Umeongea nn hapa sasa mkuuhuwezi kujumlisha namba zilizopo ndani ha mabano kama kuna namba kamili pemben ya mabano mfano 2(2+1) lazima hyo 2 uzidishe na hizo namba moja moja ndani ya mabano hapo ndio tunafungua mabano but ingekuwa mfano 2 + (2+1) hapo ndio unajumlisha namba zilizomo kwenye mabano
sijui umenielewa
matheee sio mchezo. casio yuko sahihi anko madeluuCasio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.
Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Sasa mbona huyo mgonjwa wa utapiahesabu uliyekuwa unamtetea amekuja kwa kufoka kama vile ukijumlisha then ukamultiply utakuwa unafanya makosa makubwa sanaYess kama kwny mabano ni kujumlisha hakuna effect kwny jibu ukiplus then uka multiply...
Kufungungua mammbano kama ulivyosema lazima mbili uizidishe ndani mkuu soWewe umesolve kisasa
Kuna siku humu humu jf nimebishana sana na watu kuna uzi ulikuwa na hili swali ila me jibu langu huwa ni moja hakuna namna 1 ndio jibu6÷2(2+1)
MAGAZIJUTO
ANZA NA KUFUNGUA MABANO KISHA GAWANYA
6÷((2*2)+(1*2))
6÷(4+2)
6÷6
1
Jibu ni 1 tushawah kubishana sana humu jibu ni mojaHapa labda aje swahiba wangu isaac newton ndio kidooogo anaweza kunishawishi.
Jibu ni 1 mzee mwenzangu.
Yan huyu ni madelu 😂😂😂😂 mbona mpo ivyo wazeematheee sio mchezo. casio yuko sahihi anko madeluu
Oya mnataka muanze kutuacha njiani sasa.ingiza log ya base 10
Swali kama hili lina sheria zake.
Wewe na Tecno 0Casio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
Acha tu man. Hesabu baba mkwe.Wewe na Tecno 0
Anawaona wenzake vilaza kumbe yeye ndiye kilaza. Huu mjadala mkubwa sio mchezo.Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.
Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Hapa jf penyewe lilishaletwa tulitifuana mpaka vumbi zijawa zibatoka aisee acha kabisaAnawaona wenzake vilaza kumbe yeye ndiye kilaza. Huu mjadala mkubwa sio mchezo.
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.
Hapo ukitumia BODMAS jibu ni 1.sijaelewa tecno kapataje hiyo 9.