makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hapa labda aje swahiba wangu isaac newton ndio kidooogo anaweza kunishawishi.Hii hesabu ni changamoto
Kutana na namna ya kuisolve
View: https://youtu.be/URcUvFIUIhQ?si=CgcrBE3IJGXgN-MX
Malizana na mabano kwanza 2(2+1)=2(3)=6. Huko ndo kumalizana na mabano. Kama fb na mtandaoni watu walibishana kuhusu hili swali ni ishara tosha hesabu sio ugonjwa wa TAIFA, ni ugonjwa wa DUNIA NZIMA.Hii hesabu ni changamoto
Kutana na namna ya kuisolve
View: https://youtu.be/URcUvFIUIhQ?si=CgcrBE3IJGXgN-MX
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Huyo mzungu naye anaongea kama aliyeishia la 6A, eti kuna tofauti ya alama / na ÷ kwenye hesabu 😂😂, hapo ukifata BODMAS jibu ni 1 tu.Hapa labda aje swahiba wangu isaac newton ndio kidooogo anaweza kunishawishi.
Jibu ni 1 mzee mwenzangu.
Simu ni ya uongo , Hawaja program vizuriCasio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
😂😂😂😂mabingwa wa hesabu wanasema jibu la 1 ni njia iliyopitwa na wakatiHapa labda aje swahiba wangu isaac newton ndio kidooogo anaweza kunishawishi.
Jibu ni 1 mzee mwenzangu.
Kama unaelewa BODMAS halina utata wowote. Malizana na mabano ndo utapata jibu sahihi.Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.
Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
😂😂😂Malizana na mabano kwanza 2(2+1)=2(3)=6. Huko ndo kumalizana na mabano. Kama fb na mtandaoni watu walibishana kuhusu hili swali ni ishara tosha hesabu sio ugonjwa wa TAIFA, ni ugonjwa wa DUNIA NZIMA.
Pale watu wanapobishana kati ya 1 na 9 na mwamba kama mwamba umepata 23😂😂Mimi peke yangu nimepata jibu 23😂😂
Unasema lina utata; ila hujasema utata huo ni upi?Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.
Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Tecno kaiweka hivi (6 divide2)(1+2) badala ya kuanza na blacket! Casio is rightHilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Huyu ni ngonjwa kama wagonjwa wengine.😂😂😂😂mabingwa wa hesabu wanasema jibu la 1 ni njia iliyopitwa na wakati
View attachment 2936587
Hamna utata hapo...labda kama hujui hesabuHilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.
Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Kila njia ipo sahihi6 ÷ 2(2 + 1) = 1
6 / 2(2 + 1) = 1
6 ÷ [2(2 + 1)] = 1
6 / [2(2 + 1)] = 1
(6 ÷ 2)(2 + 1) = 9
(6 / 2)(2 + 1) = 9