Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona kwenye kibao cha kumtambulisha Boris Johnson kimeandikwa United Kingdom?Kama sijakosea UK wanatambulika kama Great Britain
Ile ni United Kingdom siyo England!Ile ni England, siyo Uingereza!
huyo mzee ana tatizo gani?maana Jana na Soma BBC wanaelezea hawakumwelewa kama alilala au alifumba macho kwenye huo mkutano,maana kuna wakati alifumba machoWalimuweka makusudi ili Biden asisinzie!!!
Mzee kazeeka sanahuyo mzee ana tatizo gani?maana Jana na Soma BBC wanaelezea hawakumwelewa kama alilala au alifumba macho kwenye huo mkutano,maana kuna wakati alifumba macho
WaTz bwana,mbumbumbu kweli kweli.Tatizo hamsomi,maisha yenu yote Simba na Yanga tu,hovyoo.Conspiracy theories.....
Unaongelea hayo ukiwa duniani ama mbinguni?!!!
Ina maana Tz imepanda katika list ya mataifa omba omba dunianiAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Ndio ndio. ..tusome hizo paukwa pakawa ulizovimbiwa wewe?!!!🤣WaTz bwana,mbumbumbu kweli kweli.Tatizo hamsomi,maisha yenu yote Simba na Yanga tu,hovyoo.
Wapo juu kidogo ya hao. ....K, L, M, N, O, P, Q, R, S, T....... Ona R, na S zimefuatana.Vipi kuhusu UK
Kuna hilo la kujengewa vyoo. Ila kali zaidi ni hili la msaada toka Marekani, kutufundisha kunawa mikono! Kwa kweli hapo tukiwa kama Donna Kantri, tumetishaDona kantre pekee duniani inayoomba msaada wa kujengewa vyoo (kwa msaada wa watu wa marekani).
Ona zilivyopangwa bendera nje ya jengo la UN makao makuuVipi kuhusu UK
Tanzania nchi kubwa sana dunia kwa sasa
Mchochezi[emoji3]Dona kantre pekee duniani inayoomba msaada wa kujengewa vyoo (kwa msaada wa watu wa marekani).
Mpangilio huu unafuata uimara kidemokrasia, Hongera sana Rais SamiaAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Super mama President, I meant so,Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Umejibu vizuri Sana MkuuJiwe wangemweka mbali, uwezi weka baga kwa bega, Iran na lsrael, eti sababu alphabet order, never! Wanaangalia na utulivu wa mtu na taifa, uhakika wa usalama na utulivu kipaumbele!
Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Daaah, kazi iendeleeJiwe wangemweka mbali, uwezi weka baga kwa bega, Iran na lsrael, eti sababu alphabet order, never! Wanaangalia na utulivu wa mtu na taifa, uhakika wa usalama na utulivu kipaumbele!