Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Tarehe yake ya mwisho ya hedhi ilikua tarehe ngapi?Hapana yani tarehe 28 ndiyo mara ya kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe yake ya mwisho ya hedhi ilikua tarehe ngapi?Hapana yani tarehe 28 ndiyo mara ya kwanza
Ngoja akipokea simu nimuulizeTarehe yake ya mwisho ya hedhi ilikua tarehe ngapi?
Wewe sema tarehe ya mwisho ya hedhi ilikua lini??.Niwe muwazi kabisa wiki 9 na siku 3 zilizopita nilikuwa hata simfahamu huyu bibie kwa maana sijawahi hata kumuona ,nimemfahamu tarehe 24 desemba tarehe 28 tukanyanduana
Na hapa nimuulize tarehe ya mwisho kumaliza hedhi siyoNgoja akipokea simu nimuulize
Chunguza simu yakeMara moja tu
Ngoja nimuulizeWewe sema tarehe ya mwisho ya hedhi ilikua lini??.
Haina hajaChunguza simu yake
Basi ni kukubali matokeo yote, kama mimba ni ya mwigine we lea tu.Haina haja
Ni ngumu mkuuBasi ni kukubali matokeo yote, kama mimba ni ya mwigine we lea tu.
Kama sio wake alee tu na haya maishaSometimes hiko kipimo hakitoi majibu sahihi kuhusu umri wa ujauzito.
Jiandaeni kuwa wazazi watoto ni baraka asee
Cc Smart911
mbona yule mzee aliyeimba dudu la yuyu alikataliwa na yule msanii maarufu tz!?Acha uoga
Akiwa Waziri huyo mtoto hutajiuliza hayo maswali Wala kuchanganyikiwa
Huyu jamaa hataki mtoto, hapa anatamani tumuambie mimba si yake.Wewe sema tarehe ya mwisho ya hedhi ilikua lini??.
Yani nimekutana nae desemba 24 kuanzia desemba 28 tumeanza kusex akaniambia mjamzito juzi akazimia ikabidi leo tukacheki utra sound wanasema mimba ina wiki 9 na siku 3Kwanza how damn shit ni mpenz wako afu eti mara ya mwisho ni desemba!!?
Hahahaha hapanaHuyu jamaa hataki mtoto, hapa anatamani tumuambie mimba si yake.
Sahihi kabisaHuyu jamaa hataki mtoto, hapa anatamani tumuambie mimba si yake.
Mimba ni yako 100%Hahahaha hapana
Mwezi wa 12 ulikutana nae siku moja?Tarehe 28 desemba majira ya saa 11 alfajiri