Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Kwa jinsi mlivyochanganyikiwa, inaonekana kabisa hiyo mimba itakuwa sio ya kwenu.
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Kipimo cha mimba siyo exact. Hizo huwa ni estimates tu. Kwani umejuaje mimba iliingia mara ya mwisho. Labda ungeweka mara 3 za mwisho kufanya mapenzi
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?

Changamoto ni upumbavu wako, send her where she belongs, the street
 
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Ultrasound inategemea sana na Mtaalam , inahitaji MTU ambaye ni More experienced.

Je kabla ya tarehe 28/12 hukuwa umeonana naye kunyanduana ?.

Je tarehe ya mwisho ya Hedhi yake aliipata lini ??.
 
Nenda peke yako hospital uombe kuelekezwa, kipimo cha mimba hakianzii siku uliyosex. Mwisho utajikuta unakataa mtoto wako bila sababu ya msingi.
 
Nenda peke yako hospital uombe kuelekezwa, kipimo cha mimba hakianzii siku uliyosex. Mwisho utajikuta unakataa mtoto wako bila sababu ya msingi.
Niwe muwazi kabisa wiki 9 na siku 3 zilizopita nilikuwa hata simfahamu huyu bibie kwa maana sijawahi hata kumuona ,nimemfahamu tarehe 24 desemba tarehe 28 tukanyanduana
 
Back
Top Bottom