100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,165
Naona mkuu umeamua kuingia kwenye mechi ya drafti kwa smart phone!
Mkuu burdani hizi bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mkuu umeamua kuingia kwenye mechi ya drafti kwa smart phone!
Nimeona na utakapo omba anakuachia yeye anajaa kingMkuu angalia vizuri ,ukishampa yakwanza utamuon anakimbilia king ya road hapo na atakuwahi
Ni super Aisee hamna droo hapo!
!
Hakuna Super Hapo. Droo Hiyo Hapo. Anatoka Nyuma Kule
Ni goli tena supaWe jmaa draft hujui? Iwe french au british hakuna gori kwa vyovyote vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipinge sana ni goli ila ukifikiria vizuri super hamna hapo... Ila goli la kawaida
Okay twende hapo unaanza kucheza ipi mkuu mimi nataka nikufunge supa weweMkuu mimi super hunifungi hapo
Yeyote atakaeanza ni sare hio.Nimekuta watu wanacheza draft na wanabishana kuwa hilo ni supa.Nikaamua kupiga picha hiyo niwaulize je hili ni supa au sio supa?
ZAMU YA MWENYE NYEKUNDU
View attachment 995749
Kete tatu kwa mbili utamfunga nani?Hatapata droo, atakufa kwa kete tatu. Maana ile aliyogawa juu kule itawahi kwenda king njia kuu.
Na yeye ni lazima auze nyingine ili afike king.
Nakuja na kete nyekundu ya nyuma straight. Mwenye blue aniambie anasukuma ipi tuendelee.