Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

Hakuna kete ya kuuza hapo mkuu kaa ile kete ya nyuma itasukumwa direct mstari uleule hadi Kingi na haitozuirika.

Ile ya nyuma ikija moja kwa moja itafika kwenye main road na hapo watapeana migongo na kete inayoelekea king. Na ile inayoelekea king ndiyo itakuwa imeanza kufika kwenye main.

Unachofanya unaigawa hii ya main kwa ya main, halafu utacheza ile inayoenda king kuelekea main pia. Mpaka unafika king atakuwa bado anambwela huku chini, unaanza kula mafao kwà kikokotoo cha zamani.

Jaribu kuangalia huu mchoro hapo chini na uupigie hesabu upya.

Screenshot_20190116-120622.jpg
 
View attachment 995776

Unaanza kumpa hii ya upande wa kulia apande juu, then unavuta ile ya nyuma kuileta hapa zipangane na mwenzake.

2 kwa 2 zinabaki, hapo lazima akimbilie king.
king hufiki mkuu........maana hapo yeye atakimbiza kingi hii iliyo jirani.......


yeye anakua na hatua nne ili afike king (mind you ataingia major).....


wewe una hatua nne mpk ufikie kete yake hio njian,,,,,,, there is no way utafika king
 
Ile ya nyuma ikija moja kwa moja itafika kwenye main road na hapo watapeana migongo na kete inayoelekea king. Na ile inayoelekea king ndiyo itakuwa imeanza kufika kwenye main.

Unachofanya unaigawa hii ya main kwa ya main, halafu utacheza ile inayoenda king kuelekea main pia. Mpaka unafika king atakuwa bado anambwela huku chini, unaanza kula mafao kwà kikokotoo cha zamani.

Jaribu kuangalia huu mchoro hapo chini na uupigie hesabu upya.

View attachment 996048
hapo hata yeye akitangulia kutema hio bluu ya kushoto bado utamuwahi kukaba hio angle kabla yeye hajaingia king
 
king hufiki mkuu........maana hapo yeye atakimbiza kingi hii iliyo jirani.......


yeye anakua na hatua nne ili afike king (mind you ataingia major).....


wewe una hatua nne mpk ufikie kete yake hio njian,,,,,,, there is no way utafika king

Sure, tulishafikia huo mwafaka.
 
Inategemea ilikuwa zamu ya nani kucheza ila ni droo. Kama mimi namfunga kabisa huyo mwenye za blue
 
Ile ya nyuma ikija moja kwa moja itafika kwenye main road na hapo watapeana migongo na kete inayoelekea king. Na ile inayoelekea king ndiyo itakuwa imeanza kufika kwenye main.

Unachofanya unaigawa hii ya main kwa ya main, halafu utacheza ile inayoenda king kuelekea main pia. Mpaka unafika king atakuwa bado anambwela huku chini, unaanza kula mafao kwà kikokotoo cha zamani.

Jaribu kuangalia huu mchoro hapo chini na uupigie hesabu upya.

View attachment 996048
Mkuu we fundi kwenye huu mchoze..........
Nmelike hapo kwa kuanza kujilia mafao kwa kikokoto Cha zamani baada ya kutika kingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom