Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

Ni alphabet tu hizo
Yani United Republic of Tanzania then United States of America.hata UN huwa wanakaa hivyo
Ahaaa kumbe ni alphabet! Basi mm nilidhan mmoja wapo amemuelewa mwenzie. Yaan Biden kampenda mama. Kwa maana akikaa karibu na mama Atasikia faraja Sana.

Si unajua mama alivyo na mvuto kwa wakuu, Magu aliwah msifia kwa uzur. Kaz iendeleee
 
Kama sijakosea UK wanatambulika kama Great Britain
Jaribu kupitia hii itakusaidia

Screenshot_20211102-200806.png
 
Wanachotaka mabeberu ni kupigiwa magoti tu. Maza alishajisalimisha mapema sana, sasa ni kuburutwa tu.

Mabeberu yalijipangaga long time kitambo kuiburuta dunia.


JESUS IS LORD OF lords.

Your Jesus himself was a beberu too (Mwenye nacho ataongezewa na asiyekuwanacho atanyang'anywa hata kidogo alichonacho).
 
Sikumbuki kuomba msaada katika hili.
Kwa maana hakuna kitu inachonusaidia. In short unajulikana kuwa nchi zinapangwa kea alphabate. Sasa kwanini UK yuko hapo alipo hata wewe nina imani hujui
 
Sikumbuki kuomba msaada katika hili.
Kwa maana hakuna kitu inachonusaidia. In short unajulikana kuwa nchi zinapangwa kea alphabate. Sasa kwanini UK yuko hapo alipo hata wewe nina imani hujui
Hoja yake ni,

URT,
USA
UK

hapa UK yuko mbali ndio hoja yake ilipo
 
Ni ujanja ujanja ili ionekane kuwa nchi inapendwa sana na Marekani kwa kuwa ina uongozi mzuri wakati kiongozi alie madarakani ni kiazi mbatata.
Sisi Pinga Pinga FC wala hatutaki kujua ya ALPHABETICAL ORDER....
 
Mkuu,hatuna chetu,for Tanzania and the World it is simply over. Kwa wale wanaojua what is going on at Davos behind the curtain,they know what I am talking about.It's all about depopulation(eugenics),human control and domination,wala hawana nia njema na Wanadamu,ni unafiki mtupu.End game?Total human control and domination,not later than 2025.Ni ushetani mtupu unaoendelea Davos.

Magufuli was right not to attend the meetings.Huyu mama ni mtu wao,sisi ndio vipofu.Mtu yeyote aliyeko au aliyewahi kufanya kazi kwenye NGO sio wa kumwamini.NGOs ni tool ya mabepari kusambaza foreign policies zao za kishenzi.We should have known this.
Conspiracy theories.....

Unaongelea hayo ukiwa duniani ama mbinguni?!!!
 
Jini jike limetumia hata ujini wake kuwa karibu! sasa litaenda kulipa masangoma ghali si mchezo
Heshima kitu cha bure mkuu....

Matusi Wala hayatawasaidia kuingia IKULU kiutawala ama hata kunywa chai kama mnavyolazimisha....
 
kwani huyo Joe Biden ni nani hasa mpaka tushangae kukaa pembeni ya SSH?

Kuna binadamu mna akili za hovyo sana. Kazi yenu ni kuwatukuza binadamu wenzenu ambao wanakunya kama ninyi, wanajamba kama ninyi na mwisho wa siku watakufa na kuoza kama ninyi.
 
Back
Top Bottom