi 17/12 .


Mwanamke ambaye hedhi kaingia tarehe 14/12 mimba itaingia kuanzia tarehe 25-30/12 .

Nitawaelezea hapa kama atakua ameingia kuanzia tarehe 14 /12 👇

Sasa kama imeingia tarehe za kuanzia 25-30/12 .

Kwenye Ultrasound , ili kujua Umri wa mimba, Mtaalam ataingizia tarehe ya mwisho ya hedhi yake ambayo ni 14/12 , mpaka kufikia tarehe 28/12 ulipomtomba wewe ,maana yake Kuna wiki 2 .

Kuanzia Tarehe 28/12 ulipomtomba wewe,mpaka Jana ulipopima ni kama wiki 7 na siku 3.

Chukia wiki 7 na siku 3, jumlisha wiki 2 ambazo ninkipindi Toka tarehe 14/12 mpaka tarehe 28/12 ulipomtomba wewe

Utagundua ni wiki 9 na siku 3 unazozipigia wewe kelele.

Kwahiyo Tafuta kwanza kujua Tarehe ya Hedhi.
Exactly hiki ndio nimemwambia pia, mtoto ni wake asikimbie majukumu 😆😆😆😆
 
Hujaelewa nn sasa hapo?, kwamba mpenzi wako kuwa na ujauzito wa mpenzi wake ndo hujaelewa?
Watoto wa afu 2 mtapigwa sana kujifanya mnaigiza mapenzi ya movie za kihindi.
 
Back
Top Bottom