Nadhani mgao ndo wa kwanza mkubwa tena ulianza tangu 1992 ukaenda mpaka 1993 na hata 1995 ukirudi tenaWe jamaa unaishi dunia yako. Mwaka 1993 sanasana kulikuwa ukame ambao haujawahi kutokea. Tukawa na mgawo wa umeme mkali kabisa kwa kuwa mabwawa yote karibu yalipungua maji.
kakolaki kumbuka unabishana na watu wenye kunbukumbu kuliko wewe
Naona mnachomekea na story ya makosa, au sababu za kufa Comfort ni zile zile kama za Makosa. Of course nyingi zinafanana na hizo maana hiyo clip kuna ya kujifunza hata Diamond naona ame-post na anamtafuta Makosa ampe chochoteKuna interview zipo jamaa anaelezea downfall yake. Anasema washauri walikua wabaya lakini pia ujana ulimzidi sana. Serikali nayo ilichangia kumwangamiza pale ilipofungia akaunti zake za benki
View: https://youtu.be/G8O723-gpxE?si=Cy2GPJLV7YRxyjOe
Maana hata Al Jazeera kwa sasa ishakufa. Barabara hiyo ya TANZAM au waweza iita A104, kipande cha Sangasanga mpaka Ilula hakuna hotel kwa wasafiri. Ninaionaga moja ile wanasema ni ya Kilimanjaro kama sikosei ipo mitaa ya Mtandika Tandika pale, ila sijawahi kufika hapo. Hivyo Comfort anaweza kuibuka tena, na hivi mabasi yanasafiri usiku basi akawa anafanya kazi masaa 24Sababu zinaweza kuwa nyingi ila kubwa huenda ni ishu ya Usimamizi.
Biashara zetu nyingi Wabongo, hufa iwapo mmiliki akifariki.
Hata Biashara za Marehemu Mzee Mengi, isingekuwa kuwaajiri Wakurugenzi Wahindi Wahindi mule IPP, huenda nayo ingeshakufa saivi.
Mwaka Jana nilipita hapo Kitonga, niliona dalili ya kama wanataka kupa-karabati
Huenda amepatikana Mbia wa kuikodisha hiyo hotel ama pengine ndugu wa Familia wameanza harakati za kuikarabati na Kurejesha huduma hapo Kitonga
Kama hadi Hotel ya Al Jazeera imekufa basi Kuna tatizo kubwa ambalo sisi tulio nje ya hiyo biashara hatuifahamu.Maana hata Al Jazeera kwa sasa ishakufa. Barabara hiyo ya TANZAM au waweza iita A104, kipande cha Sangasanga mpaka Ilula hakuna hotel kwa wasafiri. Ninaionaga moja ile wanasema ni ya Kilimanjaro kama sikosei ipo mitaa ya Mtandika Tandika pale, ila sijawahi kufika hapo. Hivyo Comfort anaweza kuibuka tena, na hivi mabasi yanasafiri usiku basi akawa anafanya kazi masaa 24
Alafu Liverpool ndio huyo huyo Al Jazeera anapiga miguu yote, na uwepo wa Al Jazeera ulitokana na kulega lega Kwa Comfort Hotel maana before mabasi yalikuwa yanasimama Ilula kwa msosi na mengine Comfort (kampuni kubwa)Tatizo la confort hotel ilikuwa ni kuuza vyakula visivyo na ubora,bei juu, na vilivyolala, unauziwa chips zilizolala,halafu hazipashwi, unauziwa chips za viazi vibovu( vimefikia stage ya kuwa mbegu,vinakuwa na ukijani flan hivi halafu haviivi) vyenye uchungu. Nyama ya kuku iliyovunda. Na uchafu wa mazingira. Hata al jazeera ni kwa sababu tu hajapata mpizani,ila akipatikana wa kuweka hotel ya ukweli kama njia ya kaskazin pale anafunga. Liverpool alifunga hivyo hivyo sababu ya huduma mbovu akakosa wateja,sasa hivi alivyoikarabati na kuboresha huduma wateja wamerudi
Alafu biashara zake zilikuwa zinategemeana yaani anamilki mabasi yanaleta wateja hotelini na hotel inapata hela. Mabasi yakafa na huduma ikawa mbovu hata zile kampuni zingine za mabasi nazo zikawa zinaingia kwa kubipSababu zinaweza kuwa nyingi ila kubwa huenda ni ishu ya Usimamizi.
Biashara zetu nyingi Wabongo, hufa iwapo mmiliki akifariki.
Hata Biashara za Marehemu Mzee Mengi, isingekuwa kuwaajiri Wakurugenzi Wahindi Wahindi mule IPP, huenda nayo ingeshakufa saivi.
Mwaka Jana nilipita hapo Kitonga, niliona dalili ya kama wanataka kupa-karabati
Huenda amepatikana Mbia wa kuikodisha hiyo hotel ama pengine ndugu wa Familia wameanza harakati za kuikarabati na Kurejesha huduma hapo Kitonga
Ni hatari sana aiseeAlafu biashara zake zilikuwa zinategemeana yaani anamilki mabasi yanaleta wateja hotelini na hotel inapata hela. Mabasi yakafa na huduma ikawa mbovu hata zile kampuni zingine za mabasi nazo zikawa zinaingia kwa kubip
Biashara ya mabasi ni ngumu na hata huyo Sumry biashara ya bus ilikuwa ni shughuli mbadala na ndo maana anaachana nayo akarudi kwenye mishe zingine maana wanasema yeye alikuwa kwenye malori zaidi. Biashara ya mabus wanaimudu hawa walioanza zamani na chache anakuwa anaongeza gari mdogo mdogo. Lakini hizi kampuni za sasa za kwenda kukopa bank milioni 500 ununue bus, nyingi ni hufa kifo kikubwa, inavuma alafu inapotea kama ya mabasi ya blue jina limenitokaNi hatari sana aisee
Kuna sehemu huwa napita kwenda ishu zangu za shamba, nimemkuta aliyekuwa Mmiliki wa Mabasi ya Summry naye ameamua kujikita kwenye ishu za Kilimo tu, Kwa kuwa yeye anamtaji Mkubwa, naona ameshika mashamba makubwa mno analima.
