Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

Hilo ni goli la kete tatu. Huyo mwekundu anauza hii kete ya mbele halafu anapanda na ile ya nyuma.
 
Hatapata droo, atakufa kwa kete tatu. Maana ile aliyogawa juu kule itawahi kwenda king njia kuu.

Na yeye ni lazima auze nyingine ili afike king.
Kete tatu kwa mbili utamfunga nani?
 
Nakuja na kete nyekundu ya nyuma straight. Mwenye blue aniambie anasukuma ipi tuendelee.
 
Akianza kucheza mwenye NYEKUNDU hilo ni clear super anafungwa,ila kama ni zamu ya mwenye BLUE ,hiyo inakuwa suluhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…