Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

NimNimefanya fanya uchambuzi wa maoni ya yetu huju juu ya mada hii nikagundua kumbe tuko watu wa aina tatu humu kama ifuatavyo kwa namna tufikirivyo na kisha kukiaandika au kusema kwenye public...
i rais aliyeheshimiwa sana








Hao hapo ☝️☝️👆👆wote hawasumbui akili zao kabisa kufikiri kwa kujiuliza maswali ya msingi ya "WH" mfano; WHY? HOW? nk nk kwa kila wasimacho au kukisikia au kukiona...






Hawa 👆 👆 👆 jamaa zangu wako vizuri, walifikiri vizuri kabla ya kusema/kuandika...!!





Hawa jamaa zangu 👆 👆 👆 😳 😳 😛 😛 😀 😀 they don't take things serious. They are Jokers all the time

##KUMBUKA; JF ni inaelemisha, inaburudisha na kufunua mawazo na akili za watu bila kujali kuwa members wa JF hutumia "unanimous names..!"
Nimekukubali Chief Wang
 
Back
Top Bottom