Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wakati mwingine vipimo huwa wanakosea kukadiria, jibu sahihi hapo ni kusubiri mtoto azaliwe uangalie mfanano, au dna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi mlivyochanganyikiwa, inaonekana kabisa hiyo mimba itakuwa sio ya kwenu.Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Ajabu mleta mada kataja siku ya mwisho kusex na mpenzi wake...uwenda walisex siku za nyuma kabla ya tarehe 28 mimba ikaingiaSio sahihi,labda kama ni kujua jinsi ya mtoto
Kipimo cha mimba siyo exact. Hizo huwa ni estimates tu. Kwani umejuaje mimba iliingia mara ya mwisho. Labda ungeweka mara 3 za mwisho kufanya mapenziLeo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Mimba ni yako acha porojo!
Madaktari wapo sahihi, wamehesabu kuanzia siku ya mwisho bibie kumaliza mp.
😀😀😀Mpenzi wako ana mimba ya mpenzi wake..hapo hujaelewa Nini mkuu
Yani mara ya kwanza kukutana nae ni 28 disemba ambazo ni kama wiki saba kutoka sasa inakuaje wiki 9?Mimba ni yako acha porojo!
Madaktari wapo sahihi, wamehesabu kuanzia siku ya mwisho bibie kumaliza mp.
Ndo tofauti ya wiki 2 mkuuUko sahihi,iko hivi utrasound haitoi umri halisi wa mimba,ni kulingana na size ya kijusi. Watakua wamekosea kwenye kujesabu makadirio.
Mara moja tuMwezi huo wa 12 umefanya naye mapenzi mara ngapi, na ilikuwa lini na lini?
KivpMimba ni yako acha porojo!
Madaktari wapo sahihi, wamehesabu kuanzia siku ya mwisho bibie kumaliza mp.
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Ultrasound inategemea sana na Mtaalam , inahitaji MTU ambaye ni More experienced.Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Tarehe 28 desemba majira ya saa 11 alfajiriAjabu mleta mada kataja siku ya mwisho kusex na mpenzi wake...uwenda walisex siku za nyuma kabla ya tarehe 28 mimba ikaingia
Hapana yani tarehe 28 ndiyo mara ya kwanzaUltrasound inategemea sana na Mtaalam , inahitaji MTU ambaye ni More experienced.
Je kabla ya tarehe 28/12 hukuwa umeonana naye kunyanduana ?.
Je tarehe ya mwisho ya Hedhi yake aliipata lini ??.
Umemaliza kila kituMimba ni yako acha porojo!
Madaktari wapo sahihi, wamehesabu kuanzia siku ya mwisho bibie kumaliza mp.
Niwe muwazi kabisa wiki 9 na siku 3 zilizopita nilikuwa hata simfahamu huyu bibie kwa maana sijawahi hata kumuona ,nimemfahamu tarehe 24 desemba tarehe 28 tukanyanduanaNenda peke yako hospital uombe kuelekezwa, kipimo cha mimba hakianzii siku uliyosex. Mwisho utajikuta unakataa mtoto wako bila sababu ya msingi.
Muulize mara ya mwisho kuingia p lini, halafu uanze kuhesabu kuanzia siku hiyo aliyomaliza p.Yani mara ya kwanza kukutana nae ni 28 disemba ambazo ni kama wiki saba kutoka sasa inakuaje wiki 9?