Kuna possibilities kubwa, biashara ya Usafirishaji (Mabasi) ikawa ni miongoni mwa biashara zenye risk kubwa hivyo inahitaji Mtaji Mkubwa ikiwemo kukatia bima kubwa kubwa mabasi yako ili kilitokea lolote basi uweze kufidiwa.
Mabasi ya Blue yale ya Scandinavia ama nami nimekosea jina.Biashara ya mabasi ni ngumu na hata huyo Sumry biashara ya bus ilikuwa ni shughuli mbadala na ndo maana anaachana nayo akarudi kwenye mishe zingine maana wanasema yeye alikuwa kwenye malori zaidi. Biashara ya mabus wanaimudu hawa walioanza zamani na chache anakuwa anaongeza gari mdogo mdogo. Lakini hizi kampuni za sasa za kwenda kukopa bank milioni 500 ununue bus, nyingi ni hufa kifo kikubwa, inavuma alafu inapotea kama ya mabasi ya blue jina limenitoka
Baba anakufa bila kuirithisha password.Hizi ndio biashara za kibongo..
Akifa mmiliki/mwanzilishi/baba basi na biashara imekufa..!!!
Hilo ndilo lililotokea kwa COMFORT KITONGA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Dar LuxBiashara ya mabasi ni ngumu na hata huyo Sumry biashara ya bus ilikuwa ni shughuli mbadala na ndo maana anaachana nayo akarudi kwenye mishe zingine maana wanasema yeye alikuwa kwenye malori zaidi. Biashara ya mabus wanaimudu hawa walioanza zamani na chache anakuwa anaongeza gari mdogo mdogo. Lakini hizi kampuni za sasa za kwenda kukopa bank milioni 500 ununue bus, nyingi ni hufa kifo kikubwa, inavuma alafu inapotea kama ya mabasi ya blue jina limenitoka
Makosa yuko wapi ana mke mzunguN kwel mwaka 1993 nlikuwa stl very little junior... but documentation sjawahi skia el nino ya 1993...all in all comfort ali fall down kwa many factors...the rest is history.....MSALIMIE MAKOSA...
Dah mkaragan kumbe alifarikiMpaka mwaka 2014 hiyo hotel ilikuwa inafanya kazi japo kwa kusua sua
Hizi picha niliipiga mimi mwenyewe tar 28/11/2014, hata hayo mabasi kwa sasa yote hayapo. Deluxe aliziuza na kuacha biashara ya mabasi ruti ya Iringa - Dar, Mcaraghan amefariki dunia miezi michache iliyopita, ila nae basi lake lilianza kwenda vijijini ndani ndani huko.
Hata mimi nikipandaHii deluxe naikumbuka sana. Nishapanda nayo kwenda Iringa. Mpaka around 2015 ilikuwa inafanya kazi japo ilikuwa imechoka kweli. Nakumbuka abiria walikuwa wanalalamika kulishwa chips za juzi!
Yes Dar Lux, nae wa Iringa bila shaka na kumbe huwa ana malori nilikuwa sijui, of course kama nilivyosema biashara ya mabasi wengi wanashughuli mbadala except wachache walifanya biashara kwa miaka mingi kina Dar express, zuberi, etcDar Lux
Ingawa huyu jamaa aliamua kujikita kwenye malori, yanalipa zaidi kuliko mabasi
Dar Lux naona mdau sajo amenikumbusha hapo juuMabasi ya Blue yale ya Scandinavia ama nami nimekosea jina.
Biashara hizo za mabasi inaonekana unawanufaisha watu wa kati tu kama Marafiki, Makonda, Dereva na hao wengine.
Wakati huo unaweza kukuta pesa uliyokopa hata haijarudi basi limepiga mzinga🙌
Kila heri jaribu lile eneo ilikuwepo Comfort Hotel kitonga bado pako potential sana kibiashara ya hotelKama hadi Hotel ya Al Jazeera imekufa basi Kuna tatizo kubwa ambalo sisi tulio nje ya hiyo biashara hatuifahamu.
Mwaka Juzi nilinunua Ekari 10 maeneo hayo hayo karibu na Al Jazeera hotel, nilikuwa na Plan ya kujenga Ukumbi wa Burudani, Kituo cha Kujaza Mafuta pamoja na huduma ya Parking.
Bahati mbaya mambo ya Fedha hayajaniendea poa, kama Hotel ya Al Jazeera imekufa kumbe itakuwa ni Wazo jema kujenga hotel maeneo hayo Kwa kuangalia weakness ya mtangulizi wangu ili Mimi kujaribu kufanya vizuri zaidi.
Shukrani Mkuu 🙏Kila heri jaribu lile eneo ilikuwepo Comfort Hotel kitonga bado pako potential sana kibiashara ya hotel
Mtu kabla kupanda kitonga anavuta pumzi kidogo na ku refresh hata akisikia kuna foleni pale mlimani anapaki kupata chochote akisubiri foleni ya kupanda ipungue
Hata mtu kwenda tu kupumzika hotelini pako vizuri